Kilanga komo
JF-Expert Member
- Aug 27, 2022
- 337
- 290
- Thread starter
- #21
Unaonekana mtakatifu kumbe.... "humu tu.... humu tu... Wekaa... Wekaa..." 😂Inakupa uhuru wa kufanya matendo ya mitume bila kushtukiwa maana wataamini wewe bado mtoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaonekana mtakatifu kumbe.... "humu tu.... humu tu... Wekaa... Wekaa..." 😂Inakupa uhuru wa kufanya matendo ya mitume bila kushtukiwa maana wataamini wewe bado mtoto.
Yaah yani ukitaka kutenda dhambi kwa amani okoka kwanza.Unaonekana mtakatifu kumbe.... "humu tu.... humu tu... Wekaa... Wekaa..." 😂
🤣🤣🤣🤣 Mbinu ya kivitaYaah yani ukitaka kutenda dhambi kwa amani okoka kwanza.
Ukisukia jivikeni silaha za vita ndio hizo sasa🤣🤣🤣🤣🤣 Mbinu ya kivita
Mwaka wa kwanza kaa chuo ili uziee mazingira baada ya hapo mwaka unaoendelea tafuta geto changia na mtu mmoja msiwe zaidi ya wawili kwakua hamtakua serious kwenye mambo ya chuo, hapo itakusaidia hata ukimaliza kuendeleza chumba chako kuanza saka ajira,ukiwa mwaka wa pili tafuta kazi za jioni/ucku zitakutoa sana kuongeza na kubadilisha mboga km callcenter,data entry or kazi za viwandani bali.Naomba kuuliza...
Kwa maisha ya chuo, kati ya kukaa hostel na kupanga chumba (Geto) ipi ni nzuri
Team hostel VS Team Magetoni
______________________
Unataka chumba cha kupanga single au master maeneo ya Kigamboni karibu na Ferry, au Magomeni Sinza, Ubungo Makumbusho na maeneo mengineyo hapa Dar?
Comment "Nataka"
Upate room chap chap
Piga: 0759448927
Kwa kweliUkisukia jivikeni silaha za vita ndio hizo sasa🤣
🤣🤣🤣🤣Et matendo ya mitume😅
Asante mkuu... hapo kwenye data entry kama umenigusa japokuwa nimemaliza but Niko interested na hii issue nipe Mbinu(Tips) napataje hii issue. Natanguliza shukraniMwaka wa kwanza kaa chuo ili uziee mazingira baada ya hapo mwaka unaoendelea tafuta geto changia na mtu mmoja msiwe zaidi ya wawili kwakua hamtakua serious kwenye mambo ya chuo, hapo itakusaidia hata ukimaliza kuendeleza chumba chako kuanza saka ajira,ukiwa mwaka wa pili tafuta kazi za jioni/ucku zitakutoa sana kuongeza na kubadilisha mboga km callcenter,data entry or kazi za viwandani bali.