Kwa Mahitaji ya Nyumba za Kupanga Jijini Mbeya

Kwa Mahitaji ya Nyumba za Kupanga Jijini Mbeya

Naona jakalanda na forest patanifaa zaidi kinachohitajika choo kiwe na tiles na kisiwe chakushare hata kama cha nje
 
Naona jakalanda na forest patanifaa zaidi kinachohitajika choo kiwe na tiles na kisiwe chakushare hata kama cha nje
Hakuna shida, kwa mazingira ya namna hiyo utapata kabisa. Karibu sana...
 
After this wk or after 2 wks nitakua nimefika huko nitakuwa napatikana itez uyole karibu na kanisa la TAG kama unaenda uyole day
 
After this wk or after 2 wks nitakua nimefika huko nitakuwa napatikana itez uyole karibu na kanisa la TAG kama unaenda uyole day
Sawa, ukiwa tayari tuwasiliane. 0620 538 081
 
Last edited:
Room for rent
Location: Block T
Self contained room: NO
Sitting room: NO
Single room: YES
Water: 24 hours.
Fee: 40,000
Payments: 3 months
Gypsum: NO
Tiles: NO
Call:0620 538 081
 
Last edited:
PLOTS FOR SALE
Location : Isyesye
30 x 25 Price 4.5 M
30 x 27 Price 3.5 M
30 x 24 Price 3.5 M
20 x 17 Price 3M
22 x 20 Price 3M
Price negotiable : YES
HATI/ Certificate : NO
Call 0624 06 06 62.

Vimepimwa?
Kuna ya gari mpaka kwenye kiwanja?
 
House for rent
Location: BLOCK T
Self contained with sitting room.
Rooms; 4
Kitchen; YES
Water: 24 hours.
Parking: YES
Security: YES
Payment: Negitiable
Gypsum: YES
Tiles: YES
Fee: 300,000
Call: 0620 538 081
 
Last edited:
Nahitaji Nyumba Nzovwe vyumba vitatu jiko,store,master room, public toilet,dinning and sitting room,water na geti kama inapatikana na iwe karibu na barabarani
 
Nahitaji Nyumba Nzovwe vyumba vitatu jiko,store,master room, public toilet,dinning and sitting room,water na geti kama inapatikana na iwe karibu na barabarani
Hitaji lako tunalifanyia kazi. Ntakujuza hivi punde..
 
Ila isiwe kama ile niliyoiona majuzi vyumba kama banda la kufugia simbilisi hakuna pa kugeukia
Mkuu, kwanza tunaomba radhi kama hukupatiwa huduma sawa na hitaji lako, wakati mwingine inatokana na kushirikiana na watu wengine, sasa tunatofautiana namna ya kumuhudumia mteja.

Hitaji lako tayari tumelifanyia kazi na kuna nyumba mbili, moja inajitegemea na nyingine unaishi upande wa mbele yaani kunakuwa na mtu mwingine. Fee yake ni Tshs 200,000. Karibu utembelee eneo husika kwa ajili ya ukaguzi. Unaweza kunicheki kwa 0624 06 06 62 au ukaniPM namba yako. Ahsante..
 
Mkuu, kwanza tunaomba radhi kama hukupatiwa huduma sawa na hitaji lako, wakati mwingine inatokana na kushirikiana na watu wengine, sasa tunatofautiana namna ya kumuhudumia mteja.

Hitaji lako tayari tumelifanyia kazi na kuna nyumba mbili, moja inajitegemea na nyingine unaishi upande wa mbele yaani kunakuwa na mtu mwingine. Fee yake ni Tshs 200,000. Karibu utembelee eneo husika kwa ajili ya ukaguzi. Unaweza kunicheki kwa 0624 06 06 62 au ukaniPM namba yako. Ahsante..
OK ipo pande zipi hapo Nzovwe?
 
ANGALIZO;
Usitume pesa kwa mtu awaye yeyote yule. Wala usitangulize pesa kwa yeyote ili kushika nyumba husika.

Malipo yote yanafanyika kwa Mmiliki wa Nyumba/Kiwanja/Shamba ana kwa ana baada ya mteja kuridhia.

Manunuzi yote yanayohusu Nyumba/Shamba au Kiwanja yatafanyika mbele ya uongozi wa serikali ya mtaa husika baada ya kuthibitishwa kwa uhalali wa umiliki wa Nyumba, Shamba au Kiwanja husika.
 
House for rent
Location: NZOVWE
Self contained with sitting room.
Rooms; 3
Kitchen; YES
Parking: YES
Security: YES
Water: 24 hours.
Payment: Negotiable
Gypsum: YES
Tiles: YES
Fee: 200,000
Call: 0620 538 081
 
Last edited:
House for rent
Location: Southern highland
Self contained with sitting room.
Rooms; 3
Kitchen; YES
Parking: YES
Security: YES
Water: 24 hours.
Payment: Negotiable
Gypsum: YES
Tiles: YES
Fee: 250,000
Call: 0620 538 081
 
Last edited:
Back
Top Bottom