Serikali kumiliki nyumba nyingi so sahihi, lakini kuziuza kwa bei ya chini pia haikuwa sahihi, badala yake zingepelekwa National Housing, huku serikali ikibakisha nyumba chache kwa ajili ya viongozi kadhaa. Lakini obviously mpango huu uka back-fire both kisiasa lakini pia kimantiki tu kwani ilianza kuwa ngumu kwa mawaziri wapya au makatibu wakuu to commute from kiluvya, kigamboni etc, pamoja na argument kuhusu usalama wa viongozi huko kwenye makazi yao; It back fired just like advice za WorldBank na IMF kuhusu serikali kujitoa kwenye elimu, afya, etc, only for them to ask the government kurudi tena, na ndio maana tunaona shule za kata etc. WorldBank na IMF wana nguvu katika maamuzi yetu kwa sababu moja tu - we depend on their finance kwenye bajeti yetu ya maendeleo na ya kulipa mishahaar watumishi wa serikali. Ni hilo tu. Tukijikwamua toka kwenye hilo, tutapiga hatua kubwa sana na kumbakisha mdudu mmoja tu - WTO;