Ana yule rafiki yake nae wyt, yan ndio hamna kitu kbsaaaa. Analazimisha mpk inaonekana kbsa ndio maana ht nyimbo wala video zake hazikaag sn zinasahaulika
TID angalia hawa jamaa wanavyokuletea dharau.punguza ndumu mwana we si wa kufananishwa na huyu fa-la
We utamkataa,kuna watu wanamkubali,kama vile kuna watu wanakubali diamond ila hawamkubali kiba na wapo wanakubali kiba hawamkubali diamond.
Jamaa afanye sasa colabo na wasanii wa nje utashangaa katoboa kimataifa
tusi liko wapi hapo we mama unawashwaacha matusi wewe bila shaka wewe mpumbafuuuu
Hii imekaa poa sana atleast tumebadili upepo kwangu ntaangalia richi mavoko yuko wima sana ila hana bahati
We utamkataa,kuna watu wanamkubali,kama vile kuna watu wanakubali diamond ila hawamkubali kiba na wapo wanakubali kiba hawamkubali diamond.
Jamaa afanye sasa colabo na wasanii wa nje utashangaa katoboa kimataifa
Yaani kwa leo video za ukweli hata audio anazoachia PHD kamwacha mbali,kuna watu walikuja kumfananisha humu mwaka uliopita,ila kwa sasa TID kafunikwa balaa.
sina upendeleo
Wakati TID anaimba bado ulikuwa Mvuti, Usimfanishe na huyu mpaka poda. Hemed hagusi hata theruth kwa TID.