Kwa makada wenzangu tu wa CCM nini kinachotusababishia umaskini?

Kwa makada wenzangu tu wa CCM nini kinachotusababishia umaskini?

Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM, nani anayesababisha huu umasikini?
Ni wewe Mkimuyangu pamoja na hao wana CCM wenzako. Kama ni kweli huwajui, unafiki ndio unakusaumbua!

hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe...nani anasababisha huu umasikini?
Ni CCM na serikali yake...CCM ni chama cha mafisadi na matapeli
ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa...nani anayesababisha huu umasikini?
Ni CCM, wezi wa rasilimali za taifa, wanaokula hadi mbegu!
, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu... nani anayesababisha huu umaskini?
Ni viongozi wa CCM pamoja na serikali yake kuanzia chini hadi juu kabisa wanaokula bila kunawa.
 
Kuwauliza makada wa ccm hili swali na utarajie majibu yaliyonyooka ni sawa na kuwapigia kondoo gitaa!
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
Kama wewe ni CCM basi ni CCM mjinga kuliko wana CCM wote.

CCM hatubaguwi.
 
Kama wewe ni CCM basi ni CCM mjinga kuliko wana CCM wote.

CCM hatubaguwi.
Siyo mimi ndiyo CCM mwelevu kuliko wote, kwani ni uongo kusema kwamba tumeshindwa kumtoa mtanzania kwenye lindi la umaskini?Tatizo tunapenda kusifiana tu bila kuambiana ukweli,
 
Siyo mimi ndiyo CCM mwelevu kuliko wote, kwani ni uongo kusema kwamba tumeshindwa kumtoa mtanzania kwenye lindi la umaskini?
Kufikiri kuwa chama cha siasa kinaweza kukutoa kwenye umasiki ni ujinga wa hali ya juu.

Waulize waliotoka kwenye umasikini wote walitolewa na chama gani?


Adui wa Tanzania siyo umasikini, adui wa Tanzania ni mmoja tu, Ujinga.
 
Kufikiri kuwa chama cha siasa kinaweza kukutoa kwenye umasiki ni ujinga wa hali ya juu.

Waulize waliotoka kwenye umasikini wote walitolewa na chama gani?


Adui wa Tanzania siyo umasikini, adui wa Tanzania ni mmoja tu, Ujinga.
Dada faiza wewe Muisilamu mwenzangu,Muogope mwenyezi Mungu wako,badala ya kuwatetea watawala hao wanaojua kabisa wanawasababishia umaskini wananchi wao kwa maksudi kabisa

Lakini ipo siku kila mtawala atasimamishwa dhidi ya kila mtu aliyemzulumu amlipe alichomzulumu,
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
"MACHADEMA"
 
Dada faiza wewe Muisilamu mwenzangu,Muogope mwenyezi Mungu wako,badala ya kuwatetea watawala hao wanaojua kabisa wanawasababishia umaskini wananchi wao kwa maksudi kabisa

Lakini ipo siku kila mtawala atasimamishwa dhidi ya kila mtu aliyemzulumu amlipe alichomzulumu,
Jihadist huyo!!
 
Nikiwa kama kada maarufu na mtiifu wa CCM na nina imani kwelikweli na Rais wangu Samia, hivi huu umaskini tulionao toka tulipopata uhuru, na tumekuwa tukiongoza inchi wenyewe, ukitegemea tuna kila aina ya rasilimali, kuanzia bahari, utari, madini, ardhi bora, amani aliyotuachia baba wa Taifa, lakini kinyume chake raia wetu maskini wa kutupa, huku viongozi wakiishi kwenye utajiri mkubwa na maisha yaanasasa, mfano mishahara yawabunge vs ya walimu.

Nana anayesababisha huu umaskini?
Hata mimi nashangaa......kada unakuwaje maskini?

Kawaida kabisa Kada wa hali ya Chini atakiwa kipato chake kisiwe chini ya 5M kwa mwezi.
 
Kufikiri kuwa chama cha siasa kinaweza kukutoa kwenye umasiki ni ujinga wa hali ya juu.

Waulize waliotoka kwenye umasikini wote walitolewa na chama gani?


Adui wa Tanzania siyo umasikini, adui wa Tanzania ni mmoja tu, Ujinga.
Kuna umaskini wa aina mbili.

Umaskini wa mtu mmoja mmoja. Na,

Umaskini wa Taifa.

Sasa huu umaskini wa taifa una ondolewa na nani?

Kwamba raia ndio wajenge barabara, mashule, vituo vya afya, viwanda n.k

Sasa kazi ya Serikali na chama cha siasa itakuwa ni ipi?

kama wao hawahusiki kuondoa Umaskini wa watu, wanafanya kazi gani uongozini?

Au na wao ni Wajinga?
 
Hata mimi nashangaa......kada unakuwaje maskini?

Kawaida kabisa Kada wa hali ya Chini atakiwa kipato chake kisiwe chini ya 5M kwa mwezi.
Sio kila kada wa ccm anawaza pesa kuna baadhi kama mleta mada anawaza Tanzania kwanza sio kila mtu awaza kudokoa
 
Back
Top Bottom