mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Ndugu wanajf naombeni ushauri coz kama mwezi wa 7 hivi nilikuwa na arosto +pombe nilijikuta nimelala na mwanamke nisiye mjua naombeni mniambie kwa kupiga bao moja na weza pata ukimwi? Na je dalili za ukimwi ni Zipi? na dalili huanza kuonekana baada ya siku ngap?