kunguru2016
JF-Expert Member
- Aug 4, 2016
- 299
- 245
Mkuu kuna usemi kimfaacho mutu ni chake,huna namna yoyote ya kuingiza kipato na ww uko na shida UZA lakini baadeni itakuja kilio tu,ooh sikujua ooh pale palikuwa pangu lakini wapi imekwenda hio.kaa chini tafakali najua eneo umelipata dezo so halina hasara.tafakari chukua hatua