Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Bila ya shaka yoyote Rais Magufuli na mtu wake anayempa kibri kila siku RC Makonda watakuwa wamepata jibu baada ya matokeo haya.
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians professionally,economically and politically. Ni akili finyu Kufikiri kuwa ukimpeleka Makonda ati atahamasisha timu ishinde! Tangu lini aliye nje ya pitch akafunga magoli?
Watanzania tuachane na huu ubazazi! MPIRA NI TAALUMA
Wakenya wako vizuri kila idara! Kenyans are better than Tanzanians professionally,economically and politically. Ni akili finyu Kufikiri kuwa ukimpeleka Makonda ati atahamasisha timu ishinde! Tangu lini aliye nje ya pitch akafunga magoli?
Watanzania tuachane na huu ubazazi! MPIRA NI TAALUMA