kunguru2016
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 299
- 245
Thanks so much Mkuu kwa ushauri,ila ninatambua fika nini nachotaka kukifanya.Mkuu kuna usemi kimfaacho mutu ni chake,huna namna yoyote ya kuingiza kipato na ww uko na shida UZA lakini baadeni itakuja kilio tu,ooh sikujua ooh pale palikuwa pangu lakini wapi imekwenda hio.kaa chini tafakali najua eneo umelipata dezo so halina hasara.tafakari chukua hatua
YgggyygHii bahati sio ya kuiacha.Hatimae baada ya kukwama kifedha nimeamua kutangaza nauza viwanja vyangu.nina eneo lina ekari nne(4),nauza kwa eka!Bei ya ekari moja ni milioni 6 tu!!
Eneo lipo maeneo ya mbuyuni(nkuhungu kwa mbele kidogo) wanaoijua dodoma vizuri watakuwa wamenielewa.kwa wasioijua,eneo lipo dodoma mjini umbali wa kama km 10 kutoka town centre.Ni eneo zuri sana,liko mkabala na barabara ya kuelekea singida.unaweza ni PM,na kwa mawasiliano zaidi here are my contacts
Tel:0767833496
Email;stevenmasaka@gmail.com
Aiseeeee!!! Ninavyofahamu mimi maeneo ya mbuyuni yana wamiliki na yalishapimwa na waliomo humo ni wavamizi na walishapewa namba ili wapewe viwanja mbadala. Je hukupewa namba?Hii bahati sio ya kuiacha.Hatimae baada ya kukwama kifedha nimeamua kutangaza nauza viwanja vyangu.nina eneo lina ekari nne(4),nauza kwa eka!Bei ya ekari moja ni milioni 6 tu!!
Eneo lipo maeneo ya mbuyuni(nkuhungu kwa mbele kidogo) wanaoijua dodoma vizuri watakuwa wamenielewa.kwa wasioijua,eneo lipo dodoma mjini umbali wa kama km 10 kutoka town centre.Ni eneo zuri sana,liko mkabala na barabara ya kuelekea singida.unaweza ni PM,na kwa mawasiliano zaidi here are my contacts
Tel:0767833496
Email;stevenmasaka@gmail.com
Mkuu eneo haliko mbali na mbuyuni ilipo.sio kwamba ni mbuyuni!!!nadhani kwa hilo utakuwa umenielewaAiseeeee!!! Ninavyofahamu mimi maeneo ya mbuyuni yana wamiliki na yalishapimwa na waliomo humo ni wavamizi na walishapewa namba ili wapewe viwanja mbadala. Je hukupewa namba?
Nimekuelewa mkuu.ni umbali kwa kama 1.1km kuikuta barabara ya kwenda singida!!sina picha zilizokaa vizuri nikizipata nitawaleteaSasa mkuu badala ya kuweka picha ya eneo husika unaweka picha ya barabara, kwani unauza barabara mkuu.
Ni umbali gani toka hiyo barabara ya kwenda singida mkuu?
Shukrani kakaNimekuelewa mkuu.ni umbali kwa kama 1.1km kuikuta barabara ya kwenda singida!!sina picha zilizokaa vizuri nikizipata nitawaletea
Hapana mkuu hufiki nala(nala ni mbali).pale pale machinjioni kwa ndani kidogo!!!pia ukihitaji chini ya eka napima,ni maelewano tu mkuu.karibu sanaNimekuelewa mkuu, unafika Nala?? Hiyo bei naona kweli ni reasonable kabisa...hongera. Ngoja tupime mifuko
Poa mkuu na kila la kheri. Ila ungelipimisha thamani ingeongezeka zaidi. Kwa umbali huo toka mjini, likiwa limepimwa utaliza fasta kuliko kama halijapimwa.Hahaha,kaka dodoma pazuri mbona.To be honest halijapimwa,hata ukiliangalia bado halijasafishwa vizuri zaidi.nilikuwa mbali kwa muda mrefu mkuu!