Kuna point hapo zingine zinaonyesha si kupenda bali ni ujinga walio nao....Haswa hio ya kumfumania mme wake, halafu bado anaendela kuishi na mme wake.
Any way nice thread.
katika 100% wako 1% mana iko kipondo chake akikufumani vita vya palestina na israel vikasome mana ugomvi hautaisha itakua kila ukichelewa tu kidogo gengeni unakichapo hevi ukija home...................ila kwa wanawake kwakua hawawezi kumpiga mwanaume basi husamehe au kuondoka ..............ila hua nashangaa kwann mwanamke hawezi kumpa kosovo mwanamme hapo naona mungu hakufanya usawa ktk kugawa nguvu kati ya ke na mekwani wanaume hawasamehi?
Anakufumania, anapigwa, mume ananyang'anywa. Bwana yakimshinda huko alikodhani anapendwa anarudi kuomba msahama, anasamehewa. How about that?[/COLOR]
anakufumania: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!!
...
Unazaa nje ya ndoa: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!
Unarudi usiku wa manane ukiwa mtungi:anakuwa na hofu kwa kuhofia usalama wako,ukirudi anafurahi, anakukaribisha vizuri, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.
...
Unaamka asubuhi na mahangover: Anakuandalia staftahi,supu n.k. (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa supu na kuzimua. Wala halalamiki!
Chakula cha usiku: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hufanyi maandalizi yoyote unamuumiza.ukishamaliza bila kujali kama mwenzako naye karidhika unageukia pembeni na kuanza kukoroma.
Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!
Unajiandaa kwenda kibaruani: Unaamka,unakuta tayari kakuandalia viwalo, suruwali imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi!
Ulichomuudhi jana keshasahau na kukusamehe! Anakutakia kazi njema kwa pendo!!!
Unampa ujauzito: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!
Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini wanasamehe, wanavumilia,wanaendelea kuwapenda!
Kwa leo acheni tu niwape
heshima zao wanawake wote:
Love women!
God bless women!!!!!!"
kuna saa nafikiri wanaume wanauwezo mdogo wa kufikiri mnooooooooo ingawa wao wanaona wana akili nyingi kuliko wanawake samahani guys kama nitakua nimewaboa ........just thinking sina matatizo nanyi
Yani hapo ndo mnazidi kuonyesha vipi wajinga.Anakufumania, anapigwa, mume ananyang'anywa. Bwana yakimshinda huko alikodhani anapendwa anarudi kuomba msahama, anasamehewa. How about that?[/COLOR]
Yani hapo ndo mnazidi kuonyesha vipi wajinga.
Mtabakia kujidanganya, ndo mana siku hizi wewe ukitaka kujuana na mwanamke yeye anadhani wewe unataka kumvua chupi tu...Yani watu wanaona mbali wao wamebakia kutazama chini ya kitovu tu.kuna saa nafikiri wanaume wanauwezo mdogo wa kufikiri mnooooooooo ingawa wao wanaona wana akili nyingi kuliko wanawake samahani guys kama nitakua nimewaboa ........just thinking sina matatizo nanyi
Sikusema wanawake wote wajinga, lakini 75% wamo katika kundi hilo.kwa hiyo fazaa unaona wanawake ni wajinga sio?
anakufumania: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau na anaendelea kukupenda!!!
...
Unazaa nje ya ndoa: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!
Unarudi usiku wa manane ukiwa mtungi:anakuwa na hofu kwa kuhofia usalama wako,ukirudi anafurahi, anakukaribisha vizuri, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.
...
Unaamka asubuhi na mahangover: Anakuandalia staftahi,supu n.k. (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa supu na kuzimua. Wala halalamiki!
Chakula cha usiku: Ushapiga mtungi wako, unataka huduma. Unamrukia, hufanyi maandalizi yoyote unamuumiza.ukishamaliza bila kujali kama mwenzako naye karidhika unageukia pembeni na kuanza kukoroma.
Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!
Unajiandaa kwenda kibaruani: Unaamka,unakuta tayari kakuandalia viwalo, suruwali imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi!
Ulichomuudhi jana keshasahau na kukusamehe! Anakutakia kazi njema kwa pendo!!!
Unampa ujauzito: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!
Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini wanasamehe, wanavumilia,wanaendelea kuwapenda!
Kwa leo acheni tu niwape
heshima zao wanawake wote:
Love women!
God bless women!!!!!!"
Sikusema wanawake wote wajinga, lakini 75% wamo katika kundi hilo.
tumika mtumishi tumika wanawake ugonjwa wao kubembelezwa usikate tamaa raha ya ndoa kuishi pamoja na kuelewana kicheko kinakuja chenyewei will always remember my beloved wife, i know one day you will forgive me! I love you
Kutokana na pointi za kuwafumania wanaume zao, na kukubali kuendelea kuishi na wanaume zao kama hakuna kilicho tokea.huo ujinga unaupima ktk mizani ya namna gani? Na ni ujinga wa namna gani unaozungumzia? Katika hali gani? unataka ukimkosea mtu akikusamehe ni mjinga? Au ametumia hekima?
sina maana hiyo ila nilikua namjibu yule aliyesema kua mwanamme kafumaniwa na mkewe ......yule mgoni kampa kichapo mke wa ndoa na kusepa na men wake ila yule baba kaenda huko kaona mambo magumu kaamua kumrudia mkewe na magoti ampe second chance ndio mana nikasema wanaume wanaupeo wakufikiri kidogo kuliko wanawake ...............just thinkingkwa hiyo wenye upeo mkubwa nyie mnaovimilia kichapo na kusamehe?