Kwa kumbakiza Kocha Hitimana Simba SC na kumfukuza Kocha wa Viungo Zrane natamani leo tufungwe au 'tudroo' na Polisi Tanzania

Kwa kumbakiza Kocha Hitimana Simba SC na kumfukuza Kocha wa Viungo Zrane natamani leo tufungwe au 'tudroo' na Polisi Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC.

Hivi mmeshindwa nini kwa Kipindi hiki cha mpito tu hata Kumkabidhi Timu Mtani wangu wa 'Kiha' Kocha Selemani Matola akisaidiwa na Musa Hassan Mgosi huku ndani ya Wiki Mbili au Tatu zijazo kabla hatujakutana na Red Arrows ya Zambia muwe mmeshampata Kocha Mkuu na wa uhakika?

Yaani Simba SC kabisa ni ya Kufundishwa na Kocha 'mbovu' Thiery Hitimana ambaye hata tu Wachezaji 'Waandamizi' wa Simba SC na Mmoja wa Kigeni (GENTAMYCINE niliobahatika Kuzungumza nao Kiushkaji wetu) wanasema hakuna Kocha hapo?

Hivi unamfukuzaje Kocha wa Viungo Zrane ambaye 100% ya Wachezaji wa Simba SC si tu wanamkubali pia wanampenda mpaka na Sisi Mashabiki kutokana na Kazi yake Kuonekana halafu unamuacha Mtathmini Mkuu wa Mechi (Team Performance Analyst) wa Simba SC 'Mzimbabwe' ambaye huyu ndiyo Jicho Kuu la Kiufundi na Kiushauri kwa Kocha Mkuu na Benchi zima la Ufundi?

Kudadadeki leo nashangilia Police Tanzania na kwa 'Mkakati' wao walioupanga kwa Kusaidiwa na Yanga SC tokea Jumapili mpaka baadhi ya Wachezaji wao Kusafirishwa 'Kimafia' na Yanga SC kwenda kwa Yule Mganga wao Mahiri wa Nungwi Pemba na kurejea 'kimya kimya' Jana (Jumatatu) Asubuhi Ushindi wa Simba SC leo ni Sare tu ila Kufungwa ni Kukubwa na Mimi nataka leo tufungwe ili 'Mgogoro' mkubwa uibuke (uzuke) tupigane na tuchapane vizuri kwani tumeshachoka Kuvumilia Upumbavu uliopo.
 
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC.

Hivi mmeshindwa nini kwa Kipindi hiki cha mpito tu hata Kumkabidhi Timu Mtani wangu wa 'Kiha' Kocha Selemani Matola akisaidiwa na Musa Hassan Mgosi huku ndani ya Wiki Mbili au Tatu zijazo kabla hatujakutana na Red Arrows ya Zambia muwe mmeshampata Kocha Mkuu na wa uhakika?

Yaani Simba SC kabisa ni ya Kufundishwa na Kocha 'mbovu' Thiery Hitimana ambaye hata tu Wachezaji 'Waandamizi' wa Simba SC na Mmoja wa Kigeni (GENTAMYCINE niliobahatika Kuzungumza nao Kiushkaji wetu) wanasema hakuna Kocha hapo?

Hivi unamfukuzaje Kocha wa Viungo Zrane ambaye 100% ya Wachezaji wa Simba SC si tu wanamkubali pia wanampenda mpaka na Sisi Mashabiki kutokana na Kazi yake Kuonekana halafu unamuacha Mtathmini Mkuu wa Mechi (Team Performance Analyst) wa Simba SC 'Mzimbabwe' ambaye huyu ndiyo Jicho Kuu la Kiufundi na Kiushauri kwa Kocha Mkuu na Benchi zima la Ufundi?

Kudadadeki leo nashangilia Police Tanzania na kwa 'Mkakati' wao walioupanga kwa Kusaidiwa na Yanga SC tokea Jumapili mpaka baadhi ya Wachezaji wao Kusafirishwa 'Kimafia' na Yanga SC kwenda kwa Yule Mganga wao Mahiri wa Nungwi Pemba na kurejea 'kimya kimya' Jana (Jumatatu) Asubuhi Ushindi wa Simba SC leo ni Sare tu ila Kufungwa ni Kukubwa na Mimi nataka leo tufungwe ili 'Mgogoro' mkubwa uibuke (uzuke) tupigane na tuchapane vizuri kwani tumeshachoka Kuvumilia Upumbavu uliopo.
Kufungwa Kwa Simba inaonekana kama kitu Cha ajabu sana hayo ni sehemu ya matokeo ya mpira punguza kulalamika na kuitakia timu mabaya
 
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC.

Hivi mmeshindwa nini kwa Kipindi hiki cha mpito tu hata Kumkabidhi Timu Mtani wangu wa 'Kiha' Kocha Selemani Matola akisaidiwa na Musa Hassan Mgosi huku ndani ya Wiki Mbili au Tatu zijazo kabla hatujakutana na Red Arrows ya Zambia muwe mmeshampata Kocha Mkuu na wa uhakika?

Yaani Simba SC kabisa ni ya Kufundishwa na Kocha 'mbovu' Thiery Hitimana ambaye hata tu Wachezaji 'Waandamizi' wa Simba SC na Mmoja wa Kigeni (GENTAMYCINE niliobahatika Kuzungumza nao Kiushkaji wetu) wanasema hakuna Kocha hapo?

Hivi unamfukuzaje Kocha wa Viungo Zrane ambaye 100% ya Wachezaji wa Simba SC si tu wanamkubali pia wanampenda mpaka na Sisi Mashabiki kutokana na Kazi yake Kuonekana halafu unamuacha Mtathmini Mkuu wa Mechi (Team Performance Analyst) wa Simba SC 'Mzimbabwe' ambaye huyu ndiyo Jicho Kuu la Kiufundi na Kiushauri kwa Kocha Mkuu na Benchi zima la Ufundi?

Kudadadeki leo nashangilia Police Tanzania na kwa 'Mkakati' wao walioupanga kwa Kusaidiwa na Yanga SC tokea Jumapili mpaka baadhi ya Wachezaji wao Kusafirishwa 'Kimafia' na Yanga SC kwenda kwa Yule Mganga wao Mahiri wa Nungwi Pemba na kurejea 'kimya kimya' Jana (Jumatatu) Asubuhi Ushindi wa Simba SC leo ni Sare tu ila Kufungwa ni Kukubwa na Mimi nataka leo tufungwe ili 'Mgogoro' mkubwa uibuke (uzuke) tupigane na tuchapane vizuri kwani tumeshachoka Kuvumilia Upumbavu uliopo.
Nakuunga mkono. Yaani mtu aliyesimamia mazoezi hadi kwenye benchi uwanjani na sub kafanya yeye ameonekana ndo anafaa kuliko yule bwana wa viungo ambaye kazi yake ilionekana kwa miaka 2 sasa? Maajabu haya yako Tanzania tu.
 
Nakuunga mkono. Yaani mtu aliyesimamia mazoezi hadi kwenye benchi uwanjani na sub kafanya yeye ameonekana ndo anafaa kuliko yule bwana wa viungo ambaye kazi yake ilionekana kwa miaka 2 sasa? Maajabu haya yako Tanzania tu.
Wewe na Genta wote wapuuzi tu hamtaki kufuatilia habari afu mnakuja hapa kuandika ukuda
Gomez na hao makocha wawili hawana vyeti vya kuendelea kubaki simba na taarifa walishapewa tangu tar10 na TFF
 
Ila huyu hitimana mi simtaki kabisa sema tu ni ngumu kwa mida hii kumpata kocha mwenye vyeti
 
Simba umeikuta na utaiacha na bado Simba itaendelea kuwepo ila wewe utakuwa umeondoka
 
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC.

Hivi mmeshindwa nini kwa Kipindi hiki cha mpito tu hata Kumkabidhi Timu Mtani wangu wa 'Kiha' Kocha Selemani Matola akisaidiwa na Musa Hassan Mgosi huku ndani ya Wiki Mbili au Tatu zijazo kabla hatujakutana na Red Arrows ya Zambia muwe mmeshampata Kocha Mkuu na wa uhakika?

Yaani Simba SC kabisa ni ya Kufundishwa na Kocha 'mbovu' Thiery Hitimana ambaye hata tu Wachezaji 'Waandamizi' wa Simba SC na Mmoja wa Kigeni (GENTAMYCINE niliobahatika Kuzungumza nao Kiushkaji wetu) wanasema hakuna Kocha hapo?

Hivi unamfukuzaje Kocha wa Viungo Zrane ambaye 100% ya Wachezaji wa Simba SC si tu wanamkubali pia wanampenda mpaka na Sisi Mashabiki kutokana na Kazi yake Kuonekana halafu unamuacha Mtathmini Mkuu wa Mechi (Team Performance Analyst) wa Simba SC 'Mzimbabwe' ambaye huyu ndiyo Jicho Kuu la Kiufundi na Kiushauri kwa Kocha Mkuu na Benchi zima la Ufundi?

Kudadadeki leo nashangilia Police Tanzania na kwa 'Mkakati' wao walioupanga kwa Kusaidiwa na Yanga SC tokea Jumapili mpaka baadhi ya Wachezaji wao Kusafirishwa 'Kimafia' na Yanga SC kwenda kwa Yule Mganga wao Mahiri wa Nungwi Pemba na kurejea 'kimya kimya' Jana (Jumatatu) Asubuhi Ushindi wa Simba SC leo ni Sare tu ila Kufungwa ni Kukubwa na Mimi nataka leo tufungwe ili 'Mgogoro' mkubwa uibuke (uzuke) tupigane na tuchapane vizuri kwani tumeshachoka Kuvumilia Upumbavu uliopo.
Jazu bure kumbuka malale hamsini ni mwanachama wa simba

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ila huyu hitimana mi simtaki kabisa sema tu ni ngumu kwa mida hii kumpata kocha mwenye vyeti
Hitimana ni kocha ambaye Biashara utd hawamtaki, NaMuNgO pia hajawaletea mafanikio,lakini[emoji881]kwao ni bonge la kocha,duuuu dunia haishiwi viroja.
 
Simba umeikuta na utaiacha na bado Simba itaendelea kuwepo ila wewe utakuwa umeondoka
Hili jamaa ni lijinga sana, Huyo Matola anayetaka apewe ukocha hata leseni B ya CAF hana na ndio kwanza anaisomea........Huyu jamaa anajikutaga anaijua Simba sc Tanzania kama timu ya Mjomba wake.
 
Kuna Vitu vya Kipumbavu mno vinafanyika Simba SC na naomba leo Simba SC tufungwe au tutoke tu Sare na Police Tanzania ili Hasira zangu za Kufungwa 'Kimipango' na Jwaneng Galaxy nizijumuishe na za leo Usiku nije na Uzi wa Kusema Siri za Upumbavu wote uliopo na unaoendelea Simba SC.

Hivi mmeshindwa nini kwa Kipindi hiki cha mpito tu hata Kumkabidhi Timu Mtani wangu wa 'Kiha' Kocha Selemani Matola akisaidiwa na Musa Hassan Mgosi huku ndani ya Wiki Mbili au Tatu zijazo kabla hatujakutana na Red Arrows ya Zambia muwe mmeshampata Kocha Mkuu na wa uhakika?

Yaani Simba SC kabisa ni ya Kufundishwa na Kocha 'mbovu' Thiery Hitimana ambaye hata tu Wachezaji 'Waandamizi' wa Simba SC na Mmoja wa Kigeni (GENTAMYCINE niliobahatika Kuzungumza nao Kiushkaji wetu) wanasema hakuna Kocha hapo?

Hivi unamfukuzaje Kocha wa Viungo Zrane ambaye 100% ya Wachezaji wa Simba SC si tu wanamkubali pia wanampenda mpaka na Sisi Mashabiki kutokana na Kazi yake Kuonekana halafu unamuacha Mtathmini Mkuu wa Mechi (Team Performance Analyst) wa Simba SC 'Mzimbabwe' ambaye huyu ndiyo Jicho Kuu la Kiufundi na Kiushauri kwa Kocha Mkuu na Benchi zima la Ufundi?

Kudadadeki leo nashangilia Police Tanzania na kwa 'Mkakati' wao walioupanga kwa Kusaidiwa na Yanga SC tokea Jumapili mpaka baadhi ya Wachezaji wao Kusafirishwa 'Kimafia' na Yanga SC kwenda kwa Yule Mganga wao Mahiri wa Nungwi Pemba na kurejea 'kimya kimya' Jana (Jumatatu) Asubuhi Ushindi wa Simba SC leo ni Sare tu ila Kufungwa ni Kukubwa na Mimi nataka leo tufungwe ili 'Mgogoro' mkubwa uibuke (uzuke) tupigane na tuchapane vizuri kwani tumeshachoka Kuvumilia Upumbavu uliopo.
Kwanza wewe njagu.
Halafu timu ya Mohamed Dewji utampngiaje mtu matumizi ya hela yake?
 
Huyo Hitimana tumepigwa aiseeh!.
Mimi mshale21 simuelewi hata kidogo!...

Kwa kumfukuza Gomez, sidhan Kama ilikua Ni Jambo la busara, maana huyu kocha alikua hapend kuona mpira wa hovyo uwanjan na alikua anakaripia Sana pale timu ikionesha kusuasua!!

Huyu Hitimana wao Yan yupo yupo TU, timu inapwaya yeye yupo TU Kama kiazi kilicholala!
 
Back
Top Bottom