Kwa Mahitaji ya Nyumba za Kupanga Jijini Mbeya

Kwa Mahitaji ya Nyumba za Kupanga Jijini Mbeya

Mkuui habari?
Hujatoa up date kitambo vipi kulikoni?
Inapendeza sana ukiendelea kutujuza
Usichoke ndo kazi mkuu
 
Mkuui habari?
Hujatoa up date kitambo vipi kulikoni?
Inapendeza sana ukiendelea kutujuza
Usichoke ndo kazi mkuu
Mkuu habari ni nzuri na Mungu anajalia uzima. Majukumu yaliongezeka kidogo muda ukawa mfinyu. Ila huduma zipo na zinapatikana kama kawaida. Tuwasiliane ukihitaji Mkuu.

Namba ya 0620 538 081 isipopatikana, tuwasiliane kupitia 0752 771 553.
 
Last edited:
House for rent
Location: Block T
Self contained with sitting room.
Rooms; 3
Kitchen; YES
Parking: YES
Security: YES
Water: 24 hours.
Payment: 6 Moths
Tiles: YES
Fee: 200,000
Call: 0620 538 081

IMG-20180609-WA0155.jpg
IMG-20180609-WA0156.jpg
IMG-20180609-WA0159.jpg
 
Last edited:
House for rent
Location: Block T
Self contained with sitting room.
Rooms; 3
Kitchen; YES
Parking: YES
Security: YES
Water: 24 hours.
Payment: 6 months
Gypsum: YES
Tiles: YES
Fee: 250,000
Call: 0620 538 081
IMG-20180609-WA0164.jpg
IMG-20180609-WA0163.jpg
 
Last edited:
Habari,nahitaji nyumba iwe mpya na ya kisasa,iwe na vyumba 2 au 3,viwe self,sitting rum,kitchen,store,dinning rum na parking,yenyewe ndan ya fence..Iwepo maeneo ya iwambi,uzunguni na maeneo kama hayo yaliyotulia...budget 300,000/= ..nahitaji ndani ya wiki ijayo mapema j5...no 0743185408..
 
  • Je, wewe ni Mgeni au Mwenyeji na unahitaji nyumba ya kupanga Jijini Mbeya.?

  • Je, wewe ni Mfanyabiashara/Mjasiriamali na unahitaji sehemu ya kufanyia biashara Jijini Mbeya.?

  • Je, wewe ni mmiliki wa Nyumba au sehemu ya biashara na unahitaji Mpangaji Jijini Mbeya.?

Usisumbuke, tupo kwa ajili ya kukurahisishia upatikanaji wa huduma unayohitaji.

Umakini, huduma ya haraka, uaminifu na udugu ni misingi na nguzo kuu kwa huduma zetu.

ANGALIZO;

Usitume pesa kwa mtu awaye yeyote yule. Wala usitangulize pesa kwa yeyote ili kushika nyumba husika.

Malipo yote yanafanyika kwa Mmiliki wa Nyumba/Kiwanja/Shamba ana kwa ana baada ya mteja kuridhia.

Manunuzi yote yanayohusu Nyumba/Shamba au Kiwanja yatafanyika mbele ya uongozi wa serikali ya mtaa husika baada ya kuthibitishwa kwa uhalali wa umiliki wa Nyumba, Shamba au Kiwanja husika.

Karibu tukuhudumie na uokoe muda, usipate shida ya kupata hitaji lako, tupo kwa ajili ya kukufikishia huduma kwa haraka na ubora wa hali ya juu..

Mawasilaino: 0620 538 081
Email: fajestz@gmail.com
Habari ndugu,
Nahitaji nyumba ya kupanga vyumba viwili au vitatu iwe na fence ambayo gari inaweza kuingia, sitting room, dining, kitchen. Chumba kimoja kiwe master. Maeneo ni Ilomba, Sai,Mwambene na Soweto. Maeneo si lazima saana kama kuna sehemu nyingine naweza kungalia pia. Budget yangu ni 200,000/tshs kwa mwezi. Nipo tayari kulipa miezi sita.
 
Habari ndugu,
Nahitaji nyumba ya kupanga vyumba viwili au vitatu iwe na fence ambayo gari inaweza kuingia, sitting room, dining, kitchen. Chumba kimoja kiwe master. Maeneo ni Ilomba, Sai,Mwambene na Soweto. Maeneo si lazima saana kama kuna sehemu nyingine naweza kungalia pia. Budget yangu ni 200,000/tshs kwa mwezi. Nipo tayari kulipa miezi sita.
Number yang 0754 481519
 
Habari ndugu,
Nahitaji nyumba ya kupanga vyumba viwili au vitatu iwe na fence ambayo gari inaweza kuingia, sitting room, dining, kitchen. Chumba kimoja kiwe master. Maeneo ni Ilomba, Sai,Mwambene na Soweto. Maeneo si lazima saana kama kuna sehemu nyingine naweza kungalia pia. Budget yangu ni 200,000/tshs kwa mwezi. Nipo tayari kulipa miezi sita.
Habari,nahitaji nyumba iwe mpya na ya kisasa,iwe na vyumba 2 au 3,viwe self,sitting rum,kitchen,store,dinning rum na parking,yenyewe ndan ya fence..Iwepo maeneo ya iwambi,uzunguni na maeneo kama hayo yaliyotulia...budget 300,000/= ..nahitaji ndani ya wiki ijayo mapema j5...no 0743185408..
pesa ya dalali ya mwezi umeandaa??
 
Two Apartments for rent.
Location: Relini karibu na kwa Mbunge Sugu.
Self contained
Water: 24 hours.
Parking: YES
Rooms: 2
Sitting room; YES
Kitchen: YES
Fee: 150,000 @.
Security: YES
Payment: Three, four or six months.
Call: 0620 538 081
Raha ya mbeya hyo yaan soon narud zangu tu mbeya dar sasa hv umeharibika kabisa yaan vyumba bei alafu pesa hakuna.
 
Mkuu bado ni dalali?
Nahitaji nyumba ya vyumba vitatu. Ninahamia Soweto. Kwahiyo nyumba iwe karibu na hayo maeneo. Naweza pata, bei gani?
 
Back
Top Bottom