NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 347
- 432
Hii leo kuna habari kuwa nyota yacouba anaelekea kwao burkina faso,inaweza ikawa ndio bye bye hiyo.
Kwenu viongozi wa Yanga yacouba angekuwa na msahada mkubwa kwa timu zaidi ya ambao Makambo anatoa.
kuelekea mechi mbalimbali za kimataifa na ligi ya ndani ,Makambo uwezo wake unamashaka sana ,
Japo sogne ndio ametoka majeruhi ya muda mrefu na pengine namba anayocheza wapo wachezaji wengine wenye uwezo pia lakiin pengine ingekuwa ni bora angebakizwa ycouba
Kwenu viongozi wa Yanga yacouba angekuwa na msahada mkubwa kwa timu zaidi ya ambao Makambo anatoa.
kuelekea mechi mbalimbali za kimataifa na ligi ya ndani ,Makambo uwezo wake unamashaka sana ,
Japo sogne ndio ametoka majeruhi ya muda mrefu na pengine namba anayocheza wapo wachezaji wengine wenye uwezo pia lakiin pengine ingekuwa ni bora angebakizwa ycouba