Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Kweli mkuu..ila si mpira tu kila kitu kina wataalamu wake.Bila ya shaka yoyote Rais Magufuli na mtu wake anayempa kibri kila siku RC Makonda watakuwa wamepata jibu baada ya matokeo haya.
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians professionally,economically and politically. Ni akili finyu Kufikiri kuwa ukimpeleka Makonda ati atahamasisha timu ishinde! Tangu lini aliye nje ya pitch akafunga magoli?
Watanzania tuachane na huu ubazazi! MPIRA NI TAALUMA
Hata uwapigie tarumbeta hao zero brains hawawezi kuelewa unasema nini. Tunasema tu for the recordBila ya shaka yoyote Rais Magufuli na mtu wake anayempa kibri kila siku RC Makonda watakuwa wamepata jibu baada ya matokeo haya.
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians professionally,economically and politically. Ni akili finyu Kufikiri kuwa ukimpeleka Makonda ati atahamasisha timu ishinde! Tangu lini aliye nje ya pitch akafunga magoli?
Watanzania tuachane na huu ubazazi! MPIRA NI TAALUMA
Baba na mwana wanajiona wao wanajua kila kitu
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."Bila ya shaka yoyote Rais Magufuli na mtu wake anayempa kibri kila siku RC Makonda watakuwa wamepata jibu baada ya matokeo haya.
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians professionally,economically and politically. Ni akili finyu Kufikiri kuwa ukimpeleka Makonda ati atahamasisha timu ishinde! Tangu lini aliye nje ya pitch akafunga magoli?
Watanzania tuachane na huu ubazazi! MPIRA NI TAALUMA
Ni ZittoMhe. Tundu Lissu amewahi kusema mara kadhaa, nchi tumewapa washamba wa Kisu-****.
Lazima tutegemee majanga...!!
Kweli kabisa!"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
THIS IS A PROFESSIONAL STATEMENT FROM A PROFESSIONAL FOOTBALLER。"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."