Kwa madereva na watumiaji wa IT (IN transit)

Kwa madereva na watumiaji wa IT (IN transit)

Magazeti yanatoka kiwandani Dar. saa nne(4) usiku, gari inaondoka saa tano(5) usiku inatakiwa iwe Kigoma, Kyela, Tunduma, Karagwe na Namanga saa kumi na mbili(12) asubuhi ili magazeti yaanze kutawanywa! Na gari hiyo irudi Dar es Salaam.
Hapa gari ita paa mazee
 
Nina uzoefu wa kuendesha gari za IT huu ni mwaka wa 6. huwa tuna kimbia speed ila njia tuna ijua ipasavyo.

Pia huwa hatukimbii tu ili mradi tuna kimbia.

speed 140 au 160 kph kwenye sehemu tunazo zijua zimekaaje kimiundo mbinu. Achana na stori za watu wana kudanganya ajali sijui nini... Ajali ni kweli huwa zina tokea lakini ni kama ajali zingine tu kawaida.

Pia wanao pata jali wengi ni wale wa levi, wasio wazoefu wa high way, wanao lazimisha kusafirisha gari mpaka 5 kwa week yaani aende Tunduma leo kesho ageuke jioni arudi na gari tena hii ni hatari lazima ulale kesho uanze mdogo mdogo.
Sawia!... Kama njia unaifahamu na unapita mara kwa mara, una advantage kuliko wageni linapokuja suala la speed.
Enzi za East African Safari Rally, Tanzania ilikuwa na Dereva aliyeitwa Bert Shakhland, mwamba huyu alikuwa anajizolea point zote kwenye milima ya Usambara ambapo alikuwa anapita wima eneo hilo pamoja na hatari zake.
 
Sawia!... Kama njia unaifahamu na unapita mara kwa mara, una advantage kuliko wageni linapokuja suala la speed.
Enzi za East African Safari Rally, Tanzania ilikuwa na Dereva aliyeitwa Bert Shakhland, mwamba huyu alikuwa anajizolea point zote kwenye milima ya Usambara ambapo alikuwa anapita wima eneo hilo pamoja na hatari zake.
[emoji23][emoji23][emoji119] ndio maana watu wakianzisha maada hizi huwa na kaa pembeni na chekaa... Maana wengi wao hawajui kinagaubaga nini huwa kipo ndani ya hizi trip.
 
Magazeti yanatoka kiwandani Dar. saa nne(4) usiku, gari inaondoka saa tano(5) usiku inatakiwa iwe Kigoma, Kyela, Tunduma, Karagwe na Namanga saa kumi na mbili(12) asubuhi ili magazeti yaanze kutawanywa! Na gari hiyo irudi Dar es Salaam.
Chai hii, route ndefu magazeti hayaendi na gari. Wewe kwa akili yako unaona kabisa gari yenye engine capacity ya cc 2700-3000 inaweza kutoka dar saa 5 ifike KARAGWE saa 12..?? NAMANGA tu ndo yanaenda na gari pekee from Dar. Kagera na Kigoma yanaenda na ndege, from Dar to MZA then gari to hio mikoa.
 
Nimezipanda zaidi ya mara 15, zote sijawahi pata ajali, ila saa 11 asb niko Uyole
 
Chai hii, route ndefu magazeti hayaendi na gari. Wewe kwa akili yako unaona kabisa gari yenye engine capacity ya cc 2700-3000 inaweza kutoka dar saa 5 ifike KARAGWE saa 12..?? NAMANGA tu ndo yanaenda na gari pekee from Dar. Kagera na Kigoma yanaenda na ndege, from Dar to MZA then gari to hio mikoa.
Hii nakubalina na wewe [emoji817] me naendesha sana magari tena route dume. Ukipiga hesabu route ya Dar Karagwe mzee mbona gari ita waka moto [emoji23][emoji91] au Dar kigoma kwa masaa hayo kweli wajemeni hii kamba hii [emoji28][emoji119]
 
Chai hii, route ndefu magazeti hayaendi na gari. Wewe kwa akili yako unaona kabisa gari yenye engine capacity ya cc 2700-3000 inaweza kutoka dar saa 5 ifike KARAGWE saa 12..?? NAMANGA tu ndo yanaenda na gari pekee from Dar. Kagera na Kigoma yanaenda na ndege, from Dar to MZA then gari to hio mikoa.
ajali.jpg

Jisomee mwenyewe magazeti hayo.
 
IT, hili neno linaweza kuwa na maana nyingi lakini hapa nataka kumaanisha IN TRANSIT kwa maana ya zile gari zinazopelekwa nchi za jirani kupitia bandari yetu ya Dar es salaam nk.

Hizi gari zimekuwa moja ya usafiri wa tuliowengi pale tunapopata safari za dharura kwenda makwetu, huwa zinatusaidia sana japo wengi wetu hatujajua hatari yake.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye point kuwa baadhi ya hizi gari au usafiri huu ni moja kati ya vyanzo VIZURI vya ajali za barabarani na hasa nyakati za usiku na askari hawatangazi sana matukio ya ajali za hizo gari kwani zinakuwa zimepita kwenye check points wanazozisimami.

Iko hivi, utakuta dereva au madereva hao baadhi (natumia neno baadhi kwa makusudi ili kuepuka kushambuliwa) huwa wanapata tenda hiyo let say kupeleka hizo gari kwenye exit points kwa maana ya mipakani, sasa ukute madereva wa 3 wamepata tenda ya kupeleka gari kumi au kumi na tano hivi pengine zaidi au pungufu, wanachofanya wanazitoa hizo gari wanazipaki majali hapa hapa tuseme Dar wanachukua mbili au tatu kulingana na idadi yao wanaanza kuzikimbiza kwenda nazo mpakani let say Tunduma Kasumulu Rusumo nk.

Na mara nyingi huwa wanapenda kusafiri nyakati za usiku kukwepa askari na tochi za mchana, na lengo lao kwa mfano wakienda Tunduma wana target wafike asubuhi kunapambazuka halafu waache hizo gari wadandie usafiri mwingine tena wa kurudi Dar waje wachukue gari nyingine tena hivyo mpaka wamalize, ili mradi tu wapate pesa nyingi, lakini ujiulize hivi dereva wa namna hiyo akipata ajali pengine kutokana na uchovu wa safari za mfululizo atasema ajali hazina kinga!?

Kama haitoshi madereva hawa baadhi yao huwa wanapenda sana kutumia vinywaji fulani kama enejaiza au booster wenyewe wanaita ,je kuna usalama kweli hapo, lakini kama haitoshi baadhi ya madereva wa hizo IT ni wale ambao hawana UZOEFU wa kutosha hata kidogo its ok ndo wanaanza kupata UZOEFU lakini ilitakiwa wawe chini ya usimamizi wa wenye uzoefu.

Hizi IT zinasababisha sana ajali lakini polisi au hata niseme serikali kama vile hawalioni wao wanangoja tu kutangaza matokeo, utasikia uzembe wa dereva, MWENDO KASI, KUTAKA KULIPITA GARI LINGINE BILA KUCHUKUA TAHADHARI na mengi ya namna hiyo.

Askari wa usalama barabarani anaweza asione kitu chochote lakini sio gari la IT, hata liwe mbali kiasi gani na liwe na rangi ya aina gani atalitambua tu maana akishaiona tu IT anajua chambichambi tayari.

Wito wangu, tujitahidi kubaini vyanzo vya ajali badala ya kusubiri tutangaze matokeo, kwanini pasiwe na utaratibu kuwa it zote zitengewe siku ya kusafirishwa mfano inaweza kuwa mara mbili au mara tatu kwa wiki na kwa kuripoti kwenye check points maalumu na kwa muda maalum,kwa kifupi lazima ziwe controlled ,ziwe na muda wa kusafiri kutoka point moja hadi nyingine na si vinginevyo, nawaza tu.

Angalizo: Baadhi ya IT
Onyo: Unayetumia IT kama usafiri wa kuaminika hukatazwi lakini kuwa makini


Credit: Thomas Mwamfupe
hicho ndiyo kirefu cha IT?
 
Hii nakubalina na wewe [emoji817] me naendesha sana magari tena route dume. Ukipiga hesabu route ya Dar Karagwe mzee mbona gari ita waka moto [emoji23][emoji91] au Dar kigoma kwa masaa hayo kweli wajemeni hii kamba hii [emoji28][emoji119]
Hata ikiwaka moto haifiki bado 😂
 
Nilijua hao madereva huwa wa kampuni na tenda zinapitia kwa kampuni.

Sijawahi kukutana na trekta la IT nafikiri hata hizo gari ndogo ni heri kubeba kwenye malori tu.

Kuna vikundi vyao vina mobilize kazi na kupeana ramani meli ikija pia kuna baadhi ya madereva wako alone alone ila wana reputation na waagizaji so wanawapa gari zikija wapeleke!

Upande mwingine ni madreva wa kampuni mfano wale wanaopeleka ya beforward Tz.
 
IT, hili neno linaweza kuwa na maana nyingi lakini hapa nataka kumaanisha IN TRANSIT kwa maana ya zile gari zinazopelekwa nchi za jirani kupitia bandari yetu ya Dar es salaam nk.

Hizi gari zimekuwa moja ya usafiri wa tuliowengi pale tunapopata safari za dharura kwenda makwetu, huwa zinatusaidia sana japo wengi wetu hatujajua hatari yake.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye point kuwa baadhi ya hizi gari au usafiri huu ni moja kati ya vyanzo VIZURI vya ajali za barabarani na hasa nyakati za usiku na askari hawatangazi sana matukio ya ajali za hizo gari kwani zinakuwa zimepita kwenye check points wanazozisimami.

Iko hivi, utakuta dereva au madereva hao baadhi (natumia neno baadhi kwa makusudi ili kuepuka kushambuliwa) huwa wanapata tenda hiyo let say kupeleka hizo gari kwenye exit points kwa maana ya mipakani, sasa ukute madereva wa 3 wamepata tenda ya kupeleka gari kumi au kumi na tano hivi pengine zaidi au pungufu, wanachofanya wanazitoa hizo gari wanazipaki majali hapa hapa tuseme Dar wanachukua mbili au tatu kulingana na idadi yao wanaanza kuzikimbiza kwenda nazo mpakani let say Tunduma Kasumulu Rusumo nk.

Na mara nyingi huwa wanapenda kusafiri nyakati za usiku kukwepa askari na tochi za mchana, na lengo lao kwa mfano wakienda Tunduma wana target wafike asubuhi kunapambazuka halafu waache hizo gari wadandie usafiri mwingine tena wa kurudi Dar waje wachukue gari nyingine tena hivyo mpaka wamalize, ili mradi tu wapate pesa nyingi, lakini ujiulize hivi dereva wa namna hiyo akipata ajali pengine kutokana na uchovu wa safari za mfululizo atasema ajali hazina kinga!?

Kama haitoshi madereva hawa baadhi yao huwa wanapenda sana kutumia vinywaji fulani kama enejaiza au booster wenyewe wanaita ,je kuna usalama kweli hapo, lakini kama haitoshi baadhi ya madereva wa hizo IT ni wale ambao hawana UZOEFU wa kutosha hata kidogo its ok ndo wanaanza kupata UZOEFU lakini ilitakiwa wawe chini ya usimamizi wa wenye uzoefu.

Hizi IT zinasababisha sana ajali lakini polisi au hata niseme serikali kama vile hawalioni wao wanangoja tu kutangaza matokeo, utasikia uzembe wa dereva, MWENDO KASI, KUTAKA KULIPITA GARI LINGINE BILA KUCHUKUA TAHADHARI na mengi ya namna hiyo.

Askari wa usalama barabarani anaweza asione kitu chochote lakini sio gari la IT, hata liwe mbali kiasi gani na liwe na rangi ya aina gani atalitambua tu maana akishaiona tu IT anajua chambichambi tayari.

Wito wangu, tujitahidi kubaini vyanzo vya ajali badala ya kusubiri tutangaze matokeo, kwanini pasiwe na utaratibu kuwa it zote zitengewe siku ya kusafirishwa mfano inaweza kuwa mara mbili au mara tatu kwa wiki na kwa kuripoti kwenye check points maalumu na kwa muda maalum,kwa kifupi lazima ziwe controlled ,ziwe na muda wa kusafiri kutoka point moja hadi nyingine na si vinginevyo, nawaza tu.

Angalizo: Baadhi ya IT
Onyo: Unayetumia IT kama usafiri wa kuaminika hukatazwi lakini kuwa makini


Credit: Thomas Mwamfupe
Naongezea ni kidogo vituo via viakupakilia abiria mbezi kwa msuguli Msamvu moro Dodoma jamatini usalama barabalani wanatambua sana habari hii tatizo hela hela hela
 
Utakuwa mchawi, kwa usafiri gani wa uhakika uliopo bongo

Ajali popote mkuu.
Ujui unacho kisema ndugu gali inakimbia kama karatasi kutoka kulasini saa nane mchana kufika saa kumi na mbili asubuhi gali hilo liko rusumo unafahamu kuna kilomita ngapi?
 
Naongezea ni kidogo vituo via viakupakilia abiria mbezi kwa msuguli Msamvu moro Dodoma jamatini usalama barabalani wanatambua sana habari hii tatizo hela hela hela
Siku hizi pale kibo kabla haujafika kituo cha kona hakuna kituo cha IT? Kuna jamaa zangu pale kina difa, na abdala fungameza walinipa sana company kipindi flani route za kwenda mbeya na makambako
 
IT, hili neno linaweza kuwa na maana nyingi lakini hapa nataka kumaanisha IN TRANSIT kwa maana ya zile gari zinazopelekwa nchi za jirani kupitia bandari yetu ya Dar es salaam nk.

Hizi gari zimekuwa moja ya usafiri wa tuliowengi pale tunapopata safari za dharura kwenda makwetu, huwa zinatusaidia sana japo wengi wetu hatujajua hatari yake.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye point kuwa baadhi ya hizi gari au usafiri huu ni moja kati ya vyanzo VIZURI vya ajali za barabarani na hasa nyakati za usiku na askari hawatangazi sana matukio ya ajali za hizo gari kwani zinakuwa zimepita kwenye check points wanazozisimami.

Iko hivi, utakuta dereva au madereva hao baadhi (natumia neno baadhi kwa makusudi ili kuepuka kushambuliwa) huwa wanapata tenda hiyo let say kupeleka hizo gari kwenye exit points kwa maana ya mipakani, sasa ukute madereva wa 3 wamepata tenda ya kupeleka gari kumi au kumi na tano hivi pengine zaidi au pungufu, wanachofanya wanazitoa hizo gari wanazipaki majali hapa hapa tuseme Dar wanachukua mbili au tatu kulingana na idadi yao wanaanza kuzikimbiza kwenda nazo mpakani let say Tunduma Kasumulu Rusumo nk.

Na mara nyingi huwa wanapenda kusafiri nyakati za usiku kukwepa askari na tochi za mchana, na lengo lao kwa mfano wakienda Tunduma wana target wafike asubuhi kunapambazuka halafu waache hizo gari wadandie usafiri mwingine tena wa kurudi Dar waje wachukue gari nyingine tena hivyo mpaka wamalize, ili mradi tu wapate pesa nyingi, lakini ujiulize hivi dereva wa namna hiyo akipata ajali pengine kutokana na uchovu wa safari za mfululizo atasema ajali hazina kinga!?

Kama haitoshi madereva hawa baadhi yao huwa wanapenda sana kutumia vinywaji fulani kama enejaiza au booster wenyewe wanaita ,je kuna usalama kweli hapo, lakini kama haitoshi baadhi ya madereva wa hizo IT ni wale ambao hawana UZOEFU wa kutosha hata kidogo its ok ndo wanaanza kupata UZOEFU lakini ilitakiwa wawe chini ya usimamizi wa wenye uzoefu.

Hizi IT zinasababisha sana ajali lakini polisi au hata niseme serikali kama vile hawalioni wao wanangoja tu kutangaza matokeo, utasikia uzembe wa dereva, MWENDO KASI, KUTAKA KULIPITA GARI LINGINE BILA KUCHUKUA TAHADHARI na mengi ya namna hiyo.

Askari wa usalama barabarani anaweza asione kitu chochote lakini sio gari la IT, hata liwe mbali kiasi gani na liwe na rangi ya aina gani atalitambua tu maana akishaiona tu IT anajua chambichambi tayari.

Wito wangu, tujitahidi kubaini vyanzo vya ajali badala ya kusubiri tutangaze matokeo, kwanini pasiwe na utaratibu kuwa it zote zitengewe siku ya kusafirishwa mfano inaweza kuwa mara mbili au mara tatu kwa wiki na kwa kuripoti kwenye check points maalumu na kwa muda maalum,kwa kifupi lazima ziwe controlled ,ziwe na muda wa kusafiri kutoka point moja hadi nyingine na si vinginevyo, nawaza tu.

Angalizo: Baadhi ya IT
Onyo: Unayetumia IT kama usafiri wa kuaminika hukatazwi lakini kuwa makini


Credit: Thomas Mwamfupe
Nitaleta Uzi wa Hili ,upo sahh
 
Back
Top Bottom