Kwa mafundi wa kupaua nahitaji msaada wa haraka

Kwa mafundi wa kupaua nahitaji msaada wa haraka

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Wanabodi Salaam,
Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba, Nyumba ina urefu wa mita 11 na upana wa m 9. Baraza ya mbele na nyuma zina upana wa mita 2.2 na urefu wa mita 4 zote kwa pamoja zimetoka nje kidogo ya ule upana wa awali wa mita 9. Paa nataka kupaua gable kwa maana ya upande wenye m 9 na baraza zake zipande kuta za Gable.

1. Fundi namba moja Mbao 4x2 = 210, mbao 2x2 = 150,Bati 125, kofia 26, valley 14, misumari bati 37kg, misumari 4"kg 50, mbao za fisherboard 1x8 = 14.
Fundi namba 2 Mbao 2x4 = ft 2475, 2x2 ft 900, 1x10 ft 215, Bati mt 200, kofia mt 16, misumari 4"kg 30, 3"kg 2, misumari bati kg 20, kench wire 4

Mwingine anasema mpaka nike site nipime kwanza kingpost ndo nitajua. Shida yangu sana nikujua kwa mfano ninunue bati la mita ngapi ambalo litaanza juu mpaka kwenye roof overlap bila kukatwa, na kwenye baraza hapa nitumie bati la urefu gani kutoka juu mpaka baraza inapoanzia ili kupunguza wastage ya bati. make bati mita moja ni 25,130 sasa ukinunua bati ambazo zinakuja tu kukatwa ni hasara. naambatanisha muonekano plan ya nyumba.
 

Attachments

Wanabodi Salaam,
Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba, Nyumba ina urefu wa mita 11 na upana wa m 9. Baraza ya mbele na nyuma zina upana wa mita 2.2 na urefu wa mita 4 zote kwa pamoja zimetoka nje kidogo ya ule upana wa awali wa mita 9. Paa nataka kupaua gable kwa maana ya upande wenye m 9 na baraza zake zipande kuta za Gable.

1. Fundi namba moja Mbao 4x2 = 210, mbao 2x2 = 150,Bati 125, kofia 26, valley 14, misumari bati 37kg, misumari 4"kg 50, mbao za fisherboard 1x8 = 14.
Fundi namba 2 Mbao 2x4 = ft 2475, 2x2 ft 900, 1x10 ft 215, Bati mt 200, kofia mt 16, misumari 4"kg 30, 3"kg 2, misumari bati kg 20, kench wire 4

Mwingine anasema mpaka nike site nipime kwanza kingpost ndo nitajua. Shida yangu sana nikujua kwa mfano ninunue bati la mita ngapi ambalo litaanza juu mpaka kwenye roof overlap bila kukatwa, na kwenye baraza hapa nitumie bati la urefu gani kutoka juu mpaka baraza inapoanzia ili kupunguza wastage ya bati. make bati mita moja ni 25,130 sasa ukinunua bati ambazo zinakuja tu kukatwa ni hasara. naambatanisha muonekano plan ya nyumba.
 

Attachments

Wanabodi Salaam,
Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba, Nyumba ina urefu wa mita 11 na upana wa m 9. Baraza ya mbele na nyuma zina upana wa mita 2.2 na urefu wa mita 4 zote kwa pamoja zimetoka nje kidogo ya ule upana wa awali wa mita 9. Paa nataka kupaua gable kwa maana ya upande wenye m 9 na baraza zake zipande kuta za Gable.

1. Fundi namba moja Mbao 4x2 = 210, mbao 2x2 = 150,Bati 125, kofia 26, valley 14, misumari bati 37kg, misumari 4"kg 50, mbao za fisherboard 1x8 = 14.
Fundi namba 2 Mbao 2x4 = ft 2475, 2x2 ft 900, 1x10 ft 215, Bati mt 200, kofia mt 16, misumari 4"kg 30, 3"kg 2, misumari bati kg 20, kench wire 4

Mwingine anasema mpaka nike site nipime kwanza kingpost ndo nitajua. Shida yangu sana nikujua kwa mfano ninunue bati la mita ngapi ambalo litaanza juu mpaka kwenye roof overlap bila kukatwa, na kwenye baraza hapa nitumie bati la urefu gani kutoka juu mpaka baraza inapoanzia ili kupunguza wastage ya bati. make bati mita moja ni 25,130 sasa ukinunua bati ambazo zinakuja tu kukatwa ni hasara. naambatanisha muonekano plan ya nyumba.

Mtafute huyo jamaa kwenye huo uzi, mawasiliano yake ni hayo kwenye screen shot
Screenshot_20240419-152216.jpg
 
Wanabodi Salaam,
Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba, Nyumba ina urefu wa mita 11 na upana wa m 9. Baraza ya mbele na nyuma zina upana wa mita 2.2 na urefu wa mita 4 zote kwa pamoja zimetoka nje kidogo ya ule upana wa awali wa mita 9. Paa nataka kupaua gable kwa maana ya upande wenye m 9 na baraza zake zipande kuta za Gable.

1. Fundi namba moja Mbao 4x2 = 210, mbao 2x2 = 150,Bati 125, kofia 26, valley 14, misumari bati 37kg, misumari 4"kg 50, mbao za fisherboard 1x8 = 14.
Fundi namba 2 Mbao 2x4 = ft 2475, 2x2 ft 900, 1x10 ft 215, Bati mt 200, kofia mt 16, misumari 4"kg 30, 3"kg 2, misumari bati kg 20, kench wire 4

Mwingine anasema mpaka nike site nipime kwanza kingpost ndo nitajua. Shida yangu sana nikujua kwa mfano ninunue bati la mita ngapi ambalo litaanza juu mpaka kwenye roof overlap bila kukatwa, na kwenye baraza hapa nitumie bati la urefu gani kutoka juu mpaka baraza inapoanzia ili kupunguza wastage ya bati. make bati mita moja ni 25,130 sasa ukinunua bati ambazo zinakuja tu kukatwa ni hasara. naambatanisha muonekano plan ya nyumba.
Bati mita 200 hazitoshi, zitapelea. Kama nyumba ina upana wa mita 9, nusu yake inakuwa ni mita 4.5 na kutokana na hiyo span yako, angle nzuri ambayo itafanya paa lako lionekane vizuri ni 30° (span ingekuwa ndogo, ungetumia 40° mpaka 45°)

Slant length ya rafter itakuwa ni mita 5.2 (derived from 4.5m/cos 30°), Overhang ya bati weka hata 40cm, hapo itakuwa 5.6m, End Overlap weka 20cm, itakuwa 5.8cm (kiufupi ni sawa na bati 2 za mita 3)

Urefu mita 11, ongeza 0.5m kila upande jumla itakuwa mita 12

Katika urefu wa mita 12, zinaingia 20 za upana wa 0.8m
Mpaka hapo jumla itakuwa ni 20×4 sawa na pc 80

Kwa mahitaji ya ramani, makadirio au ushauri tuwasiliane
 

Mtafute huyo jamaa kwenye huo uzi, mawasiliano yake ni hayo kwenye screen shotView attachment 2968294

Bati mita 200 hazitoshi, zitapelea. Kama nyumba ina upana wa mita 9, nusu yake inakuwa ni mita 4.5 na kutokana na hiyo span yako, angle nzuri ambayo itafanya paa lako lionekane vizuri ni 30° (span ingekuwa ndogo, ungetumia 40° mpaka 45°)

Slant length ya rafter itakuwa ni mita 5.2 (derived from 4.5m/cos 30°), Overhang ya bati weka hata 40cm, hapo itakuwa 5.6m, End Overlap weka 20cm, itakuwa 5.8cm (kiufupi ni sawa na bati 2 za mita 3)

Urefu mita 11, ongeza 0.5m kila upande jumla itakuwa mita 12

Katika urefu wa mita 12, zinaingia 20 za upana wa 0.8m
Mpaka hapo jumla itakuwa ni 20×4 sawa na pc 80

Kwa mahitaji ya ramani, makadirio au ushauri tuwasiliane
Asante kiongozi natarajia kutumia bati za Alafi Romantile ambayo ina upana 110cm, hebu nisaidie tena kwenye hizo baraza, zote zina ukubwa wa 2.2 urefu 3.9 approx 4. Nachotaka kujua kwa hiki kipande cha katika kabla ya kufikia angle ya baraza nitumie bati la mita ngapi ku-avoid wastage. Make bati wanakata kuanzia mita moja kuendelea
 
Asante kiongozi natarajia kutumia bati za Alafi Romantile ambayo ina upana 110cm, hebu nisaidie tena kwenye hizo baraza, zote zina ukubwa wa 2.2 urefu 3.9 approx 4. Nachotaka kujua kwa hiki kipande cha katika kabla ya kufikia angle ya baraza nitumie bati la mita ngapi ku-avoid wastage. Make bati wanakata kuanzia mita moja kuendelea
Aaah mkuu kwenye ramani umetukimbia wachoraji (umechora kwa excel), kwenye makadirio pia tukusaidie mahesabu yote free of charge!!!. Niliowatoza pesa kuwafanyia estimation wakija kuona watajisikia vibaya, mimi nimekupa mwanga kidogo tu
 
Wanabodi Salaam,
Kwa wale mafundi wa kupaua nyumba naomba msaada nahitaji kupaua nyumba yangu nimejaribu kuongea na mafundi wawili kila mmoja kanipa hesabu tofauti tena kwa utofauti mkubwa saba, Nyumba ina urefu wa mita 11 na upana wa m 9. Baraza ya mbele na nyuma zina upana wa mita 2.2 na urefu wa mita 4 zote kwa pamoja zimetoka nje kidogo ya ule upana wa awali wa mita 9. Paa nataka kupaua gable kwa maana ya upande wenye m 9 na baraza zake zipande kuta za Gable.

1. Fundi namba moja Mbao 4x2 = 210, mbao 2x2 = 150,Bati 125, kofia 26, valley 14, misumari bati 37kg, misumari 4"kg 50, mbao za fisherboard 1x8 = 14.
Fundi namba 2 Mbao 2x4 = ft 2475, 2x2 ft 900, 1x10 ft 215, Bati mt 200, kofia mt 16, misumari 4"kg 30, 3"kg 2, misumari bati kg 20, kench wire 4

Mwingine anasema mpaka nike site nipime kwanza kingpost ndo nitajua. Shida yangu sana nikujua kwa mfano ninunue bati la mita ngapi ambalo litaanza juu mpaka kwenye roof overlap bila kukatwa, na kwenye baraza hapa nitumie bati la urefu gani kutoka juu mpaka baraza inapoanzia ili kupunguza wastage ya bati. make bati mita moja ni 25,130 sasa ukinunua bati ambazo zinakuja tu kukatwa ni hasara. naambatanisha muonekano plan ya nyumba.
Mimi fundi aligonga mbao jumla nilinunua mbao kama za milioni mbili na laki 6. ndipo akapima bati tukaenda na vipimo vyetu sunshare. Nikanunua bati za milion Bati kofia na misumari yake zilicost milioni 6.14 aisee zilibaki bati kama za milioni yule fundi namlaani mpaka
 
Aaah mkuu kwenye ramani umetukimbia wachoraji (umechora kwa excel), kwenye makadirio pia tukusaidie mahesabu yote free of charge!!!. Niliowatoza pesa kuwafanyia estimation wakija kuona watajisikia vibaya, mimi nimekupa mwanga kidogo tu
Mkuu ramani hatukuwahi kushrikisha mchoraji ilichorwa kwa matakwa ya familia kila mtoto na mhitaji yake, lakini pia nashukuru kwa mwanga, lakini kwa dunia ya leo siyo kila elimu watu wanalipa wafund8shaji, ndo maana kuna watu kama YouTube, ChatGpt na Udemy ukitaka kwenda advance ndo unalipa ila kwa hapa mimi nilitaka mwanga tu. Asante sana.
 
Mimi fundi aligonga mbao jumla nilinunua mbao kama za milioni mbili na laki 6. ndipo akapima bati tukaenda na vipimo vyetu sunshare. Nikanunua bati za milion Bati kofia na misumari yake zilicost milioni 6.14 aisee zilibaki bati kama za milioni yule fundi namlaani mpaka
Ndo vitu nahofia mkuu, nyumba yangu ya kwanza fundi alinipigia hesabu ya bati na mbao nikaenda mikanunua na kuweka stoo wakati wa kupaua mbao zikabaki nusu nzima, kwa kuwa nilimkaba sana bati akaanza kuunganisha na kugonga mbili mbili. Nikamshusha nikamuita mjumbe na hela sikumpa. Kwa sasa najaribu kuchukuwa taadhari ya kupoteza hela make mita moja shilingi 25,000 siyo mchezo.
 
Ndo vitu nahofia mkuu, nyumba yangu ya kwanza fundi alinipigia hesabu ya bati na mbao nikaenda mikanunua na kuweka stoo wakati wa kupaua mbao zikabaki nusu nzima, kwa kuwa nilimkaba sana bati akaanza kuunganisha na kugonga mbili mbili. Nikamshusha nikamuita mjumbe na hela sikumpa. Kwa sasa najaribu kuchukuwa taadhari ya kupoteza hela make mita moja shilingi 25,000 siyo mchezo.
Kwa mbao mimi hesabu ilienda vizuri kabisa. bati ndio ikawa shida
 
We gonga mbao then pima Ingia na vipimo kiwandani utapata ukamili wa bati zaidi ya hapo huo uongo bhana kidogo hesabu ya fundi wa kwanza iko vizuri
 
Back
Top Bottom