Uchaguzi 2020 Kwa kuwepo "haki" tu, tunamaliza uchaguzi salama

Uchaguzi 2020 Kwa kuwepo "haki" tu, tunamaliza uchaguzi salama

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Ni nani atabisha kuwa kwa kuwepo "haki" tu katika uchaguzi huu tunapita salama?

Haki itatupa viongozi bora.

Haki itatupa viongozi chaguo la watu.

Haki itatufanya tuheshimike tena.

Haki itatufanya mshikamano wetu kama watanzania urudi.

Haki itatufanya amani iendelee kutamalaki sasa, wakati wa uchaguzi na hata baada ya uchaguzi.

Nk, nk.

Ni kweli yote haya hatuyaoni au ndiyo tena la kuvunda halikuwahi kuwa na ubani?
 
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu kwa watu wote

Tume wanabeba dhamana yote katika kuonyesha "haki" inatendeka.

"Haki" itarejesha mapolisi, jeshi na wana usalama tunaowaona sasa kwenye harakati mbali mbali makambini mwao kwa maisha ya kawaida.

Maalim Seif anazungumzia "haki", Lissu anazungumzia "haki" vivyo hivyo kwa wagombea wengine.

Kwanini Magufuli haongelei wala kutamka neno "haki" popote pale?

Kuna chama na washirika wao ambao wanakereka mno wanaposikia neno "haki."

Kama amani ni muhimu kwetu sote ikiwamo tume, basi tume na ituthibitishie kwa waziwazi na kwa vitendo kuwa uchaguzi huu utakuwa wa haki.
 
Tume wanabeba dhamana yote katika kuonyesha "haki" inatendeka.

"Haki" itarejesha mapolisi, jeshi na wana usalama tunaowaona sasa kwenye harakati mbali mbali makambini mwao kwa maisha ya kawaida.

Maalim Seif anazungumzia "haki", Lissu anazungumzia "haki" vivyo hivyo kwa wagombea wengine.

Kwanini Magufuli haongelei wala kutamka neno "haki" popote pale?

Kuna chama na washirika wao ambao wanakereka mno wanaposikia neno "haki."

Kama amani ni muhimu kwetu sote ikiwamo tume, basi tume na ituthibitishie kwa waziwazi na kwa vitendo kuwa uchaguzi huu utakuwa wa haki.
Kama haki ipo kuna haja gani ya magufuli kuiongelea,? Haki anayoiongelea lissu ni kuhusu watu walio mpiga risasi kutokamatwa na kupelekwa mahakamani, na yote lisy anajua ni kwanini hakujakuwa na feedback ya hiyo inshu kutoka kwenye mamlaka..lakini ndo isiwe sababu binafsi kuonekana nchini tz hakuna haki.hatuwezi chagua rais sera zinazo muhusu mambo yake binafsi.
 
Kama haki ipo kuna haja gani ya magufuli kuiongelea,? Haki anayoiongelea lissu ni kuhusu watu walio mpiga risasi kutokamatwa na kupelekwa mahakamani, na yote lisy anajua ni kwanini hakujakuwa na feedback ya hiyo inshu kutoka kwenye mamlaka..lakini ndo isiwe sababu binafsi kuonekana nchini tz hakuna haki.hatuwezi chagua rais sera zinazo muhusu mambo yake binafsi.

Umekurupuka tokea usingizini?

Haki tunayoongelea hapa ni ile anayoiongelea Maalim Seif, Lissu na wagombea wote isipokuwa Magufuli ni "haki" katika uchaguzi huu. "Haki" hiyo ndiyo inayohusisha tume za uchaguzi. Upo mburula wewe?

Jiridhishe kuwa uko nje ya mada na pengine ni mmoja katika wale wa kile chama dhalimu ambao kwao neno 'haki' kwa uchaguzi huu ni mwiba mno.

Kwa nini hamtaki uchaguzi wa 'haki' mamburula nyie?
 
Umekurupuka tokea usingizini?

Haki tunayoongelea hapa ni ili anayoiongelea Maalim Seif, Lissu na wagombea wote isipokuwa Magufuli ni "haki" katika uchaguzi huu. "Haki" hiyo ndiyo inayohusisha tume za uchaguzi. Upo mburula wewe?

Jiridhishe kuwa uko nje ya mada na pengine ni mmoja katika wale wa kile chama dhalimu ambao kwao neno 'haki' kwa uchaguzi huu ni mwiba mno.

Kwa nini hamtaki uchaguzi wa 'haki' mamburula nyie?
We boya haki unayotaka wewe na mabwana zako kaandamane ndo utaipata kiazi wewe.
 
Ni nani atabisha kuwa kwa kuwepo "haki" tu katika uchaguzi huu tunapita salama?

Haki itatupa viongozi bora.

Haki itatupa viongozi chaguo la watu.

Haki itatufanya tuheshimike tena.

Haki itatufanya mshikamano wetu kama watanzania urudi.

Haki itatufanya amani iendelee kutamalaki sasa, wakati wa uchaguzi na hata baada ya uchaguzi.

Nk, nk.

Ni kweli yote haya hatuyaoni au ndiyo tena la kuvunda halikuwahi kuwa na ubani?
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe kabsa na neno HAKI hawalitambui hususani kwenye utawala huu wa Mkoloni kaburu mweusi
 
Tarehe 27 kama hawajawaapisha mawakala wa Chadema na ACT ni kuingia road hakuna uchaguzi..
Zipo figisu figisu nyingi mno CCM hawapo tayari kukaa Benchi hata kawa watakataliwa kwenye sanduku la kura, wana hofu ya kusalia na kesi za kutumia madaraka vibaya hususani kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge na pia Ndungai kutumia bilion 12 peke yake akiwa India na ufisadi mwingineo mwingi ikiwemo zile trilion 1.5 walizokwapua kisha kumtoa CAG kafara
 
Nani hadi sasa amekosa haki yake kwenye uchaguzi Huu?

Acheni KUJITISHA.... nyie wakubwa buana😂😂😂😂
 
Nchi ina miaka 59 hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa zote za maendeleo kuanza za viwanda nk wamechukua na kuzitumia kudidimiza demokrasia hawataki maendeleo bali wapo tayari kutumia 50% ya pato la Taifa kuihujumu kuidhoofisha chadema badala ya maendeleo na hata huto tuvimaendeleo kiduchu kuna ufisadi mkubwa wa kutisha na idadi kubwa ya kampuni ni zao za marafiki zao,pesa inazunguka inamrudia mwenyewe kwa njia haramu za kishetani, hakuna CCM malaika wote ni wazee wa fursa ukoo wa panya, CCM ni ile ile ingawa ya sasa kuna udikiteta zaidi ya ile CCM ya awamu zingine.
 
Nani hadi sasa amekosa haki yake kwenye uchaguzi Huu?

Acheni KUJITISHA.... nyie wakubwa buana😂😂😂😂
Msajiliccm na NECCCM Tumeccm kujifanya viranja kuingilia sera kuwapangia wagombea cha kuongea majukwaani ni mojawapo ya uvunjifu wa HAKI, wanawavunjia haki za uhuru wa kufanya kampeni, mtukufu magufuli yeye ana haki ya kusimama popote kuongea chochote na kutoa Amri za kazi kipindi cha kampeni ambayo kisheria ni Rushwa, huwasikii NECCCM wala Msajiliccm kukemea hilo na Hapo HAKI imeshavunjwa mno
 
Ni nani atabisha kuwa kwa kuwepo "haki" tu katika uchaguzi huu tunapita salama?

Haki itatupa viongozi bora.

Haki itatupa viongozi chaguo la watu.

Haki itatufanya tuheshimike tena.

Haki itatufanya mshikamano wetu kama watanzania urudi.

Haki itatufanya amani iendelee kutamalaki sasa, wakati wa uchaguzi na hata baada ya uchaguzi.

Nk, nk.

Ni kweli yote haya hatuyaoni au ndiyo tena la kuvunda halikuwahi kuwa na ubani?
Ngoja mashetani yaje, yatapinga "haki"
Ukitaka kujua chama cha mashetani ni kipi ngoja tu muda siyo mrefu utayaona yanakuja kutetea ndo utajua kumbe hawa hawataki haki itendeke
 
Kama haki ipo kuna haja gani ya magufuli kuiongelea,? Haki anayoiongelea lissu ni kuhusu watu walio mpiga risasi kutokamatwa na kupelekwa mahakamani, na yote lisy anajua ni kwanini hakujakuwa na feedback ya hiyo inshu kutoka kwenye mamlaka..lakini ndo isiwe sababu binafsi kuonekana nchini tz hakuna haki.hatuwezi chagua rais sera zinazo muhusu mambo yake binafsi.
Wewe ndiyo ulikwenda Dodoma na Bashite kumpiga risasi ndiyo maana hutaki aongelee unyama wako wewe shetani mkubwa acha upumbavu wako, usimpangie Tundu lisu cha kuongea juu ya HAKI kwani mtukufu magufuli hajui maana ya HAKI ndiyo maana huwabambikia kesi kesi wapinzani na kuwatesa wafanyabiashara wakubwa kwa kuwapa kesi za uhujumu uchumi kufirisiwa kwa kubambikiwa kodi kubwa na TRA
 
Mithali 34:14
Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu kwa watu wote
Hakuna HAKI Tanzania ya sasa hata BOT imekuwa ikiwachukulia watu pesa zao zinazotoka nje kwa visingizio kuwa ni utakatishaji pesa na wakipiga kelele hutishiwa kupewa kesi za uhujumu uchumi, kuna dhuluma za kutisha utawala huu na kwa udhaifu huo wafanyabiashara wakubwa wamefungua A/C kwenye mabenk ya Zambia kenya na Uganda ambapo hawasumbui mtu na pesa zake na sasa wakitumiea pesa wanaenda kuzichukua huko kwenye HAKI ya kumiliki chako
 
Haki imepotea Tanzania tarehe 28 Nchi itapata uhuru na haki itarejeshwa wale wote waliodhurumiwa na utawala huu watalipwa haki zao
 
Nani hadi sasa amekosa haki yake kwenye uchaguzi Huu?

Acheni KUJITISHA.... nyie wakubwa buana😂😂😂😂

Wewe nani kuwaongelea wanaonyimwa haki kwenye uchaguzi huu?

Walioenguliwa uchaguzi huu kimzengwe mzengwe ili kina majaliwa, kabudi, abood na wengine wapite bila kupingwa wametendewa haki ipi?

Wanaosimamishwa kufanya kampeni kwa tuhuma za kubumba wakati Mi-CCM ikifanya yale yale wanayoadhibiwa wengine hujayasikia?

Tangu lini ushirikiano kwa wengine ukawa ni haramu Ila kwenu? Tangu lini maoni ya mtu mwingine yakawa haramu Ila yenu? Tangu lini ikawa halali kwenu watuhumiwa wa kukiuka haki za wengi kuwa ndiyo waamuzi wa kutuamulia kuwa haki ipo?

Sema tuendelee kuorodhesha haki zinazominywa kama ndiyo kwanza unawasili tokea sayari nyingine.
 
Back
Top Bottom