SoC04 Kwa kiwango kani unafikiri watoto wetu wameandaliwa kushinda utumwa wa teknolojia miaka inayo kuja?

SoC04 Kwa kiwango kani unafikiri watoto wetu wameandaliwa kushinda utumwa wa teknolojia miaka inayo kuja?

Tanzania Tuitakayo competition threads

Mr Future1

New Member
Joined
Jun 13, 2024
Posts
1
Reaction score
1
6A3BFBEA-3F94-4849-A377-C2CBFE59D61A_w650_r1_s.jpg

Source: Study Finds Educators, Students Agree: Technology has Value

unnamed.jpg

Source: https://lh3.googleusercontent.com/7...LwVfS_oTC_abe5Oe5J6nfUduD0wPcQ5gX_foNOg=s1200

Ukijaribu kurudi nyuma kipindi Afrika inatawaliwa ilikua sababu ya jinsi mabara mengine walivyo andaa watoto wao hivyo ilituchukua muda sana kupambana na kupata uhuru.

Lakini tukiludi sasa katika dunia iliyo jaa ubunifu na technologia bado kitu kile kile kinaendelea maandalizi ya watoto wao kitechnoligia bado ni makubwa hivyo kupelekea miaka ijayo tuludi kutawaliwa kitechnoligia.

Nini kifanyike basi:
Serikali ifungue vituo vingi Vya mafunzo ya elimu ya kujitegemea na ufundi katika nyanja mbalimbali ili watoto wetu wajifunze kwa majalibio na bado wakiwa wadogo kwani miaka mitatu haitoshi kumuandaa mtoto kuingi kwenye ushindani mkubwa wa dunia wa technologia

Ukiangalia sas mapinduzi makubwa hasa kwenye Artificiall intelligence (akili bandia) lakini bado watoto wetu hawajaandaliwa nao kuwa miongoni mwa wagunduzi katika tasnia hii jambo ambalo badae litatuludisha kutawaliwa kitechnoligia.
 
Upvote 1
Back
Top Bottom