Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
mkuu hii mechi Simba ikiyopoteza ni kwa ajili Gomes hayupo bench mwisho wa siku eti wanawasiliana kwa simuHitimana ni kocha ambaye Biashara utd hawamtaki, NaMuNgO pia hajawaletea mafanikio,lakini[emoji881]kwao ni bonge la kocha,duuuu dunia haishiwi viroja.