Kwa makusanyo yaliyopatikana kupitia ofisi ya DPP ni dhahiri Wapinzani muache kupinga kila jambo

una mwambiaje mtu asubilie kesi yake iende mahakamani wakati unamuweka ndani miaka 5 eti upelelezi haujakamilika? Hayo ni mazingira tosha ya kumtisha mtu akili makosa yake ili mdhurumu pesa yake. Lkn tunasema iko cku mtajibu mbele ya haki, Kama sio nyie basi watoto wenu watawajibia cku haki ikisimama
 
Kwanza jambo la ajabu Sana unamkamataje mtu wakati ushahidi huna? Yaani mtu anakamatwa anawekwa ndani baadae ndio upelelezi unafwata hiyo ni haki gani?. Matokeo yake mtu anasota ndani pasipo sababu ya msingi. Hiyo yote ni hujuma ya serikali dhidi ya watu wake kwa kuwatesa ili kuwatoa hela zao.
pelelezeni kwanza ili mkimkamata mtu mnakua na ushahidi wa kutosha na kesi inaenda haraka na mtu anapata haki yake ya kuhukumiwa
 
Unamaliza mwaka kwa kusifu ajira ya ujambazi kuwa imepunguza umasikini! Wewe si bure! Utakujasifu mkeo akileta kitita cha pesa toka kwa mshikaji wake!
 
Kwani sheria kupita bungeni ndio sio kandamizi? Ni sheria ngapi kandamizi zimepita ndani ya hilo bunge kibogoyo, mpaka ikabidi mataifa ya nje ya kaweka mbinyo ili zibadilishwe?
Ahaaa, unataka kuzungumzi ishu ya takwimu?. Vinalandana na mafisadi kutapika walichokwapua?

Sheria kama haina maslahi kwa umma inarekebishwa na bunge ili ilete maslahi kwa umma.

Kwa hiyo sheria ya takwimu kubadilrishwa sioni kama ni tatizo.
 
Mfano MAGUFULI alinunua magorofa ya NIC Kwa ml 6 kila moja mbona hajarudisha? Aliwanunulia nyumba kina kabula wakati siyo watumishi wa umma mbona hawajakili makosa na kurudisha???
 
Mfano MAGUFULI alinunua magorofa ya NIC Kwa ml 6 kila moja mbona hajarudisha? Aliwanunulia nyumba kina kabula wakati siyo watumishi wa umma mbona hawajakili makosa na kurudisha???

Na asiye na dhambi na awe wa kwanza kutupa jiwe
 
Kama joka la makengeza liko nje means Vita ya ufisadi ni maalumu kwa wasio na chapa pekee
 
Kwa nini usikae kimya?
Kuxungumza na kutoa maoni ni haki yangu .mmezoea kuskikika wenyewe tu hata mkiongea upuuzi na uongo mnasifiana kama majuha vile??? Unasifia serikali kupitia DPP kupora pesa za watu lakini hutaki kuambiwa ukweli kwamba serikali kupitia wazir wa nyumba wakati huo sijui ulikuwa wapi ulishawahi kuuza na kagawa nyumba za umma mpaka kwa hawala kina kabula
Namzungumzia huyu anayeitwa mzalendo leo bwana MAGUFULI ambaye alishawahi kukagua Nyumba za shirika za NIC huko dodoma kwa ml 6 tena kwa mkopo? Kama anauchungu na nchi azirejeshe kwanza tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…