Kwa kweli leo nimewakubali wachezaji wa Simba

Yanga ndo hivyo tumewabeba na nyinyi mshiriki mashindano ya Caf mwakani, ila kwa kikosi kibovu mlichonachi sipati picha .. anyway it's just a matter of time ..
 
Chonde chonde Mo na bodi yako kama kulikuwa na ahadi yoyote kwa wachezaji kama wakishinda basi wapewe hata nusu yake kwani leo wachezaji wote wamejitoa kweli kweli yaani leo ndio nimeona ile machozi, jasho na damu kwa dakika zote 90. Yaani ni makosa madogo madogo sana kwenye umaliziaji na kukosa bahati ndio vimewaangusha leo lakini kiukweli timu nzima leo kwa pamoja imeshambulia na kuzuia mwanzo mwisho .
 
Morrison au Boko na Mugalu?
Mugalu ni zezeta wa timu, sio shida sana, tatizo la kocha ila kwa nafasi tulizokuwa nazo leo, Kaizer walivyotepeta, kulikuwa na haja gani ya mtu kujiangisha kijinga kutafuta penati? Miqquoson naye, nguvu zipi za kupiga alizonazo akaacha kutoa pas kwa watu wenye nafasi? Chama kadhalika, unapiga bila akili ili iweje?

Yote kwa yote, Morrison alipaka sana rangi upepo.
 
Leo kusema ukweli wachezaji wametufurahisha sana japo mimi ni Yanga. Penye ukweli lazima tuseme ukweli. Hongereni sana wana Simba.

Kwanini usiwape hongera kaizer baada ya ushindi wa goli 4-0 dhidi ya wapinzani wako?


Mpaka hapo alifikia ashukuru sana, huko mbele angekutana na wababe wenye makombe yao waarabu, aise wangekula sio chini ya goli 10. Afadhali wametolewa, taifa lingepata aibu kubwa mno



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Mlianza kwa Plateu yq Nigeria ,mkawapa na malazi ...na mengine mnajua wenyewe,ikaja ,Dynamo...tukaingia makundi mkasemaTutaaaibika...akalala Vita,akalala Al Ahly,akalala El Mereikh ...tukaongoza kundi letu kuingiaa Name Bora yw Africa ...Leo tunetoka kishujaa ...!
Bado mnachonga ...kweli umasikini niattitude!
 

Akalala al ahly, kwao pia mkapigwa.

Sema al ahly sio ile tunayoijua alikua anapiga mtu goli 5. Sikuizi wamechoka

Al ahly-Wydad final

Wydad bingwa



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
Akalala al ahly, kwao pia mkapigwa.

Sema al ahly sio ile tunayoijua alikua anapiga mtu goli 5. Sikuizi wamechoka

Al ahly-Wydad final

Wydad bingwa



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
Chongeni mtakavyo Ila Simba ipo kwenye nane Bora ya Afrika!
 
Mnyama kaingiza wachezaji watano katika team of the week kutokana na mechi ya jana.

Ni ukweli usiopingika vijana walidhamiria ila ndio hivyo bahati yao iliishia hapo
 
Kweli wewe ni yanga? Badala ya kujiuliza vipi kaizer wameshindwa hata kukimbia tu uwanjani...unakimbilia kusifia
 
Akalala al ahly, kwao pia mkapigwa.

Sema al ahly sio ile tunayoijua alikua anapiga mtu goli 5. Sikuizi wamechoka

Al ahly-Wydad final

Wydad bingwa



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
Bila shaka mtawaita kwenye KIDIMBWI DAY kwa kuwa wamechoka.... Sio mlete timu isiyo na kocha toka Burundi huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…