johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mnakimbilia watu kukamatwa mnatumia akili lakini? Kama hivyo ndivyo kwanini umtaje mmoja tu Wenje wakati hata Lissu kasema pia?Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi...
Twambie wewe gharama zake ni zipi?Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Una akili poyoyo hujijui.Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Ww unaepinga na kusema ni uongo,type ukweli yamegharimu sh ngapi?sijui unatumia hakili ipiNimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yam eigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Naundgo mkono Mkuu. Wazushi wasivumiliwe kabisaa, wachafuzi na wachonganishi !Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Hiyo pesa inatosha kujenga barabara ya kawaida ya lami zaidi ya km 100; serikali imeona mabango ni muhimu zaidi.
Kupanga ni kuchagua.
Tayari umekwishakuwa mshiriki katika kutishia watu waogope kusema wanachofikiri wao. Toa mwongozo sasa alichotakiwa kusema huyo Wenje, ili tuone kama mawazo yako ni sahihi zaidi ya Wenje.Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Ushamba wa kukamatana kamatana uliondoka na yule mwovu wa chatoNimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.
Acha mentality za awamu iliyopita, ulipaswa ulete ukweli unaoujua wew na sio denial pekee!!Nimeona kupitia Jambo TV Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Ziwa Victoria mh Wenje akidai Mabango yenye picha za Rais Samia yaliyoko barabarani yameigharimu Serikali tsh 300 Bilioni Fedha za Walipa kodi.
Binafsi nauita huu ni Uwongo na Uzushi uliotukuka.
Wenje akamatwe na kuhojiwa, ndio ushauri wangu.
Mungu ni mwema wakati wote.