The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Hiyo laki tano mpe Ivory coast leo, kufikia asubuhi utaamka na milioni ndo ufanye mpango wa hiyo maabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu microscope used ya laki 3 inapatikanika wapi mimi nikupe laki 3.5Budget ya laki tano
Nunua Mrdt 2 zakuanzia
Upt box 1
Hiv kit 1
gloves box 1
hivo hata laki haiishi
Tafuta microscope used kwa la3
chumba lipa miez2 (50*2)
Dawa si lazima uwe nazo utakua unawaandikia wakanunue
anza na hapo utaja nishukuru
Maaabara bila ya kuwa na darubini cjui unatoboaje yani na hyo si maaabara na pia hizo rapid test haziwezi kukulipa jipange tena
Maabara siku hizi zina darubini? Darubini hizi hizi za bunduki!
labda uwe unapimaWakuu nataka nifungue maabara ndogo.
Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!
Wataalam wa Afya nawaomba hapa!
perfectBudget ya laki tano
Nunua Mrdt 2 zakuanzia
Upt box 1
Hiv kit 1
gloves box 1
hivo hata laki haiishi
Tafuta microscope used kwa la3
chumba lipa miez2 (50*2)
Dawa si lazima uwe nazo utakua unawaandikia wakanunue
anza na hapo utaja nishukuru
kama ana location nzuri fanyeni muunganeUkikua kibiashara(not now) tuwasiliane, kuna portable device ukiwa nayo you'll make money. Inapima more than 100 diseases from gastrointestinal, hormonal to thyroid.. etc
3m mkuu. Reagents zipo kwa uhakika sana.
Laki 5 huwezi hapo andaaa milion 5 tena kimaabara mshenzi
mkuu kama utakuwa huvuti basi kapime utakuwa umeanza kupata changamoto ya afya ya akili
Laki tano hiyo inaishia kwenye kodi na kutengeneza mazingira ya hilo eneo yakae ki maabara ( utakuwa umeelewa). Pia kumbuka kuna kununua meza na viti na vitu vidogo vidogo kama dustbin nk..
Hata Mabara unayafungua ni pesa nyingi tu hiyo.Wakuu nataka nifungue maabara ndogo.
Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!
Wataalam wa Afya nawaomba hapa!
Maabara unayotaka kufungua ni ya udongo ila kama upo serious fanya research ujue vinavyohitajika nini halafu bei zake zipoje uchukue mkopo na kabla hujachukua angalia benki ipi inariba kidogo ila nzuri ni equaty benki na pia angalia mkopo unaoukopa unaweka akiba maana lazima uajiri na mtu mmoja wakuanzia.
Even salary je unaweza kumlipa na nihow much.?
Angalia advantage ya biashara hiyo na hasara zake na back up uwe nayo umeerewa?? Kijana kafanye hayo
Hahawewe ndio mtu
wewe ndio mshauri
kwa huu ushauri nimewasamehe wote waliokua wanatukana!
Ubarikiwe