Kwa kuzusha Serikali umetumia Tsh 300 bilioni kutengeneza Mabango ya Rais Samia nashauri Wenje akamatwe na kuhojiwa

Kwa kuzusha Serikali umetumia Tsh 300 bilioni kutengeneza Mabango ya Rais Samia nashauri Wenje akamatwe na kuhojiwa

wamechafua miji. Jingine eti liko pembeni ya la msanii harmonize. Kuna mkoa wameweka bango lake kando ya tangazo la soda za mirinda limeandikwa tamu yangu
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Tuambie Wewe ni kiasi gani kimetumika
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Tembea Nchini uyaone mabango ,usikae kijinini kwenu unakula ugali wa shikamo kwa wazazi.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Haya, sio bilioni 300.

Je yamegharimu shs ngapi?
Je ilikuwa muhumu kuyaweka?

Upuuzi huu ulianza awamu ya Mwendazake.
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Tuambie kwa takwimu ulizonazo , yamegharimu bilioni ngapi!?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
sina haja ya kujua yametumia bil ngap ila kw uelew wk mtoa maada hayo mabango ya rais yanafaid gn kwko

Kuna mambo mango nchi hii yayohitaj pesa Tena ya msng kabsa !! Akil mgando km zakwak hazsaidii nch
 
Haya, sio bilioni 300.

Je yamegharimu shs ngapi?
Je ilikuwa muhumu kuyaweka?

Upuuzi huu ulianza awamu ya Mwendazake.
Uongo mabango ya jpm yakiyopo ni yale kampen ni mengine yaliwekwa na wabunge ili walpate nguvu kwenye majimbo yao .jpm hakuwahi kuwwka mabango ya kimkakati katikati ya msimu kama anavyo fanya huyu bibi
 
Uongo mabango ya jpm yakiyopo ni yale kampen ni mengine yaliwekwa na wabunge ili walpate nguvu kwenye majimbo yao .jpm hakuwahi kuwwka mabango ya kimkakati katikati ya msimu kama anavyo fanya huyu bibi
Usibishe tuu.

Ulitembelea Dodoma, Manyara, Arusha...kabla ya uchafuzi wa 2020?
Kwenye lile igizo la October 2020, je aliruhusu hata wagombea wengine kuweka mabango yao?

Kwa nini mnajisahaulisha na kujitia upofu kwenye mambo ya wazi kama jua angavu?
 
Kwanza hiyo ni kampeni ya kijanjajanja kabla ya muda wa uchaguzi mkuu, lakini kama ukubaliki ukubaliki tu!
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Wewe mwenye takwimu sahihi tuambie zimetumika bilioni mia ngapi?
 
Mabango ya Rais Samia Ni mengi sana ila kwa Kweli Hakuna mtanzania mwenye muda wa kuyaangalia wala hayana ushawishi Hata kidogo.
Hayo ni mpango wa upigaji tu na Samia kwa kuyakalia kimya ina maana amebariki huu ubadhirifu wa kodi zetu
 
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.

Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.

Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.

Mungu ni mwema wakati wote.
Akili za kijima na uoga za awamu ya tano; uongozi wa kamata kamata!
 
Back
Top Bottom