Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha n muhimu sana broApartment for rent.
Location: Relini karibu na kwa Mbunge Sugu.
Self contained
Water: 24 hours.
Parking: YES
Rooms: 4
Kitchen: YES
Fee: 150,000 @.
Security: YES
Payment: Three, four or six months.
Call: 0624 06 06 62.
Kama utapenda kiwanja kipo itezi block jjnatafuta kiwanja kwa makazi kiwe ..iwbi,ituha,isyesye
Hiyo ya 120,000 Bila shaka chumba kimoja ndio self contained hapa boss, ?Mkuu, hitaji lako tayari tumelitekeleza kama tulivyoahidi. Soma details hapo juu.
Chief, vyote ni self contained ila utofauti wake ni kuwa, hicho cha 120,000 kinakuwa na sitting room, ila cha 80,000 hakina sitting room. Yaani single self.Hiyo ya 120,000 Bila shaka chumba kimoja ndio self contained hapa boss, ?
Vp hicho cha 80,000 hakuna negotiation, 65,000 atleast?
Sawa boss kesho nitakuchek asubuhi ikiwezekana nije physically nivione ili tuyajenge zaidi.Chief, vyote ni self contained ila utofauti wake ni kuwa, hicho cha 120,000 kinakuwa na sitting room, ila cha 80,000 hakina sitting room. Yaani single self.
Kuhusu kupunguka kwa bei sina hakika juu ya hilo, labda kuzungumza na mwenye nyumba. Kesho nitakupa mrejesho chief.
Sisi kazi yetu ni kurahisisha tu upatikanai wa huduma, hatuwaongezei wateja gharama za kuwakandamiza.
Karibu sana.!
Mkuu uko vizuriHouse for rent
Location: TEKU kwa PAMBOGO
Rooms: 4 with master room
Water: 24 hours.
Parking: YES
Fee: 120,000
Gate: YES
Payments: 3 months
Gypsum: YES
Tiles: YES
Kitchen: YES
Call: 0624 06 06 62
Kwa rooms 3 za kulala kwa bei hiyo itakuwa ngumu kidogo. Lakini ngoja tulifanyie kazi hitaji lako, tutakujulisha tutakapofikia.Nipo bariad nimehamishiwa jiji mbeya baada ya wk tatu nitakuwa huko ila siwez pata ya kuanzia 70 per month ikawa nzuri
Nangoja jibu kwa hamu jitahidi ikipatikana utanijuzaKwa rooms 3 za kulala kwa bei hiyo itakuwa ngumu kidogo. Lakini ngoja tulifanyie kazi hitaji lako, tutakujulisha tutakapofikia.