DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

DOKEZO Kwa Lugumi na Miss Rwanda 2016, Dola isiruhusu mahusiano ya Lugumi na Viongozi waandamizi nchini na asipewe kazi yoyote ndani ya Majeshi!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hayati hajawahi kuwa na uhusiàno wa karibu na LUGUMI. Infact kipindi cha Dr JPM huyo dogo alikuwa ameshapotezwa na JPM alikuwa anakwenda kumfilisi.

Huyu Lugumi ni kizazi cha JK na wazee wa Msoga. Lugumi ni miongoni mwa watu waliolewq sana baada ya Dr kufariki.

Intelligence ya JESHI ninaimani nayo sana hii inayojiita TISS ina compromise sana na technology pia inatukwamisha

Intelligence ya sasa imehamia kwenye technology
Mkuu kweli Lugumi ni dogo 😀 umemzidi miaka mingapi?
 
Inawezekana vipi kukubali kudalaliwa na lugumi vifaa vya jeshi badala ya majeshi yenyewe wanunue wenywewe?yaani Mfano jeshi linataka ndege vita yaani lugumi ndiyo anakuwa kiunganishi?Au Mimi ndiyo sielewi? Kama ni Hivyo basi Nchi Iko wazi kabisa.
Makampuni yapo yanayopewa tenda kununua vifaa vya jeshi duniani kote ni biashara kama biashara zingine

Adnan Khashoggi alikuwa mfanyabiashara mkubwa sana na Broker
Alikuwa anapatanisha madili ya uuzaji wa kila aina ya silaha kwa nchi nyingi sana
Jamaa alikuwa na pesa za kufa mtu
Alikuwa ni Msaudia
Ila sio yule Khashoggi alieuwawa na hawana undugu
 
watu wanazichukulia poa sana security agency za TZ kina born town wameeaza kwenda ussr na china 1980s huko kupata mafunzo leo waje wazidiwe ujanja kirahisi ivo
Unacho takiwa kujua vizuri ni kwamba, nchi ikisha tanguliza rushwa na siasa basi jua mifumo yote inakuwa butu tena butu haswaa.
 
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Nikisoma comment za humu zinanifanya nizidi kumpenda mke wangu,maana mke wangu ni chuma hicho, cha Lugumi kinasubiri!!
 
Unaweza kushangaa hizi kampeni zote za Lugumi akimwaga Pesa, mara watoto Yatima n.k zina lengo gan na kwanini nguvu kubwa inatumika kumtakatisha !!.


Rais Paul Kagame, ni Rais alojaliwa kua na Taasisi ya kijasusi ilofanikiwa Hapa Africa na Duniani, na Huenda baadhi ya Oparesheni za Rwanda ,huwaacha watu midomo wazi, Hilo halikuja Kwa bahati mbaya, Uwekezaji mkubwa, watu kufundishwa uzalendo na utaifa wangali wadogo ndo kunafanya Taasisi za Ujasusi za Rwanda kuonekana tishio .

Ikiwa kweli Bilionea Lugumi yuko Penzin na Miss Rwanda,

Na Kwamba sasa Bilionea Lugumi yuko karibu sana na viongozi waandamizi wa Nchi hii .

Na wengine siku hizi wanadai anatafutiwa Dili majeshini .


Kuna Haja ya Taa Nyekundu Kuwaka Kwa masilahi Mapana ya Taifa


Penzi lake libaki kua lake, ila Kwa namna yoyote Ile lisiruhusiwe kua na matokeo Kwa Taifa !!

View attachment 3198578
.
View attachment 3198580

Duuhh Jamaa anakojoa pazuri, huyu demu hata maji yake alofulia Chupi au aloogea unaweza kuyanywa kama maji ya kunywa simply because she is so fine
Mnamuogopa PK kweli kweli nyie waswahili
 
Akili za kitoto hivi unajua wasukuma wangapi wenye uncles Rwanda?

Utakawashuku wote, hiyo si xenophobia, mie nina dada yangu kutoka Ngara anatema Kinyarwanda, lakini mswazi huyo Mwajuma wa Tandale aingii. Na habari za Rwanda hana habari nazo kabisa.

Na nina rafiki msukuma ana uncle wanyarwanda na mkewe wa huko huko lakini akili yake Tanzania.

Kuna mix, issue ya usalama ni kujipanga kwa mtindo wao. Lakini sio kupangia raia. Lugumi apigi deal kwa sababu ya Kagame atapiga deal kwa sababu majizi serikalini yanadhani anafaa kupiga deal nae kama mtanzania mwingine yeyote.

Akipata hela atavyoamua kujifurahisha ni yeye. Tuache hizi tabia za kuwabagua watu.

Ulinzi ni swala lingine na deal ni swala lingine; kesho Bashe akiokiota mtoto wa kisonjo it has nothing to do with national security.

Vita yako ni uzalendo, pamoja na makelele ya ACT-Wazalendo na watu kama kuna OMO; kuna maafisa usalama kutoka huko visiwani wanailinda Tanzania wabara awaingii,

Tuache hizi chuki za kupakazia watu mambo,
Wewe ni raia wa nchi hii kweli?
 
Shida zaidi ni hii dhana ya mistrust on grounds of xenophobia and religious differences (halafu mods wanachekea kweli hizo mada).

Ni nadharia za kutoka kwa watu wasiojichanganya tu kwenye jamii; lakini watanzania hatupo ivyo.

Sote tunajua ‘bi-tozo’ anavyotaka kutengeneza mazingira ya kupita kirahisi 2025. Aliweka DGIS mzanzibari akizani atachezea kazi yake.

Kibaya zaidi alichagua mtu ambae ni proper system ya usalama hajui lolote nje ya usalama; yeye mwenyew ilibidi amteme hata miezi minne aikufika. Unacheza na walinzi waliopikwa.

Tuache hizi tabia za kushutumu majirani zetu au kutaka kutengeneza udini.
Acha watu waongee wanacho hisi , hivi vitendo vipo , kama wewe hujaviona wenzako wameviona bora ukatulia tuu.
 
Carlos The Jackal hapa si uta oga maji yake.
Haya Selikavu oa huyo, ili adriz apagawe🤣🤣
FB_IMG_17368036193946383.jpg
 
Back
Top Bottom