Ingia sportpesa kacheze Casino avatar, tumia 100k inacheza Kwa 10k kila raundi kwa machale baada ya lisaa hope 50k itakuwa imekuzalishia kati ya 500k hadi 800kHellow guys mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina matamanio ya kujiajri.
Je, ni biashara gani yenye mtaji mdogo kwa 200k itakayoweza kuniinua kiuchumi[emoji94][emoji94]
View attachment 2877638
Tupe chimbo na maujanja yake mkuuLaki mbili ni ndogo ukiangalia kwaupana lakini kubwa kwakuanza kidogo kidogo
Ushauri wangu fanya biashara ya matunda, kwamkoani ningekuambia uza mkaa Anza na roba Tano
Pia genge ndogo la mboga za majani na matunda ingetosha
Kwahiyo picha wewe ni toto lamjini Kuna chimbo kusini ungeenda nahiyo laki mbili ingekutoa labda uwe mpenda chini
Anataka kuliwa huyuDogo kazingua picha yanini sasa nahilo pozi !
Ngoja wampee mwongozo Kutokana na picha yake ndio akili imkae sawa
Betting.....labdaaHellow guys mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 na nina matamanio ya kujiajri.
Je, ni biashara gani yenye mtaji mdogo kwa 200k itakayoweza kuniinua kiuchumi[emoji94][emoji94]
View attachment 2877638
Amekuwa chakila?.Anataka kuliwa huyu
Laki mbili ni ndogo ukiangalia kwaupana lakini kubwa kwakuanza kidogo kidogo
Ushauri wangu fanya biashara ya matunda, kwamkoani ningekuambia uza mkaa Anza na roba Tano
Pia genge ndogo la mboga za majani na matunda ingetosha
Kwahiyo picha wewe ni toto lamjini Kuna chimbo kusini ungeenda nahiyo laki mbili ingekutoa labda uwe mpenda chini