Kwa Makocha wa 'hovyo' kama Zubeiry Katwila wa Ihefu FC kwanini Soka la Tanzania lisiwe 'bovu' na la Simba na Yanga 24/7 tu?

Kwa Makocha wa 'hovyo' kama Zubeiry Katwila wa Ihefu FC kwanini Soka la Tanzania lisiwe 'bovu' na la Simba na Yanga 24/7 tu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nimeamua kuwapumzisha Wachezaji wangu mahiri wa Kikosi cha Kwanza wasicheze Mechi hii na Yanga SC ili wasubirie Mchezo wetu muhimu wa Ligi Daraja la Kwanza ili tujiweke katika nafasi nzuri ya kurejea tena Ligi Kuu mwakani" amesema Kocha Mkuu wa Ihefu FC Zubeiry Katwila.

Nami GENTAMYCINE nina Swali kwa Kocha wa 'hovyo' Zubeiry Katwila kuwa sasa kama kumbe alijua kuwa huo Mchezo wake na Yanga SC Kwake haukuwa na Kipaumbele chochote kwanini asingewaomba tu TFF wawape Yanga SC Ushindi kuliko kuingiza Timu yake ya Ihefu FC ambayo jana si tu ilicheza Mpira mbovu bali pia ilicheza Mpira wa Kiuwendawazimu na wa Kipuuzi kama si Kitoto pia.

Mijitu mingine ni ya hovyo kama Sura zao tu. Halafu kwa Makocha wa 'hovyo' kama hawa na wengine baadhi ndiyo mnataka Soka la Tanzania likue? Kudadadeki zenu Simba na Yanga zitaendelea Kutawala Soka la Tanzania mpaka Kiama kitakapokuja.
 
"Nimeamua kuwapumzisha Wachezaji wangu mahiri wa Kikosi cha Kwanza wasicheze Mechi hii na Yanga SC ili wasubirie Mchezo wetu muhimu wa Ligi Daraja la Kwanza ili tujiweke katika nafasi nzuri ya kurejea tena Ligi Kuu mwakani" amesema Kocha Mkuu wa Ihefu FC Zubeiry Katwila.

Nami GENTAMYCINE nina Swali kwa Kocha wa 'hovyo' Zubeiry Katwila kuwa sasa kama kumbe alijua kuwa huo Mchezo wake na Yanga SC Kwake haukuwa na Kipaumbele chochote kwanini asingewaomba tu TFF wawape Yanga SC Ushindi kuliko kuingiza Timu yake ya Ihefu FC ambayo jana si tu ilicheza Mpira mbovu bali pia ilicheza Mpira wa Kiuwendawazimu na wa Kipuuzi kama si Kitoto pia.

Mijitu mingine ni ya hovyo kama Sura zao tu. Halafu kwa Makocha wa 'hovyo' kama hawa na wengine baadhi ndiyo mnataka Soka la Tanzania likue? Kudadadeki zenu Simba na Yanga zitaendelea Kutawala Soka la Tanzania mpaka Kiama kitakapokuja.
Huwezi jua mkuu labda alishakula kishika uchumba
 
mi mwenyewe huyu kocha sijamuelewa kabisa alichoonge....... afadhali asingeongea chochote kwenye media kuliko utumbo anaotaka kutuaminisha hapa
 
"Nimeamua kuwapumzisha Wachezaji wangu mahiri wa Kikosi cha Kwanza wasicheze Mechi hii na Yanga SC ili wasubirie Mchezo wetu muhimu wa Ligi Daraja la Kwanza ili tujiweke katika nafasi nzuri ya kurejea tena Ligi Kuu mwakani" amesema Kocha Mkuu wa Ihefu FC Zubeiry Katwila.

Nami GENTAMYCINE nina Swali kwa Kocha wa 'hovyo' Zubeiry Katwila kuwa sasa kama kumbe alijua kuwa huo Mchezo wake na Yanga SC Kwake haukuwa na Kipaumbele chochote kwanini asingewaomba tu TFF wawape Yanga SC Ushindi kuliko kuingiza Timu yake ya Ihefu FC ambayo jana si tu ilicheza Mpira mbovu bali pia ilicheza Mpira wa Kiuwendawazimu na wa Kipuuzi kama si Kitoto pia.

Mijitu mingine ni ya hovyo kama Sura zao tu. Halafu kwa Makocha wa 'hovyo' kama hawa na wengine baadhi ndiyo mnataka Soka la Tanzania likue? Kudadadeki zenu Simba na Yanga zitaendelea Kutawala Soka la Tanzania mpaka Kiama kitakapokuja.
Ukweli ni kwamba mashindano ya ASFC ni mzigo mkubwa na mzito sana kwa timu za ligi daraja la kwanza. Hii ni kwa maana ya muda, gharama, nguvu na ratiba.

Binafsi niliwaelewa Ihefu kuweka kikosi cha pili dhidi ya Yanga jana.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Ligi daraja la kwanza ni ngumu mno msimu huu, vita ya kupanda daraja ni kali sana.
Kwa kadri timu kama Ihefu itakavyokua inatumia nguvu na muda mwingi kuhangaika na kombe la FA (ASFC) ndivyo inajipa majukumu mengi katika msimu na kujipunguzia nguvu zake kwa ajili ya vita ya kupanda daraja.

2. Hata kama Ihefu angeweka "full mkoko" jana dhidi ya Yanga, uwezekano wao wa kuitoa Yanga bado ulikua ni mdogo sana ukilinganisha ubora wa timu zote mbili. Cha maana ambacho wangeweza kufanya labda ni kutoa upinzani mkali.
Kutumia nguvu zako zote kwa ajili tu ya kutoa upinzani mkali, wakati nguvu hizo una matumizi nazo katika kupandisha timu daraja, kwa maoni yangu, hayo ni mawazo mabaya sana.

3. Hata kama Ihefu angeweza kumtoa Yanga jana, njia yake ya angalau kufika nusu fainali tu ya kombe la ASFC ilikua ni ngumu mno. Hii ni bila kujalisha angepangwa na nani. Na katika kombe hili, "pesa ya maana" unapata angalau ukiingia nusu fainali. Kwahiyo manufaa ambayo angeweza kupata Ihefu katika kombe hilo yalikua mbali mno (from the beginning).

4. Timu karibia zote za daraja la kwanza (ukiachana na African Sports aliyemtoa Mbeya City) zimeondolewa kwenye hayo mashindano sio tu kwa sababu hazina uwezo mzuri wa kushindana na timu za ligi kuu, hapana. They have picked their fights na ndio maana wengi wamewapa nafasi wachezaji ambao sio regular starters.

Ihefu wamechagua wanachokiweza, na wameamua kukisimamia.

Vita ya ASFC si vita ya Ihefu, vita ya kupanda daraja ni vita halali kwao.

Mimi nimewaelewa wale jamaa.
 
"Nimeamua kuwapumzisha Wachezaji wangu mahiri wa Kikosi cha Kwanza wasicheze Mechi hii na Yanga SC ili wasubirie Mchezo wetu muhimu wa Ligi Daraja la Kwanza ili tujiweke katika nafasi nzuri ya kurejea tena Ligi Kuu mwakani" amesema Kocha Mkuu wa Ihefu FC Zubeiry Katwila.

Nami GENTAMYCINE nina Swali kwa Kocha wa 'hovyo' Zubeiry Katwila kuwa sasa kama kumbe alijua kuwa huo Mchezo wake na Yanga SC Kwake haukuwa na Kipaumbele chochote kwanini asingewaomba tu TFF wawape Yanga SC Ushindi kuliko kuingiza Timu yake ya Ihefu FC ambayo jana si tu ilicheza Mpira mbovu bali pia ilicheza Mpira wa Kiuwendawazimu na wa Kipuuzi kama si Kitoto pia.

Mijitu mingine ni ya hovyo kama Sura zao tu. Halafu kwa Makocha wa 'hovyo' kama hawa na wengine baadhi ndiyo mnataka Soka la Tanzania likue? Kudadadeki zenu Simba na Yanga zitaendelea Kutawala Soka la Tanzania mpaka Kiama kitakapokuja.
Kwani waliompa timu wao wanasemaje?
 
Ukweli ni kwamba mashindano ya ASFC ni mzigo mkubwa na mzito sana kwa timu za ligi daraja la kwanza. Hii ni kwa maana ya muda, gharama, nguvu na ratiba.

Binafsi niliwaelewa Ihefu kuweka kikosi cha pili dhidi ya Yanga jana.

Sababu zangu ni hizi:-
1. Ligi daraja la kwanza ni ngumu mno msimu huu, vita ya kupanda daraja ni kali sana.
Kwa kadri timu kama Ihefu itakavyokua inatumia nguvu na muda mwingi kuhangaika na kombe la FA (ASFC) ndivyo inajipa majukumu mengi katika msimu na kujipunguzia nguvu zake kwa ajili ya vita ya kupanda daraja.

2. Hata kama Ihefu angeweka "full mkoko" jana dhidi ya Yanga, uwezekano wao wa kuitoa Yanga bado ulikua ni mdogo sana ukilinganisha ubora wa timu zote mbili. Cha maana ambacho wangeweza kufanya labda ni kutoa upinzani mkali.
Kutumia nguvu zako zote kwa ajili tu ya kutoa upinzani mkali, wakati nguvu hizo una matumizi nazo katika kupandisha timu daraja, kwa maoni yangu, hayo ni mawazo mabaya sana.

3. Hata kama Ihefu angeweza kumtoa Yanga jana, njia yake ya angalau kufika nusu fainali tu ya kombe la ASFC ilikua ni ngumu mno. Hii ni bila kujalisha angepangwa na nani. Na katika kombe hili, "pesa ya maana" unapata angalau ukiingia nusu fainali. Kwahiyo manufaa ambayo angeweza kupata Ihefu katika kombe hilo yalikua mbali mno (from the beginning).

4. Timu karibia zote za daraja la kwanza (ukiachana na African Sports aliyemtoa Mbeya City) zimeondolewa kwenye hayo mashindano sio tu kwa sababu hazina uwezo mzuri wa kushindana na timu za ligi kuu, hapana. They have picked their fights na ndio maana wengi wamewapa nafasi wachezaji ambao sio regular starters.

Ihefu wamechagua wanachokiweza, na wameamua kukisimamia.

Vita ya ASFC si vita ya Ihefu, vita ya kupanda daraja ni vita halali kwao.

Mimi nimewaelewa wale jamaa.
Mkuu akili unazo
 
Unapocheza na timu kubwa, unaifanya timu kuwa bora zaidi.

Rejea ubora wa Simba unavyozidi kukua siku Hadi siku kutokana na kushiriki CL.

Kocha kama huyu atabaki hivi hivi. Na mwisho wa siku atasema makocha wazawa hawathaminiwi.


Alipaswa kuitumia hii fulsa kuboresha kikosi chake.
 
Back
Top Bottom