Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
- Thread starter
- #21
Ana yule rafiki yake nae wyt, yan ndio hamna kitu kbsaaaa. Analazimisha mpk inaonekana kbsa ndio maana ht nyimbo wala video zake hazikaag sn zinasahaulika
We utamkataa,kuna watu wanamkubali,kama vile kuna watu wanakubali diamond ila hawamkubali kiba na wapo wanakubali kiba hawamkubali diamond.
Jamaa afanye sasa colabo na wasanii wa nje utashangaa katoboa kimataifa