Kwa Maelezo haya kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga Mwakalebela Kwanini isiangushe tu points sasa?

Kwa Maelezo haya kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga Mwakalebela Kwanini isiangushe tu points sasa?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
" Yanga SC inafanya vibaya sasa ( kwa kutoka Sare ) mfululizo kwakuwa TFF na Kamati yake ya Nidhamu inatuhujumu mpaka leo haijakaa Kusikiliza Kesi zetu ", amesema Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC alipozunguza na Waandishi wa Habari muda mfupi tu uliopita leo hii.

Halafu Waafrika tukichekwa na Kudharaulika na Wakoloni Wetu ( hasa Wazungu ) na kuambiwa ni Wapumbavu ( yaani hatuna Akili ) tunabisha, Kuwakasirikia na Kuwanunia wakati Kiuhalisia huwa wapo sahihi kwa 100%.

Yanga SC fukuzeni upesi huyu atawaponzeni vibaya mno na hatimaye hata Ndoto zenu za Kuelekea katika Mabadiliko Kufifia au Kutopata Ushirikiano mnaoutaka sana.
 
Tulisema jana baada ya Morison kufunga lazima Mwakalebela aitishe mkutano na waandishi ila anavyojua kuwachezea akili utopolo sasa hivi hazungumzii kesi ya cas bali anaizungumzia Tff
Kuna Mtu aliwahi Kuniambia kuwa Watu Wanene ( japo siyo Wote ) wanaongoza kuwa Wapumbavu nikamkatalia ila kupitia huyu Mwakalebela wa Yanga SC nimekubali.
 
Anawakeeeera[emoji41]
JamiiForums2038712568.jpg
 
Shida nini na Senzo wanae?,
Walivyomchukua Senzo kwambwembwe nikajua watamtumia kusonga mbele lakini nashangaa bado ni washamba!!
 
Back
Top Bottom