Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
No, nilichomaanisha hapo kwenye bold ni kuwa sina mpango wa kuoa fasta hivyo!!
Yah ila unanipa maneno naona Malkia
Haya bana. . .ngoja nisinzie zangu. Muote atakae faa kuita mama na sio aunt wa Malaika.