Kwa kuzusha Serikali umetumia Tsh 300 bilioni kutengeneza Mabango ya Rais Samia nashauri Wenje akamatwe na kuhojiwa

Kwa kuzusha Serikali umetumia Tsh 300 bilioni kutengeneza Mabango ya Rais Samia nashauri Wenje akamatwe na kuhojiwa

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi...
Mnakimbilia watu kukamatwa mnatumia akili lakini? Kama hivyo ndivyo kwanini umtaje mmoja tu Wenje wakati hata Lissu kasema pia?

Unafiki huo waache wananchi waseme maana wana taarifa kama sivyo mamlaka husika wangekuwa wamekanusha sio kukimbilia kushaiwishi wakamatwe!!!! Mmezoea kunyanyasa wananchi
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Twambie wewe gharama zake ni zipi?
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.


Unamkamata na ikathibitika ni kweli inakuaje??, isitoshe anakamatwa na nani??, mkamataji ndiye huyo huyo kaajiriwa na mtuhumiwa, kuna kitu hapo??!!
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Una akili poyoyo hujijui.
Kwa hiyo kila kitu akamatwe Kwa lipo hata kama hakuna ukweli kukamata sio tija waulize wenyewe kwanza je gharama ya bango Moja na ufanye hesabu kama hukushikwa na butwaa!

Mbona nchi za wenzetu hutayakuta hayo mabango na ndio hao hao watoka Msaada kwetu!
Acha ujinga mabango ni ya kusifia tuu.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yam eigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Ww unaepinga na kusema ni uongo,type ukweli yamegharimu sh ngapi?sijui unatumia hakili ipi
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Naundgo mkono Mkuu. Wazushi wasivumiliwe kabisaa, wachafuzi na wachonganishi !
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Tayari umekwishakuwa mshiriki katika kutishia watu waogope kusema wanachofikiri wao. Toa mwongozo sasa alichotakiwa kusema huyo Wenje, ili tuone kama mawazo yako ni sahihi zaidi ya Wenje.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Ushamba wa kukamatana kamatana uliondoka na yule mwovu wa chato
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Acha mentality za awamu iliyopita, ulipaswa ulete ukweli unaoujua wew na sio denial pekee!!
 
Wenje yuko sahihi mabango ni biashara leo samia naye ni biashara halmashauri zinatoza kodi kwa mabango makubwa kwa madogo ikiwa mabango ya wagombea udiwani, ubunge na urais yalitozwa sembuse ya kujikomba
 
Back
Top Bottom