Kwa makada wenzangu tu wa CCM nini kinachotusababishia umaskini?

Kwa makada wenzangu tu wa CCM nini kinachotusababishia umaskini?

Mkimuyangu

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2022
Posts
1,054
Reaction score
1,947
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari,
Raisi ndiyo anasababisha umasikini
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
CCM
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
Kwani ccm wanasemaje?
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
Soma Isaya 50 mstari wa 11
 
Ili uondokane na umasikini wa kipato ni sharti na ni lazima ufanye kazi kwa bidii,juhudi na maarifa.Ni lazima ujitume kwelikweli,ni lazima ujitoe na kuwa na malengo mazuri,ni lazima uzitumie vyema fursa za kiuchumi zinazopatikana katika eneo lako au nje ya eneo lako,ni lazima uwekeze katika miradi mbalimbali na uweke akiba na hiyo akiba izalishe na kuleta faida na hiyo faida ilete na kuongeza mtaji wako.

Usipofanya kazi kwa bidii ,ukabweteka tu.Nakuambia utailaumu serikali mpaka siku zako za maisha ya hapa Duniani zitakapo koma.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa wewe na mimi mwananchi kufanya kazi kama ifanyavyo serikali ya Rais samia.mfano kwa sisi wakulima serikali imeweka mazingira wezeshi na rafiki kwa mkulima kuinuka kiuchumi kwa kutoa mbolea za Ruzuku,kuweka soko la uhakika,kuweka sera rafiki kwa kilimo na mkulima,kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji wa pembejeo na kwa bei nzuri, kujenga miundombinu ya barabara inayosaidia katika kusafirisha mazao yetu kulifikia soko kwa urahisi.

Kwa hiyo kwa sisi wakulima hiyo ni fursa kwetu ambayo tukitumia vizuri hakuna atakaye bakia katika umaskini .lakini kama ukikaa utajikuta wewe unabaki maskini na wenzio wanapiga hatua mbele za maendeleo halafu wewe unabakia unalalamika kila siku,kana kwamba unataka serikali ije ikulimie shamba huku wewe umejiegesha nyumbani kwako
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
Kosa kubwa ni kuwapa wabunge mshahara mkubwa wakiwa wawakilishi wa raia masikini.
Viongozi wakiwamo wabunge hawajui hali halisi ya wananchi na hivyo kutokufanya jitihada zinazolingana na uhitaji kifikra na kivitendo.
 
Ukiwa na Taifa ambalo wanasiasa na viongozi wa serikali wanapata Hela nyingi sana kuliko Viwanda,makampuni, wafanyakazi na wafanyabishara ujue hilo taifa lina zalisha UMASKINI.
 
Kosa kubwa ni kuwapa wabunge mshahara mkubwa wakiwa wawakilishi wa raia masikini.
Viongozi wakiwamo wabunge hawajui hali halisi ya wananchi na hivyo kutokufanya jitihada zinazolongangana uhitaji kifikra na kivitendo.
Umeongea ukweli
 
Ili uondokane na umasikini wa kipato ni sharti na ni lazima ufanye kazi kwa bidii,juhudi na maarifa.Ni lazima ujitume kwelikweli,ni lazima ujitoe na kuwa na malengo mazuri,ni lazima uzitumie vyema fursa za kiuchumi zinazopatikana katika eneo lako au nje ya eneo lako,ni lazima uwekeze katika miradi mbalimbali na uweke akiba na hiyo akiba izalishe na kuleta faida na hiyo faida ilete na kuongeza mtaji wako.

Usipofanya kazi kwa bidii ,ukabweteka tu.Nakuambia utailaumu serikali mpaka siku zako za maisha ya hapa Duniani zitakapo koma.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kwa wewe na mimi mwananchi kufanya kazi kama ifanyavyo serikali ya Rais samia.mfano kwa sisi wakulima serikali imeweka mazingira wezeshi na rafiki kwa mkulima kuinuka kiuchumi kwa kutoa mbolea za Ruzuku,kuweka soko la uhakika,kuweka sera rafiki kwa kilimo na mkulima,kuweka mazingira mazuri ya upatikanaji wa pembejeo na kwa bei nzuri, kujenga miundombinu ya barabara inayosaidia katika kusafirisha mazao yetu kulifikia soko kwa urahisi.

Kwa hiyo kwa sisi wakulima hiyo ni fursa kwetu ambayo tukitumia vizuri hakuna atakaye bakia katika umaskini .lakini kama ukikaa utajikuta wewe unabaki maskini na wenzio wanapiga hatua mbele za maendeleo halafu wewe unabakia unalalamika kila siku,kana kwamba unataka serikali ije ikulimie shamba huku wewe umejiegesha nyumbani kwako
Unaonaje kama tukiwapisha na wenzetu waje wajalibu, labda watakuja na mbinu tofauti na sisi
 
nyie endekezeni uchawa badala ya kuongea mambo halisi
na bado mjasema na mtasema
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
(WEWE SIO KADA WA CCM)
Umasikini ni wako binafsi,makada si masikini,tuna nguvu,tunafanya kazi kwa bidii,kukipenda chama kisiutumie muda wako wote!
 
Back
Top Bottom