Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaView attachment 3035883
CRDB EBU WEKENI ACCOUNT WEZESHI NA SIO HUU UPUUZI WENU LA SIVYO KITAWALAMBA
Eti hii ndo account ya MWANAFUNZI isiyo na makato khaaaaaaa🙄🙄
Na za wafanyakazi hali ikoje Jamani?.🤣
Tununue vibubuWamezidi 🤭🤭☠️
Walipogoma watu wa kaliakoo kila mtu ilitakiwa apaze sauti naona umechelewa kabisa.HII NDO TZOneni Jamani wamenikata pakubwa 🥺🥺
Hahahah hata MimiYan akili yangu sijui inawaza nini? Neno la pili kwenye Kichwa cha thread nimesoma haraka haraka aseeh mpaka nimejishangaa mwenyewe.
Tuendelee na mada
Kwahiyo sisi wanaume TUENDELEE kuteseka sioo?🙄🙄Mimi nina account mbili crdb na zote hazina makato na kutoa natolea dirishani siend kwa wakala Wala ATM isipokuwa kwa dharura
Kuna account ya IMBEJU & HODARI BUSINESS ACCOUNT
ila hii HODARI lazima uwe na documents za brela na leseni hiyo imbeju ni kijana au mwanake
Huko ndo sikushauri kabisa makato yake yanaweza yakawa makubwa kuliko hata hiyo hela uliompa akakuwekeaKwa mtindo huu nitaanza kumpa mchumba angu anitunzie 😂😅
Pambaneni na hali zenuKwahiyo sisi wanaume TUENDELEE kuteseka sioo?🙄🙄
Ma nina🤔🤔🤔
Hali mbayaView attachment 3035883
CRDB EBU WEKENI ACCOUNT WEZESHI NA SIO HUU UPUUZI WENU LA SIVYO KITAWALAMBA
Eti hii ndo account ya MWANAFUNZI isiyo na makato khaaaaaaa🙄🙄
Na za wafanyakazi hali ikoje Jamani?.🤣