Richard JF-Expert Member Joined Oct 23, 2006 Posts 15,692 Reaction score 23,038 Aug 11, 2016 #21 Hii mbona haijakaa sawa kwa mchezaji kuwa na mkataba na raisi wa klabu na sio klabu husika?
yegella JF-Expert Member Joined Nov 18, 2010 Posts 3,113 Reaction score 1,102 Aug 11, 2016 #22 Richard said: Hii mbona haijakaa sawa kwa mchezaji kuwa na mkataba na raisi wa klabu na sio klabu husika? Click to expand... duniani kuna vituko mfano ulishawahi kusikia timu inakodishwa kama gauni la harusi..
Richard said: Hii mbona haijakaa sawa kwa mchezaji kuwa na mkataba na raisi wa klabu na sio klabu husika? Click to expand... duniani kuna vituko mfano ulishawahi kusikia timu inakodishwa kama gauni la harusi..
Nahonyo JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 5,550 Reaction score 5,379 Aug 12, 2016 #23 yegella said: duniani kuna vituko mfano ulishawahi kusikia timu inakodishwa kama gauni la harusi.. Click to expand... Alafu akimaliza mkataba wake huyo Mangi nami nataka kuikodi, bahati hii wa aihitaji mtaji maana inakodishwa kwa mkopo, ambao hauna maalewano kuwa ukikaa nayo muda gani upeleke kiasi gani, hii mzuri sana.
yegella said: duniani kuna vituko mfano ulishawahi kusikia timu inakodishwa kama gauni la harusi.. Click to expand... Alafu akimaliza mkataba wake huyo Mangi nami nataka kuikodi, bahati hii wa aihitaji mtaji maana inakodishwa kwa mkopo, ambao hauna maalewano kuwa ukikaa nayo muda gani upeleke kiasi gani, hii mzuri sana.