Kwa mafundi fridge, naombeni msaada wenu

Kwa mafundi fridge, naombeni msaada wenu

Toka nimtafute fundi fridge akaja kuongeza gas kwa kutumia mwanga wa mshumaa sina imani nao tena hawa mafundi, kilichomtokea nadhani ataweza sahau maishani kwake sijua ata kama anaendelea na iyo fani.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app

Mwanga wa mshumaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
How?
 
Toka nimtafute fundi fridge akaja kuongeza gas kwa kutumia mwanga wa mshumaa sina imani nao tena hawa mafundi, kilichomtokea nadhani ataweza sahau maishani kwake sijua ata kama anaendelea na iyo fani.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu tupe taarifa kamili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu tupe taarifa kamili
Yule jamaa alikuja umeme umekatika akajifanya mtaalam aisee akasema apewe mshumaa bomu lililotokea pale mpaka ndugu yangu alinifungia nje kujiokoa, Jamaa mpaka leo hana nyusi unaweza fikiria ni alien [emoji89] yani.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Nashauri tujibane tuweze kununua bidhaa zilizo bora ambazo tutakaa nazo muda mrefu bila kusumbua, tofauti ya bei sio kubwa.

Mfano nina fridge aina ya Samsung lina takribani miaka 14 halijawahi kunisumbua na ukiliona unaweza fikiri ni jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri tujibane tuweze kununua bidhaa zilizo bora ambazo tutakaa nazo muda mrefu bila kusumbua, tofauti ya bei sio kubwa.

Mfano nina fridge aina ya Samsung lina takribani miaka 14 halijawahi kunisumbua na ukiliona unaweza fikiri ni jipya.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nilinunua la hisense French door lina miaka 5 linanitesa tuu .
 
Toka nimtafute fundi fridge akaja kuongeza gas kwa kutumia mwanga wa mshumaa sina imani nao tena hawa mafundi, kilichomtokea nadhani ataweza sahau maishani kwake sijua ata kama anaendelea na iyo fani.
Hahahaha. Ilikuwaje mkuu
 
Mimi nilinunua la hisense French door lina miaka 5 linanitesa tuu .
Nadhani brand nzuri kwenye fridge ni LG, Samsung na kuna baadhi ya kampuni I'm fine nazo ziko vizuri.

Uwa nasikitika sana mtu anaponunua kitu alafu kinaanza kusumbua ndani ya muda mfupi, yaani gharama ya kulitengeneza inakuwa kubwa zaidi ya bei ya kununua kifaa kilicho bora.

Nina uzoefu wa vifaa mbalimbali ndio maana naona bora kujinyima ninunue kitu kilicho bora.

Nilishanunua fridge la mtumba baada ya mwaka likaanza kusumbua nikaachana nalo, kwasasa vifaa vya umeme sinunui vya mtumba, mtumba nao nunua ni nguo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom