mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Tunalalamika Wakenya na Waganda wamejaa UN sisi tunaonewa!Kichwa cha habari na ukichoandika ndani haviwiani. Kweli Rais Mkapa alikuwa sahihi. Tunahitaji mjadala WA kitaifa kuhusu elimu ya Sasa.hata uandishi tu kwa lugha ya taifa ni shuguli?
Kipimo cha ukimwi ni bure kabisa.Ndugu wanajf naombeni ushauri coz kama mwezi wa 7 hivi nilikuwa na arosto +pombe nilijikuta nimelala na mwanamke nisiye mjua naombeni mniambie kwa kupiga bao moja na weza pata ukimwi? Na je dalili za ukimwi ni Zipi? na dalili huanza kuonekana baada ya siku ngap?
Ndugu wanajf naombeni ushauri coz kama mwezi wa 7 hivi nilikuwa na arosto +pombe nilijikuta nimelala na mwanamke nisiye mjua naombeni mniambie kwa kupiga bao moja na weza pata ukimwi? Na je dalili za ukimwi ni Zipi? na dalili huanza kuonekana baada ya siku ngap?
Jamani....utasababisha ajiue mwenzioR. I. P
Pia mwambie asubiri miezi mitatu iishe ili akapimeInamaana hawa wanaharakati sijui NGOs wanaotupigia kelele kila siku wanafanya uhamasishaji na elimu huwa wanawafikia watu gani?
Kusingizia pombe na alosto sio mbaya sana, lakini kusema hauelewi ukimwi unaambulizwaje inatia walakini na kuibua maswali mengi juu yako.
Sio jambo la robo, nusu au bao moja, damu au majimaji ya mwenye virusi yakichanganyika na kukawa na michubuko asilimia kubwa maambukizi yatatokea. Kuhusu muda wa dalili inategemea vitu vingi ikiwapo kinga yako na hali yako kwa sasa.
Mwisho sio kila ngono inapelelea maambukizi.
Pep ni within 72hrsNenda kameze vidonge vya PEP unabugia mwez mzima mavidonge fanya haraka
Ndugu wanajf naombeni ushauri coz kama mwezi wa 7 hivi nilikuwa na arosto +pombe nilijikuta nimelala na mwanamke nisiye mjua naombeni mniambie kwa kupiga bao moja na weza pata ukimwi? Na je dalili za ukimwi ni Zipi? na dalili huanza kuonekana baada ya siku ngap?