Kwa lugha nyepesi uzi huu tuelimishaneni, Tume Huru ya Uchaguzi itaundwa na nani? Kweli mimi sielewi

Kwa lugha nyepesi uzi huu tuelimishaneni, Tume Huru ya Uchaguzi itaundwa na nani? Kweli mimi sielewi

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,357
Reaction score
3,550
Habari wadau.

Hivi haya madai ya tume huru ya uchaguzi sawa kama neno linavojieleza kwamba tume iwe huru lakini yaani kwamba wanaounda tume wawe watu gani kwa mfano?

Mimi kwa akili zangu za kawaida tume huru inamaanisha chukua watu toka nje ya bongo yaani nchi mbali mbali walete waje waunde tume. Hamna kucheka na kima. Haku bin haku.

Au tume huru inamaanisha iundwe na watu toka vyama mbali mbali? Kama jibu ni ndio dah hahaha nacheka kwa dharau. Hizi chaguzi zetu tu kwenye wawakilishi wa wagombea wa nafasi mbali mbali kwenye kuhesabu na kulinda kura nasikia watu wanakatiwa mikwanja kura zichakachuliwe je hii tume itakayoundwa hivi ina kinga gani kwa mfano 😲

Jamani narudi pale pale kina nani wataunda tume huru ya uchaguzi?
 
Binadamu wote tuna tunavyovipenda na kuna tunavyovichukia so kama hamna sheria ya kutubana huenda tusiwe rational katika maamuzi. Mi nadhani tuweze tu ku challenge maamuzi ya tume mahakamani, hili ndo kubwa na la muhimu.
 
We endelea kucheka cheka kama chizi kaona jalala jipya!!
 
Huelewi nini ? Maana ya tume huru cha kwanza wasiwe wateule wa rais. Iwapo rais akiingiza tu mkono wake wa uteuzi ndo haya ya kina Jecha Salim Jecha yaliyotokea Zanzibar.

Tume huru ya uchaguzi ni ile inayoshirikisha makundi yote (wakiwepo wawakilishi wa vyama vya upinzani). Sio hii ya kututeua unaotufahamu ukitegemea kabisa tutakua loyal kwako.
 
Habari wadau.

Hivi haya madai ya tume huru ya uchaguzi sawa kama neno linavojieleza kwamba tume iwe huru lakini yaani kwamba wanaounda tume wawe watu gani kwa mfano?

Mimi kwa akili zangu za kawaida tume huru inamaanisha chukua watu toka nje ya bongo yaani nchi mbali mbali walete waje waunde tume. Hamna kucheka na kima. Haku bin haku.

Au tume huru inamaanisha iundwe na watu toka vyama mbali mbali? Kama jibu ni ndio dah hahaha nacheka kwa dharau. Hizi chaguzi zetu tu kwenye wawakilishi wa wagombea wa nafasi mbali mbali kwenye kuhesabu na kulinda kura nasikia watu wanakatiwa mikwanja kura zichakachuliwe je hii tume itakayoundwa hivi ina kinga gani kwa mfano [emoji44]

Jamani narudi pale pale kina nani wataunda tume huru ya uchaguzi?
Umesema mwenyewe kwa akiliyako ndogo huelewi. Kwahiyo?
Hata mahakama huru huwezi kuelewa. Sembuse tume huru ya Uchaguzi?
 
Huelewi nini ? Maana ya tume huru cha kwanza wasiwe wateule wa rais. Iwapo rais akiingiza tu mkono wake wa uteuzi ndo haya ya kina Jecha Salim Jecha yaliyotokea Zanzibar.
Tume huru ya uchaguzi ni ile inayoshirikisha makundi yote (wakiwepo wawakilishi wa vyama vya upinzani). Sio hii ya kututeua unaotufahamu ukitegemea kabisa tutakua loyal kwako . .

Tume huru siyo hii inayo amrishwa wala kukumbushwa kuwa, "mimi nikuteue, nikulipe mshahara, nikupe nyumba na gari. Halali umtangaze mpinzani kushinda? Haiwezekani!" Mwisho wa kumnukuu.
 
Umesema mwenyewe kwa akiliyako ndogo huelewi. Kwahiyo?
Hata mahakama huru huwezi kuelewa. Sembuse tume huru ya Uchaguzi?
Mtu mzima mwenye vuzis za shaba umeshakula lakini. Maana shemeji yako kamnyima kakio vituz sasa kaka kaondoka na ugali.
Blad ful wahed!
 
Back
Top Bottom