zinapatikana kariakoo kwa Dar es salaamNahisi ni sumaku ndio imeisha nguvu mkuu. Asante kwa ushauri wako
Mi sitaki kugongea hicho kidude aisee. Bado nataka ibaki na muonekano wa upya wake ingawa Ina miaka 3yangu ilifanya hivyo nikaona isiwe tabu nikagongelea kile kidude kama cha kuwekea kufuli hivi ikabana sasa hivi hata nisipobana inabana yenyewe
yangu ilifanya hivyo nikaona isiwe tabu nikagongelea kile kidude kama cha kuwekea kufuli hivi ikabana sasa hivi hata nisipobana inabana yenyewe
Bila shaka friji umelificha stoo
Kisa cha kuficha store ? Hicho kichuma?
Aisee pole, ina miaka 3 imeshaanza kusumbua.Mi sitaki kugongea hicho kidude aisee. Bado nataka ibaki na muonekano wa upya wake ingawa Ina miaka 3
Miaka 3 tu kweli mchina sio poa. Unaona zile used,zina miaka zaidi ya 10 na milango inabana mpaka linakufa.Mi sitaki kugongea hicho kidude aisee. Bado nataka ibaki na muonekano wa upya wake ingawa Ina miaka 3
Kuna raba nyeupe imezunguka mlango kwa ndani sasa uwenda ni chafu au imejikunja au imeisha ubora wake uangalie hiyo na inapatikana kariakoo nunua nyingine wekaMi sitaki kugongea hicho kidude aisee. Bado nataka ibaki na muonekano wa upya wake ingawa Ina miaka 3
Yaah. Nimeangalia leo naona sumaku yake imeisha nguvu. Nimejaribu kupitisha kisu naona hakuna sumaku kabisaNi rahisi kuna raba imezunguka mlan
Kuna raba nyeupe imezunguka mlango kwa ndani sasa uwenda ni chafu au imejikunja au imeisha ubora wake uangalie hiyo na inapatikana kariakoo nunua nyingine weka