Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzenu kina nani?Hivi kwa nini pale uhusiano unapovunjika hawa wenzetu hukimbilia kutoa kauli hii:"............kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...".
Noo mi nabisha kwenye swala muda we mwanaume ukiamua hata leo unakuwa na uhusiano mwingine baada ya kunitupa kule, je mimi binti mpaka nipone hilo jeraha kwanza yataka muda, mmh umenitumia ndio nimejifungia kwako miaka mi2 yani hata wachumba wengine naweza kuwakataa coz of you, ww hata ukiachwa bana mwanaume sio sawa na mwanamke bana.....
Mwanamke hawezi kumtumia mwanaume?Ha ha ha babu tumezoea hivyo bana kwamba viumbe vya kiume vinatumia vya kike, ndo maana mwanaume anaweza kuwa hakupendi lakini anaamua kukutumia tu, akimaliza shida zake anakutupa kuke, ingawa na wanawake wa2miaji wapo, lkn mara nyingi wanawake wanakuwa warahisi kupenda na kuweka malengo ya mbali ktk mahusiano.
Mmmh, nyie viumbe wa kiume bwana, hata mimi ukinitongoza halafu nikikubali kwa moyo wangu wote, tena ukanibadilikia,
Lazima nikuulize ulichokuwa unakitaka umehakipata?
Kwa maana umekipata na umefanikiwa kwa kiwango ulichokusudia sasa umeamua kunimwaga. Ok Fine.....
Kama ni mimi nimekutongoza nikiona nilichokita huna, nakuambia tu, bwana eeh nilidhani waweza kuwa so and so, lakini naona haitakuwa hivyo....
So nisamehe kwa yote, tukae kwa amani. Kama nilichokitaka nimekipata na wewe kiumbe wa kiume umeridhika na hayo matakwa yangu, maisha yanaendelea.
Sasa nyie mnamtumia mtu, akili hadi na damu yake, unampotezea muda msichana wa watu halafu unamkimbia unadhani nini? Hujui mwaka mmoja wa mtoto wa kike una maana kubwa sana kwenye swala la mahusiano?
Niko na wewe nikiwa na miaka say 27, baada ya miaka 2 nina miaka 28, halafu unitupa kule.............Mmmmh ndo hapa unatamani hata kuchinja mtu.
Mwanamke hawezi kumtumia mwanaume?
Huwa hawajiamini, hata kama wanatabia mbaya huwa hawa'admit wameharibu, mawazo yao siku zote wanadhani wanakimbiwa kwasababu wameishamegwa!Hivi kwa nini pale uhusiano unapovunjika hawa wenzetu hukimbilia kutoa kauli hii:"............kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...".
Tatizo LD hajanijibu kuwa wapo wanawake wanaowatumia wanaume!Inawezekana mwanaume kutumiwa,hujasikia watu wanaitwa mbuzi au kama likiwa kubwa buzi?
Eiyer mi naonaga wanaume wana akili sana, haiwezekani wakatumiwa tu hivi hivi, kila atakacho kitoa anajua ni wapi atakifidia, mmmh mwanaume atakupa hata gari lakini ujue mahesabu yake kashayapiga na lazima ulipe tuuu. Mmmh umtumie mwanaume hii msichana asijidanganye. Unajengewa nyumba unatumiwa hadi tigo.....mmmh wanaume fire of dreaming far.....