Kwa Laki 5 naweza nikafungua Maabara?

Kwa Laki 5 naweza nikafungua Maabara?

Budget ya laki tano
Nunua Mrdt 2 zakuanzia
Upt box 1
Hiv kit 1
gloves box 1
hivo hata laki haiishi

Tafuta microscope used kwa la3
chumba lipa miez2 (50*2)

Dawa si lazima uwe nazo utakua unawaandikia wakanunue

anza na hapo utaja nishukuru
Mkuu microscope used ya laki 3 inapatikanika wapi mimi nikupe laki 3.5
 
Budget ya laki tano
Nunua Mrdt 2 zakuanzia
Upt box 1
Hiv kit 1
gloves box 1
hivo hata laki haiishi

Tafuta microscope used kwa la3
chumba lipa miez2 (50*2)

Dawa si lazima uwe nazo utakua unawaandikia wakanunue

anza na hapo utaja nishukuru
perfect
 
Laki tano hiyo inaishia kwenye kodi na kutengeneza mazingira ya hilo eneo yakae ki maabara ( utakuwa umeelewa). Pia kumbuka kuna kununua meza na viti na vitu vidogo vidogo kama dustbin nk..

Hiyo ni nje ya kodi ya jengo bana
 
Wakuu nataka nifungue maabara ndogo.

Elewa hapo ndogo! Ila nina mtaji wa laki tano je unatosha kufungua Maabara ndogo ya kuanzia nikipata hela nitakuwa naongezea vitu!

Wataalam wa Afya nawaomba hapa!
Hata Mabara unayafungua ni pesa nyingi tu hiyo.
 
Maabara unayotaka kufungua ni ya udongo ila kama upo serious fanya research ujue vinavyohitajika nini halafu bei zake zipoje uchukue mkopo na kabla hujachukua angalia benki ipi inariba kidogo ila nzuri ni equaty benki na pia angalia mkopo unaoukopa unaweka akiba maana lazima uajiri na mtu mmoja wakuanzia.
Even salary je unaweza kumlipa na nihow much.?
Angalia advantage ya biashara hiyo na hasara zake na back up uwe nayo umeerewa?? Kijana kafanye hayo

wewe ndio mtu

wewe ndio mshauri

kwa huu ushauri nimewasamehe wote waliokua wanatukana!
Ubarikiwe
 
labda ya kupiga ramli...

sorry kama ntakukwaza maana laki 5 unalipa kodi ya jengo miezi mitatu tu na hela ya usafi kwenye jengo kwishaa
 
Back
Top Bottom