heheeh dah! sasa kwanini raia fulani unambeep halaf unamuuliza umsaidie nini? sio fair ujue
nikimaliza nitakujulisha tuje tuleπopcorn:
Natamani sana nikuone, michelle
mkuu mikwala yote ile kumbe unamnyemelea michelle? dah!Natamani sana nikuone, michelle
mkuu mikwala yote ile kumbe unamnyemelea michelle? dah!
unishauri sio? Hope nami nina ya kukushauriNatamani sana nikuone na kuzungumza nawe Raia Fulani....and i mean it....!!!
hehehe hela ya cafe ikiisha nishtue, yaani najiskia kuchunwa kweli leo. hivi lizzy alikuambia kuwa nilikumiss leo jioni?anatamani anione sio kuwa na mimi....shalobaro wewe kuelewa ni kazi kwelii....angekuwa ananitaka angekuwa alishani PM zamani.....:hand:
unishauri sio? Hope nami nina ya kukushauri
hehehe hela ya cafe ikiisha nishtue, yaani najiskia kuchunwa kweli leo. hivi lizzy alikuambia kuwa nilikumiss leo jioni?
Natamani sana nikuone, michelle
Natamani sana nikuone na kuzungumza nawe Raia Fulani....and i mean it....!!!
unishauri sio? Hope nami nina ya kukushauri
kama ukinipa nafasi na jambo la kukushauri nitafanya hivyo.......najua nawe utakuwa nayo ya kunishauri na napenda sana ushauri ndo maana niko JF....nikiupata wako binafsi nitashukuru zaidi.....:hand:
hapo red, huo wimbo kaimba nani?Ndo inakaribia kuisha....nakuona umekaa kuchunwa chunwa sana leo ndo maana unaingilia yasiyokuhusu.....Lizzy kaniambia....mimi mwenyewe nilikumiss sana Kloro....majukumu haya jamani......:A S 13:
πop2:
hapo red, huo wimbo kaimba nani?
heheeh mbona unataja macelebrity wa bongo ovyo ovyo. sheria za JF haziruhusu utapigwa ban wewekhadija kopa kwa hisani ya Klorokwini
kama ukinipa nafasi na jambo la kukushauri nitafanya hivyo.......najua nawe utakuwa nayo ya kunishauri na napenda sana ushauri ndo maana niko JF....nikiupata wako binafsi nitashukuru zaidi.....:hand:
πop2:
greti thinkaz tupo wachache sana hata kumi hatufiki na wewe nimekuongeza kwenye listi. hapa hata huyo michelle wenyewe anajibu mapost tu lakini hajaelewa anapelekwa wapi?so what have u concluded, sir!
greti thinkaz tupo wachache sana hata kumi hatufiki na wewe nimekuongeza kwenye listi. hapa hata huyo michelle wenyewe anajibu mapost tu lakini hajaelewa anapelekwa wapi?
conclusion: you are an idolic hero.