Absolutely!!kwa kuwa hamza kada na mdhamini wa ccm alihukumiwa kifo na polisi kwa kosa la ugaidi, basi CCM ifutwe kama chama cha siasa
hata hamza alikuwa kiongozi na mfadhili wa chamaHapa tinaongelea kiongozi mkuu was chama kuongoza shughuli za kigaidi
Ugaidi ni tuhuma mbaya na inahitaji upelelezi wamuda mrefu, ukipatikana ushahidi kesi irekebishwe na ianze upyaKama itagundulika kwamba kesi hii ilikuwa ya uongo na imesababisha tahaluki kubwa inchini na kuichafua nchi yetu ,Basi wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu .
Adhabu ni kufungwa maisha
Taharuki ya gaidi kufungwa nayo ni taharukiKama itagundulika kwamba kesi hii ilikuwa ya uongo na imesababisha tahaluki kubwa inchini na kuichafua nchi yetu ,Basi wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua Kali za kinidhamu .
Adhabu ni kufungwa maisha
Nani anazaa haya?Hapa tunaongelea Mbowe, na Mali za Chama ikiwemo ofisi,magari na samani zitaifishwe
🎶Ukisikia yalaa ujue imempata... alielenga anashabaha hajafanya makosa🎶Haya ni maoni yangu, usajili was Chadema kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kioindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili was chadema ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Kuna kikao cha Msajili wa vyama vya siasa na IGP kuandaa agenda ya mkutano na vyama ya siasa. Wahi wapelekee ili iwe agenda namba moja.Haya ni maoni yangu, usajili was Chadema kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kioindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili was chadema ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Wazungumzia kile cha HAMZA?Ni aibu msajili wa vyama anakuwa na chama cha kigaidi katika rejista yake
Haya ni maoni yangu, usajili was Chadema kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kioindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili was chadema ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
Katika kuishi kwangu sijaona wala sijasikia upumbafu kama wakoHaya ni maoni yangu, usajili was Chadema kama Chama cha Siasa ufutwe au usitishwe kwa kuwa shughuli zake kwa tuhuma zilizopo, ni za kigaidi.
Vyombo vya dola vikifanyie ukaguzi was kina, na kwa kioindi cha ukaguzi huo,usajili wao kama chama cha siasa usimamishwe.
Pia, kama ambavyo mtumishi wa umma anavyosimamishwa kazi akiwa na tuhuma za jinai, pia usajili was chadema ufutwe mpaka pale mahakama itakapowasafisha
hahaaaha jibu lako limenivunja mbavuKatika kuishi kwangu sijaona wala sijasikia upumbafu kama wako
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app