Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
- Thread starter
- #121
Hivi leo likitokea gazeti jingine lina makala yenye kusifia serikali kuhusiana na mgomo wa madaktari na mwandishi ni "mwanakijiji" na watu wakashambulia imekuwaje nimeacha kusupport madaktari si ni haki kwangu kutoa maelezo? Nikipitia hiyo inayodaiwa kuwa ni makala na kugundua ni mkusanyiko wa maandishi yangu na nyongeza za mhariri bado nadaiwa kutoa maelezo? Nikiwaelekeza watu kwenye makala pekee niliyoandika juu ya somo na kwaambia hiyo makala iliyowekwa jina langu sikuandika wala kutuma bado notadaiwa kutoa maelezo? Wanaosema nioneshe without reasonable doubt kuwa sikutuma ndiio wataamini nawapa challenge: pendekezeni njia moja tu ya mimi kuweza kuonesha sikutuma makala hiyo zaidi ya kauli yangu kuwa sikutuma.
nimekuelewa!!
However, tell Kubenea that anafanya mambo ya zamani ya akina Kolimba not fair! anaandika yeye anajifanya kaandika mtu mwingine!!