Kwa kukutana na Maalim Seif: Kaimu Balozi wa Marekani amekiuka Mkataba wa Diplomasia?

Kwa kukutana na Maalim Seif: Kaimu Balozi wa Marekani amekiuka Mkataba wa Diplomasia?

w0rM,
Huyo Balozi wa China aliyevaa Kofia ya CCM nadhani alirudihwa kwao kwa makosa hayo; au serikali yake ilitoa tamko la kukana tukio hilo.
 
Inabidi afukuzwe huyu arudi kwao. Yaani USA wanatafuta sababu tu aliwe mtu kichwa. Uchaguzi wa mara hii raha sana.
 
Mkataba kuhusu wanadiplomasia ni Vienna Convention on Diplomatic Relations of 1961. Hakuna kuvunja mkataba huo kwa kuongea na watu wowote.

Tanzania imejaribu mwaka 2016 kuunda mashariti https://www.nation.co.ke/news/africa/Tanzania-issues-tough-rules-for-diplomats-local-movement/1066-3061614-f37ej3/index.html ("The circular further directed all members of the diplomatic corps to seek permission from the Ministry of Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Co-operation, before traveling upcountry and meeting any local government authorities or grassroots organisations. ").

Ila jaribio hili ni kinyume cha mkataba wa Vienna nisipokosei. Kifungu 26 kinasema: "Article 26 Subject to its laws and regulations concerning zones entry into which is prohibited or regulated for reasons of national security, the receiving State shall ensure to all members of the mission freedom of movement and travel in its territory. "

Nchi inaweza kufunga maeneo maalumu shauri ya usalama. Inaweza kukataza maafisa wa nchi kuongea na balozi bila kibali cha awali.

Laini haiwezi kumkataza balozi kuongea na hao ambao anataka. Ni kweli nchi kadhaa wanajaribu kubana mabalozi. Hapa wanajibana wenyewe maana kwa kawaida nchi nyingine inajibu kwa mashariti yaleyale.

Kuna nchi zinazotaka kupata taarifa ya awali kutoka mabalozi shauri ya usalama kuhusu safari nje ya mji mkuu. Hii inakubaliwa mara nyini lakini hata kama balozi anasema anakwenda huko au pale kwa kusudi fulani hakuna sheria ya kimataifa inayomzuia kufanya pia mambo mengine.

Na hawezi kushtakiwa au kukamatwa maana mapatano ya Vienna inampa balozi "immunity" (Article 29 The person of a diplomatic agent shall be inviolable. He shall not be liable to any form of arrest or detention. The receiving State shall treat him with due respect and shall take all appropriate steps to prevent any attack on his person, freedom or dignity )

Kila nchi ni huru kumtangaza balozi kuwa "persona non grata" (mtu asiyetakiwa), lakini hapa imeshafukuza balozi wake pia kutoka nchi nyingine, maana kwa kawaida kama nchi A inamfukuza balozi wa B, basi B humfukuza pia balozi wa A.

Chanzo: legal.un.org/ilc/texts/instruments/english/conventions/9_1_1961.pdf
 
Kumbukeni kwamba hata yaliyotokea kule Soweto Afrika Kusini yalihusisha watoto wadogi kabisa wa shule za msingi lakini kwa vile walivyokuwa wamechoka kuona wanaonewa walifika mahali wakasema afadhali wapigwe risasi wafe kuliko kukaa kimya wakiwa wanaonewa.

Nawaombeni Chama Tawala mtambue kwamba kama itafika mahali wapinzania waseme 'liwalo na liwe' hakuna atakayeweza kuzima huo moto. Na waathirika wakubwa watakuwa ni viongozi wenu.
Flashback South Africa.

What is important

about Sharpeville

is not that seventy died:

nor even that they were shot in the back

retreating, unarmed, defenseless

and certainly not

the heavy caliber slug

that tore through a mother’s back

and ripped through the child in her arms

killing it

Remember Sharpeville

bullet-in-the-back day

Because it epitomized oppression

and the nature of society

more clearly than anything else;

it was the classic event

Nowhere is racial dominance

more clearly defined

nowhere the will to oppress

more clearly demonstrated

what the world whispers

apartheid with snarling guns

the blood lust after

South Africa spills in the dust

Remember Sharpeville

Remember bullet-in-the-back day

And remember the unquenchable will for freedom

Remember the dead

and be glad.

Dennis Brutus
 
Mbona kwa CCM hakuna shida ila kwa upinzani ndio shida! Ukimchagua shetani kuwa ndie mshauri wako badala ya Mungu matokeo yake ndio haya!
 
Inakuwaje kama Maalim Seif ndiye angeenda ofisini kwa balozi na wakazungumza hicho hicho walichozungumza huko Zanzibar?!
 
CCM Wafunge midomo wasije tia neno maana watatuletea balaa maana wanatafuta pakutolea pressure!!
Tumeshaingia kwenye 18 zao hawatafanya tena kwa siri ni jino kwa jino!
 
Sijui haya mambo yanakuwaje, mwaka 1992 wakati wana harakati nchini Kenya wanapigania kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi huku serikali ya Bw. Moi (Rip) ikipinga kibabe balozi wa Marekani nchini Kenya wa wakati huo, Mr. Smith Hempstone aliungana na wana harakati hao wazi wazi na kuishinikiza serikali hadi ikasalimu amri.

Sijui sana kuhusu articles of the Geneva Convention kuhusiana na the role of the foreign diplomatic missions when performing their functions in the countries whose governments are deemed autocratic like maybe, is currently, the case here.
 
Back
Top Bottom