Kwa lugha ya kitaalam

Kwa lugha ya kitaalam

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
inakera mno watumiaji wa kiswahili, kwa waswahili kutumia maneno ya kiingereza na kuita ni lugha ya kitaalam! jamani bakita mko wapi? hata roadblock ni lugha ya kitaalam? wabunge mawaziri viongozi serikalini na wataalam wetu wanaongoza katika hili
 
Back
Top Bottom