Kwa Maamuzi ya Lowassa Mahakama ya Kadhi inakuja

Kwa Maamuzi ya Lowassa Mahakama ya Kadhi inakuja

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Kwa falsafa ya lowassa ya maamuzi magumu ni wazi baada ya uchauguzi mkuu Octoba kama atakuwa candidate wa UKAWA.

Waislam wote watanzania kiu yao ya mahakama ya Kadhi itakuwa imekatwa rasmi.

Na sema hivyo maana EL ni mtu wa maamuzi na kwa hili akilihaidi najuwa lazima atekeleze.

Kazi ni moja tu,wale wote wasiokubaliana na Mfumo wa Bakwata ni kuakikisha UKAWA wanaingia Ikulu tu.

Na kila jambo litatekelezwa kwa ustadi mkubwa na uaminifu.

 
Kwa falsafa ya lowassa ya maamuzi magumu ni wazi baada ya uchauguzi mkuu Octoba kama atakuwa candidate wa Ukawa
Waislam wote watanzania kiu yao ya mahakama ya Kadhi itakuwa imekatwa rasmi
Na sema hivyo maana EL ni mtu wa maamuzi na kwa hili akilihaidi najuwa lazima atekeleze.
Kazi ni moja tu,wale wote wasiokubaliana na Mfumo wa Bakwata ni kuakikisha UKAWA wanaingia Ikulu tu.
Na kila jambo litatekelezwa kwa ustadi mkubwa na uaminifu.

Unafikiri waislam ni wajingawajinga sio!? juzi mmemfananisha Lowasa na Mtume wao S.A.W unadhani wanasahau kirahisi.
 
Kwa falsafa ya lowassa ya maamuzi magumu ni wazi baada ya uchauguzi mkuu Octoba kama atakuwa candidate wa Ukawa
Waislam wote watanzania kiu yao ya mahakama ya Kadhi itakuwa imekatwa rasmi
Na sema hivyo maana EL ni mtu wa maamuzi na kwa hili akilihaidi najuwa lazima atekeleze.
Kazi ni moja tu,wale wote wasiokubaliana na Mfumo wa Bakwata ni kuakikisha UKAWA wanaingia Ikulu tu.
Na kila jambo litatekelezwa kwa ustadi mkubwa na uaminifu.

Hatudanganyiki
 
UKAWA siyo ccm version 2 ambayo kila mtu anakurupuka na kutamka alitakalo, kujiamulia kukopa bila mipango, ahadi zakijinga kijinga ambazo kila mtu aliyekaribu na raisi anauhuru wa kufanya bila hata ridhaa za vyombo husika. Mawazo ya kufikiri itakuwa kama ccm ya 2010 ambapo mgombea alikuwa akiahdi vitu bila kuwaza ataa vitekelezaje, huku mke na mtoto nao wakitoa ahadi kivyao, na majuha ya tZ yakishangilia bila kujua zilikuwa ahadi chambo, haipo ukawa.

Masuala ya dini kwenye srikali ondoeni kabisa kwa sababu Tz ni ya Watanzania na si ya dini moja.

Tunakwenda kujenga Tanzania ya Watanzania na si ya watawala kama ilivyokuwa kwenye li ccm.
 
Mkuu upo kwenye kamati inayotengeneza ilani
ya uchaguzi ya CDM?
Move hiyo ilishindwa kumuingiza Mrema ikulu 1995
ccm wakaikopi kama ilivyo unaona inavyowatesa.

Natamani kwenye ilani za uchaguzi
kwa vyama vyote waweke uhuru wa kuabudu
na kamwe wasiahidi chochote kwa dini yoyote
isije ikatugawa na si ajabu Kibo10 isije ikawa wewe ni gamaba unaanza kuwamezesha
watu maneno ya pilipili.
 
Last edited by a moderator:
Kwa falsafa ya lowassa ya maamuzi magumu ni wazi baada ya uchauguzi mkuu Octoba kama atakuwa candidate wa Ukawa
Waislam wote watanzania kiu yao ya mahakama ya Kadhi itakuwa imekatwa rasmi
Na sema hivyo maana EL ni mtu wa maamuzi na kwa hili akilihaidi najuwa lazima atekeleze.
Kazi ni moja tu,wale wote wasiokubaliana na Mfumo wa Bakwata ni kuakikisha UKAWA wanaingia Ikulu tu.
Na kila jambo litatekelezwa kwa ustadi mkubwa na uaminifu.
Mgonjwa wewe maamuzi mqgumu ya kuibia watanzania unajilimbikizia mali halafu unatumia mali hizo kununua uongozi?
 
Lowasa huyu huyu aliyesaini M.O.U na makanisa
Walosaini ni serikali ya CCM na sio mtu mmoja,labda kama umeamua tu kujitoa ufahamu....and by the way hiyo M.O.U inatakiwa kuwa kati ya serikali na tasisi za kidini (sio na makanisa pekee bali hata taasisi za kiislam) zinazotoa huduma za kijamii kwa wananchi wote bila kujali imani zao
 
Kwa falsafa ya lowassa ya maamuzi magumu ni wazi baada ya uchauguzi mkuu Octoba kama atakuwa candidate wa UKAWA.

Waislam wote watanzania kiu yao ya mahakama ya Kadhi itakuwa imekatwa rasmi.

Na sema hivyo maana EL ni mtu wa maamuzi na kwa hili akilihaidi najuwa lazima atekeleze.

Kazi ni moja tu,wale wote wasiokubaliana na Mfumo wa Bakwata ni kuakikisha UKAWA wanaingia Ikulu tu.

Na kila jambo litatekelezwa kwa ustadi mkubwa na uaminifu.




Mkuu tunasubiri ahadi zake kama na hilo litakuwepo basi hakuna namna tutampa kura zetu!!
 
Chadema bana baada ya kuwakata Waislam kwenye kura zenu za maoni sasa hivi tena mnakuja na drama zingine.
 
sijui watu wengine wanatumia nini kichwan? yan mtu mzima umekaa ukafikiria hili nalo ni jambo la kumnadi lowasa, nani kakwambia miswada ya sheria inapitishwa na rais? kwani JK ndio aliikataa mahakama ya kadhi? usifikirie waislam ni wajinga kiasi hicho na usidhan shida yao ni mahakama ya kadhi tu. Waislam wanaweza kumuunga mkono lowasa kama watanzania wengine na sio kwa ahad ya mahakama ya kadhi na hata huyo lowasa hawezi kuja kuahidi kitu kitakacholeta ugomvi tena. Rais ajaye ana mambo mengi ya kufanya zaid kuliko hiyo mahakama.
 
Unafikiri waislam ni wajingawajinga sio!? juzi mmemfananisha Lowasa na Mtume wao S.A.W unadhani wanasahau kirahisi.

Mkuu huyu kafananishwa na mitume,manabii na kugusa imani haya yote tumeyapuuZa hayana faida wala maana kwetu nachojua mimi ameshakatwa!
 
sijui watu wengine wanatumia nini kichwan? yan mtu mzima umekaa ukafikiria hili nalo ni jambo la kumnadi lowasa, nani kakwambia miswada ya sheria inapitishwa na rais? kwani JK ndio aliikataa mahakama ya kadhi? usifikirie waislam ni wajinga kiasi hicho na usidhan shida yao ni mahakama ya kadhi tu. Waislam wanaweza kumuunga mkono lowasa kama watanzania wengine na sio kwa ahad ya mahakama ya kadhi na hata huyo lowasa hawezi kuja kuahidi kitu kitakacholeta ugomvi tena. Rais ajaye ana mambo mengi ya kufanya zaid kuliko hiyo mahakama.

Mkuu katiba lazima iheshimiwe hizi porojo nyingine hazina maana!
 
Ukawa na Lowasa hawaingii madarakani kuridhisha kundi fulan na lengo sio kwenda kulipa fadhila za kupewa kura ila kutekeleza matakwa ya taifa kwanza, matakwa ya watanzania kwa ujumla wao sio imani zao kupewa vipaumbele ila ni yale yanayotufanya tuitwe watanzania, hatutambuliwi na mataifa mengine kwa imani za dini zetu ila kwa umoja wetu kama watanzania, hoja za udini kwa rais ajaye hazina nafasi na hazikubaliki na mtaka maendeleo yoyote.
 
Mgonjwa wewe maamuzi mqgumu ya kuibia watanzania unajilimbikizia mali halafu unatumia mali hizo kununua uongozi?
wewe umelimbikiza ngapi mkuu...... unadhani kulimbikiza ni rahisi ,,,, ingekuwa rahisi baba yako angelimbikiza nae atununue
 
Back
Top Bottom