BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
wamechafua miji. Jingine eti liko pembeni ya la msanii harmonize. Kuna mkoa wameweka bango lake kando ya tangazo la soda za mirinda limeandikwa tamu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie Wewe ni kiasi gani kimetumikaNimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Kama Waziri wa Biashara alisema mgomo kariakoo ni uzushi , ila leo Waziri Mkuu kaenda.Naundgo mkono Mkuu. Wazushi wasivumiliwe kabisaa, wachafuzi na wachonganishi !
Tembea Nchini uyaone mabango ,usikae kijinini kwenu unakula ugali wa shikamo kwa wazazi.Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Haya, sio bilioni 300.Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Tuambie kwa takwimu ulizonazo , yamegharimu bilioni ngapi!?Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
sina haja ya kujua yametumia bil ngap ila kw uelew wk mtoa maada hayo mabango ya rais yanafaid gn kwkoNimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Uongo mabango ya jpm yakiyopo ni yale kampen ni mengine yaliwekwa na wabunge ili walpate nguvu kwenye majimbo yao .jpm hakuwahi kuwwka mabango ya kimkakati katikati ya msimu kama anavyo fanya huyu bibiHaya, sio bilioni 300.
Je yamegharimu shs ngapi?
Je ilikuwa muhumu kuyaweka?
Upuuzi huu ulianza awamu ya Mwendazake.
Usibishe tuu.Uongo mabango ya jpm yakiyopo ni yale kampen ni mengine yaliwekwa na wabunge ili walpate nguvu kwenye majimbo yao .jpm hakuwahi kuwwka mabango ya kimkakati katikati ya msimu kama anavyo fanya huyu bibi
Wewe mwenye takwimu sahihi tuambie zimetumika bilioni mia ngapi?Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Hayo ni mpango wa upigaji tu na Samia kwa kuyakalia kimya ina maana amebariki huu ubadhirifu wa kodi zetuMabango ya Rais Samia Ni mengi sana ila kwa Kweli Hakuna mtanzania mwenye muda wa kuyaangalia wala hayana ushawishi Hata kidogo.
Akili za kijima na uoga za awamu ya tano; uongozi wa kamata kamata!Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.