Kwa makusudi, au kwa kutokujua, Lissu anataka kuleta mpasuko CHADEMA!

Kwa makusudi, au kwa kutokujua, Lissu anataka kuleta mpasuko CHADEMA!

Ghiti Milimo

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
4,748
Reaction score
7,061
Wakuu, salaam zenu!

Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimefikiria sana, style ya Mh. Tundu Lissu, ya kuutaka Uenyekiti wa chama chao, nimeona inaweza kuleta athari fulani.

Yeye mwenyewe amesema, ameshawishiwa na wadau, agombee hiyo nafasi! Sina shaka, baada ya hao wadau kuona aliyepo HATOSHI, na Mh Lissu kukubaliana nao, kuwa Mh Mbowe, kweli hatoshi, na "anang'ang'ania madaraka"! Kwa mujibu wa Katiba yao, na Demokrasia kwa ujumla, wana haki, si Lissu tu, bali kwa Mwanachama yeyote mwenye sifa.

Sasa, mimi nilitegemea, kwa kulinda umoja wa Chama chao, wasingetoa nafasi kwa hao Vigogo wawili, kugombea nafasi moja. Hao hao waliomshawishi Lissu, agombee Uenyekiti, wangetumia kila njia, kumshauri na kumshawishi aliyepo sasa, yaani Mbowe, asigombee. Na Mbowe mwenyewe, atangaze kuwa, kwa sasa hatagombea.

Baada ya hapo, wanachama wengine wajitokeze, pamoja na Lissu, ambaye tayari alishakijulisha Chama kuwa atagombea U Makamu, naye atangaze anabadilisha nafasi, na kugombea Uenyekiti. Sina shaka, angeungwa mkono na wapiga kura wengi!

Pamoja na hayo, kwa jinsi nilivyoisikiliza vizuri hotuba yake, ile siku ya kutufahamisha kuwa anautaka Uenyekiti, (hakuwa anatangaza nia, kwani alitangaza kuwa alishapeleka barua kwa Katibu mkuu, kuwa atagombea hiyo nafasi) ilionyesha wazi kuwa ana kinyongo fulani, kwa Mwenyekiti wake.

Na alionyesha, hana heshima kwa Mwenyekiti wake, kutokana na maneno yake. Kwa mfano, aliposema kuwa, Mzee Mtei na Mzee Bob Makani, "hawakung'ang'ania madaraka" kwa muda mrefu, na kuamua kuachia uongozi mapema, ili "wasiondolewe uongozini kwa aibu"! Kwa sentesi hii, Lissu alikuwa anatuambia kuwa, sasa Mbowe anaelekea kuondolewa uongozini kwa aibu!

Pia, siku mbili kabla, Mbowe wakati akiongea na waandishi wa habari, na Mh. Lissu akiwepo, alisema yeye bado yupo sana, kwani bado ana nguvu za kukitumikia chama. Lakini, Lissu kwenye mkutano wake, akionyesha kuwa Mbowe "kisha zeeka", alikumbushia, na kusisitiza kuwa, Mzee Mtei, "hakung'ang'ania madaraka", alistaafu akiwa na miaka 65.

Maneno yake mengi, yalikuwa yanaonyesha kuwa Mh. Mbowe "anang'ang'ania madaraka"!
Ukifuatilia "mabadiliko" ya Lissu, utagundua kuwa yamekuja kuelekea kwenye hizi chaguzi za ndani za chama chao. Na inaonyesha "AMEKASIRISHWA" sana na baadhi ya wagombea fulani, kushindwa, wakiongozwa na Mchungaji Msigwa.

Hapo ndipo alipoanza kukituhumu chama chake, kwa tuhuma ambazo kwa nafasi aliyonayo, alitakiwa kwenda kuziongelea kwenye vikao vyao vya ndani, na si kwenye mikutano ya hadhara, au kwa waandishi wa habari.

Na inaonyesha, zile tuhuma anazozitoa Mchungaji Msigwa, kwa Mbowe, yeye anazifurahia. Cha kushangaza, anasema CHAMA kimjibu. Hivi chama ni nani? Kwa hiyo, yeye si sehemu ya chama? Na mapenzi yake kwa Msigwa, hayafichi, na kudai Msigwa ni sehemu ya waokozi wa maisha yake, kwa kushikilia chupa ya damu, akiwa kwenye ndege akipelekwa Kenya kutibiwa.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ninachokiona, wale wapambe/chawa wa Mbowe, hawatataka Bosi wao aachie ngazi, kwani itaonekana amemuogopa Lissu, na wao kuja kupata shida, kwa kulipia ule UCHAWA wao! Hivyo, wao ndi watakaomchukulia fomu na kumlipia. Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
 
Wakuu, salaam zenu!

Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimefikiria sana, style ya Mh. Tundu Lissu, ya kuutaka Uenyekiti wa chama chao, nimeona inaweza kuleta athari fulani.

Yeye mwenyewe amesema, ameshawishiwa na wadau, agombee hiyo nafasi! Sina shaka, baada ya hao wadau kuona aliyepo HATOSHI, na Mh Lissu kukubaliana nao, kuwa Mh Mbowe, kweli hatoshi, na "anang'ang'ania madaraka"! Kwa mujibu wa Katiba yao, na Demokrasia kwa ujumla, wana haki, si Lissu tu, bali kwa Mwanachama yeyote mwenye sifa.

Sasa, mimi nilitegemea, kwa kulinda umoja wa Chama chao, wasingetoa nafasi kwa hao Vigogo wawili, kugombea nafasi moja. Hao hao waliomshawishi Lissu, agombee Uenyekiti, wangetumia kila njia, kumshauri na kumshawishi aliyepo sasa, yaani Mbowe, asigombee. Na Mbowe mwenyewe, atangaze kuwa, kwa sasa hatagombea.

Baada ya hapo, wanachama wengine wajitokeze, pamoja na Lissu, ambaye tayari alishakijulisha Chama kuwa atagombea U Makamu, naye atangaze anabadilisha nafasi, na kugombea Uenyekiti. Sina shaka, angeungwa mkono na wapiga kura wengi!

Pamoja na hayo, kwa jinsi nilivyoisikiliza vizuri hotuba yake, ile siku ya kutufahamisha kuwa anautaka Uenyekiti, (hakuwa anatangaza nia, kwani alitangaza kuwa alishapeleka barua kwa Katibu mkuu, kuwa atagombea hiyo nafasi) ilionyesha wazi kuwa ana kinyongo fulani, kwa Mwenyekiti wake.

Na alionyesha, hana heshima kwa Mwenyekiti wake, kutokana na maneno yake. Kwa mfano, aliposema kuwa, Mzee Mtei na Mzee Bob Makani, "hawakung'ang'ania madaraka" kwa muda mrefu, na kuamua kuachia uongozi mapema, ili "wasiondolewe uongozini kwa aibu"! Kwa sentesi hii, Lissu alikuwa anatuambia kuwa, sasa Mbowe anaelekea kuondolewa uongozini kwa aibu!

Pia, siku mbili kabla, Mbowe wakati akiongea na waandishi wa habari, na Mh. Lissu akiwepo, alisema yeye bado yupo sana, kwani bado ana nguvu za kukitumikia chama. Lakini, Lissu kwenye mkutano wake, akionyesha kuwa Mbowe "kisha zeeka", alikumbushia, na kusisitiza kuwa, Mzee Mtei, "hakung'ang'ania madaraka", alistaafu akiwa na miaka 65.

Maneno yake mengi, yalikuwa yanaonyesha kuwa Mh. Mbowe "anang'ang'ania madaraka"!
Ukifuatilia "mabadiliko" ya Lissu, utagundua kuwa yamekuja kuelekea kwenye hizi chaguzi za ndani za chama chao. Na inaonyesha "AMEKASIRISHWA" sana na baadhi ya wagombea fulani, kushindwa, wakiongozwa na Mchungaji Msigwa.

Hapo ndipo alipoanza kukituhumu chama chake, kwa tuhuma ambazo kwa nafasi aliyonayo, alitakiwa kwenda kuziongelea kwenye vikao vyao vya ndani, na si kwenye mikutano ya hadhara, au kwa waandishi wa habari.

Na inaonyesha, zile tuhuma anazozitoa Mchungaji Msigwa, kwa Mbowe, yeye anazifurahia. Cha kushangaza, anasema CHAMA kimjibu. Hivi chama ni nani? Kwa hiyo, yeye si sehemu ya chama? Na mapenzi yake kwa Msigwa, hayafichi, na kudai Msigwa ni sehemu ya waokozi wa maisha yake, kwa kushikilia chupa ya damu, akiwa kwenye ndege akipelekwa Kenya kutibiwa.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ninachokiona, wale wapambe/chawa wa Mbowe, hawatataka Bosi wao aachie ngazi, kwani itaonekana amemuogopa Lissu, na wao kuja kupata shida, kwa kulipia ule UCHAWA wao! Hivyo, wao ndi watakaomchukulia fomu na kumlipia. Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
MPUUZI LISU HAYA YOTE HAYAONI, ANATAKA MADARAKA! MUULIZE ANACHUKUA HATUA KGANI KUHUSU KIONGOZI WA CHADEMA ALIYECHINJA LO USIKU HUKO GEITA, SI ANATAKA UENYEKITI NA ATALETA MAGEUZI...
 
Wakuu, salaam zenu!

Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimefikiria sana, style ya Mh. Tundu Lissu, ya kuutaka Uenyekiti wa chama chao, nimeona inaweza kuleta athari fulani.

Yeye mwenyewe amesema, ameshawishiwa na wadau, agombee hiyo nafasi! Sina shaka, baada ya hao wadau kuona aliyepo HATOSHI, na Mh Lissu kukubaliana nao, kuwa Mh Mbowe, kweli hatoshi, na "anang'ang'ania madaraka"! Kwa mujibu wa Katiba yao, na Demokrasia kwa ujumla, wana haki, si Lissu tu, bali kwa Mwanachama yeyote mwenye sifa.

Sasa, mimi nilitegemea, kwa kulinda umoja wa Chama chao, wasingetoa nafasi kwa hao Vigogo wawili, kugombea nafasi moja. Hao hao waliomshawishi Lissu, agombee Uenyekiti, wangetumia kila njia, kumshauri na kumshawishi aliyepo sasa, yaani Mbowe, asigombee. Na Mbowe mwenyewe, atangaze kuwa, kwa sasa hatagombea.

Baada ya hapo, wanachama wengine wajitokeze, pamoja na Lissu, ambaye tayari alishakijulisha Chama kuwa atagombea U Makamu, naye atangaze anabadilisha nafasi, na kugombea Uenyekiti. Sina shaka, angeungwa mkono na wapiga kura wengi!

Pamoja na hayo, kwa jinsi nilivyoisikiliza vizuri hotuba yake, ile siku ya kutufahamisha kuwa anautaka Uenyekiti, (hakuwa anatangaza nia, kwani alitangaza kuwa alishapeleka barua kwa Katibu mkuu, kuwa atagombea hiyo nafasi) ilionyesha wazi kuwa ana kinyongo fulani, kwa Mwenyekiti wake.

Na alionyesha, hana heshima kwa Mwenyekiti wake, kutokana na maneno yake. Kwa mfano, aliposema kuwa, Mzee Mtei na Mzee Bob Makani, "hawakung'ang'ania madaraka" kwa muda mrefu, na kuamua kuachia uongozi mapema, ili "wasiondolewe uongozini kwa aibu"! Kwa sentesi hii, Lissu alikuwa anatuambia kuwa, sasa Mbowe anaelekea kuondolewa uongozini kwa aibu!

Pia, siku mbili kabla, Mbowe wakati akiongea na waandishi wa habari, na Mh. Lissu akiwepo, alisema yeye bado yupo sana, kwani bado ana nguvu za kukitumikia chama. Lakini, Lissu kwenye mkutano wake, akionyesha kuwa Mbowe "kisha zeeka", alikumbushia, na kusisitiza kuwa, Mzee Mtei, "hakung'ang'ania madaraka", alistaafu akiwa na miaka 65.

Maneno yake mengi, yalikuwa yanaonyesha kuwa Mh. Mbowe "anang'ang'ania madaraka"!
Ukifuatilia "mabadiliko" ya Lissu, utagundua kuwa yamekuja kuelekea kwenye hizi chaguzi za ndani za chama chao. Na inaonyesha "AMEKASIRISHWA" sana na baadhi ya wagombea fulani, kushindwa, wakiongozwa na Mchungaji Msigwa.

Hapo ndipo alipoanza kukituhumu chama chake, kwa tuhuma ambazo kwa nafasi aliyonayo, alitakiwa kwenda kuziongelea kwenye vikao vyao vya ndani, na si kwenye mikutano ya hadhara, au kwa waandishi wa habari.

Na inaonyesha, zile tuhuma anazozitoa Mchungaji Msigwa, kwa Mbowe, yeye anazifurahia. Cha kushangaza, anasema CHAMA kimjibu. Hivi chama ni nani? Kwa hiyo, yeye si sehemu ya chama? Na mapenzi yake kwa Msigwa, hayafichi, na kudai Msigwa ni sehemu ya waokozi wa maisha yake, kwa kushikilia chupa ya damu, akiwa kwenye ndege akipelekwa Kenya kutibiwa.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ninachokiona, wale wapambe/chawa wa Mbowe, hawatataka Bosi wao aachie ngazi, kwani itaonekana amemuogopa Lissu, na wao kuja kupata shida, kwa kulipia ule UCHAWA wao! Hivyo, wao ndi watakaomchukulia fomu na kumlipia. Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
Mbowe must GO
 
MPUUZI LISU HAYA YOTE HAYAONI, ANATAKA MADARAKA! MUULIZE ANACHUKUA HATUA KGANI KUHUSU KIONGOZI WA CHADEMA ALIYECHINJA LO USIKU HUKO GEITA, SI ANATAKA UENYEKITI NA ATALETA MAGEUZI...
Mpuuzi ni Mzee Mbowe ambae hana hata aibu jitu zima linangangania madaraka
 
Wakuu, salaam zenu!

Ninachokiona, Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
Usiwe na wasiwasi kabisa,hakuna mafahali wawili wowote wa kuingia vitani,Chadema kwa sasa ina fahali mmoja tuu,the one and only TL。

Chadema kinafuata mtindo wa uongozi wa kundi la simba,huwa lina dume moja tuu, dume hilo likizeeka haliwezi tena kuwinda,huwa linaachwa nyuma na huwezi amini, 🉑nalazimika kula majani hadi kujifia!。

Hivyo baada ya fahali jipya kutangaza nia, fahali mzee anajikalia zake pembeni kumpisha fahali mpya dume la mbegu。
p
 
Usiwe na wasiwasi kabisa,hakuna mafahali wawili wowote wa kuingia vitani,Chadema kwa sasa ina fahali mmoja tuu,the one and only TL。

Chadema kinafuata mtindo wa uongozi wa kundi la simba,huwa lina dume moja tuu, dume hilo likizeeka haliwezi tena kuwinda,huwa linaachwa nyuma na huwezi amini, 🉑nalazimika kula majani hadi kujifia!。

Hivyo baada ya fahali jipya kutangaza nia, fahali mzee anajikalia zake pembeni kumpisha fahali mpya dume la mbegu。
p
Hakuna cha kuongeza hapa.
 
Wakuu, salaam zenu!

Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimefikiria sana, style ya Mh. Tundu Lissu, ya kuutaka Uenyekiti wa chama chao, nimeona inaweza kuleta athari fulani.

Yeye mwenyewe amesema, ameshawishiwa na wadau, agombee hiyo nafasi! Sina shaka, baada ya hao wadau kuona aliyepo HATOSHI, na Mh Lissu kukubaliana nao, kuwa Mh Mbowe, kweli hatoshi, na "anang'ang'ania madaraka"! Kwa mujibu wa Katiba yao, na Demokrasia kwa ujumla, wana haki, si Lissu tu, bali kwa Mwanachama yeyote mwenye sifa.

Sasa, mimi nilitegemea, kwa kulinda umoja wa Chama chao, wasingetoa nafasi kwa hao Vigogo wawili, kugombea nafasi moja. Hao hao waliomshawishi Lissu, agombee Uenyekiti, wangetumia kila njia, kumshauri na kumshawishi aliyepo sasa, yaani Mbowe, asigombee. Na Mbowe mwenyewe, atangaze kuwa, kwa sasa hatagombea.

Baada ya hapo, wanachama wengine wajitokeze, pamoja na Lissu, ambaye tayari alishakijulisha Chama kuwa atagombea U Makamu, naye atangaze anabadilisha nafasi, na kugombea Uenyekiti. Sina shaka, angeungwa mkono na wapiga kura wengi!

Pamoja na hayo, kwa jinsi nilivyoisikiliza vizuri hotuba yake, ile siku ya kutufahamisha kuwa anautaka Uenyekiti, (hakuwa anatangaza nia, kwani alitangaza kuwa alishapeleka barua kwa Katibu mkuu, kuwa atagombea hiyo nafasi) ilionyesha wazi kuwa ana kinyongo fulani, kwa Mwenyekiti wake.

Na alionyesha, hana heshima kwa Mwenyekiti wake, kutokana na maneno yake. Kwa mfano, aliposema kuwa, Mzee Mtei na Mzee Bob Makani, "hawakung'ang'ania madaraka" kwa muda mrefu, na kuamua kuachia uongozi mapema, ili "wasiondolewe uongozini kwa aibu"! Kwa sentesi hii, Lissu alikuwa anatuambia kuwa, sasa Mbowe anaelekea kuondolewa uongozini kwa aibu!

Pia, siku mbili kabla, Mbowe wakati akiongea na waandishi wa habari, na Mh. Lissu akiwepo, alisema yeye bado yupo sana, kwani bado ana nguvu za kukitumikia chama. Lakini, Lissu kwenye mkutano wake, akionyesha kuwa Mbowe "kisha zeeka", alikumbushia, na kusisitiza kuwa, Mzee Mtei, "hakung'ang'ania madaraka", alistaafu akiwa na miaka 65.

Maneno yake mengi, yalikuwa yanaonyesha kuwa Mh. Mbowe "anang'ang'ania madaraka"!
Ukifuatilia "mabadiliko" ya Lissu, utagundua kuwa yamekuja kuelekea kwenye hizi chaguzi za ndani za chama chao. Na inaonyesha "AMEKASIRISHWA" sana na baadhi ya wagombea fulani, kushindwa, wakiongozwa na Mchungaji Msigwa.

Hapo ndipo alipoanza kukituhumu chama chake, kwa tuhuma ambazo kwa nafasi aliyonayo, alitakiwa kwenda kuziongelea kwenye vikao vyao vya ndani, na si kwenye mikutano ya hadhara, au kwa waandishi wa habari.

Na inaonyesha, zile tuhuma anazozitoa Mchungaji Msigwa, kwa Mbowe, yeye anazifurahia. Cha kushangaza, anasema CHAMA kimjibu. Hivi chama ni nani? Kwa hiyo, yeye si sehemu ya chama? Na mapenzi yake kwa Msigwa, hayafichi, na kudai Msigwa ni sehemu ya waokozi wa maisha yake, kwa kushikilia chupa ya damu, akiwa kwenye ndege akipelekwa Kenya kutibiwa.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ninachokiona, wale wapambe/chawa wa Mbowe, hawatataka Bosi wao aachie ngazi, kwani itaonekana amemuogopa Lissu, na wao kuja kupata shida, kwa kulipia ule UCHAWA wao! Hivyo, wao ndi watakaomchukulia fomu na kumlipia. Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
Yeyote anayepinga Lisu kugombea uenyekiti CHADEMA ni puppet wa CCM
 
Mbowe pamoja na kununua wajumbe, ila hawawezi mpigia kura. Hicho ndio kinamuumiza, yani katumia nguvu kuweka wajumbe, ila anahofia wanakuja mgeuka.
 
Mbowe pamoja na kununua wajumbe, ila hawawezi mpigia kura. Hicho ndio kinamuumiza, yani katumia nguvu kuweka wajumbe, ila anahofia wanakuja mgeuka.
Wajumbe wapo wengi wajinga ambao ndio amewatumia kuendelea kukalia kiti
 
Wakuu, salaam zenu!

Moja kwa moja kwenye mawazo yangu. Nimefikiria sana, style ya Mh. Tundu Lissu, ya kuutaka Uenyekiti wa chama chao, nimeona inaweza kuleta athari fulani.

Yeye mwenyewe amesema, ameshawishiwa na wadau, agombee hiyo nafasi! Sina shaka, baada ya hao wadau kuona aliyepo HATOSHI, na Mh Lissu kukubaliana nao, kuwa Mh Mbowe, kweli hatoshi, na "anang'ang'ania madaraka"! Kwa mujibu wa Katiba yao, na Demokrasia kwa ujumla, wana haki, si Lissu tu, bali kwa Mwanachama yeyote mwenye sifa.

Sasa, mimi nilitegemea, kwa kulinda umoja wa Chama chao, wasingetoa nafasi kwa hao Vigogo wawili, kugombea nafasi moja. Hao hao waliomshawishi Lissu, agombee Uenyekiti, wangetumia kila njia, kumshauri na kumshawishi aliyepo sasa, yaani Mbowe, asigombee. Na Mbowe mwenyewe, atangaze kuwa, kwa sasa hatagombea.

Baada ya hapo, wanachama wengine wajitokeze, pamoja na Lissu, ambaye tayari alishakijulisha Chama kuwa atagombea U Makamu, naye atangaze anabadilisha nafasi, na kugombea Uenyekiti. Sina shaka, angeungwa mkono na wapiga kura wengi!

Pamoja na hayo, kwa jinsi nilivyoisikiliza vizuri hotuba yake, ile siku ya kutufahamisha kuwa anautaka Uenyekiti, (hakuwa anatangaza nia, kwani alitangaza kuwa alishapeleka barua kwa Katibu mkuu, kuwa atagombea hiyo nafasi) ilionyesha wazi kuwa ana kinyongo fulani, kwa Mwenyekiti wake.

Na alionyesha, hana heshima kwa Mwenyekiti wake, kutokana na maneno yake. Kwa mfano, aliposema kuwa, Mzee Mtei na Mzee Bob Makani, "hawakung'ang'ania madaraka" kwa muda mrefu, na kuamua kuachia uongozi mapema, ili "wasiondolewe uongozini kwa aibu"! Kwa sentesi hii, Lissu alikuwa anatuambia kuwa, sasa Mbowe anaelekea kuondolewa uongozini kwa aibu!

Pia, siku mbili kabla, Mbowe wakati akiongea na waandishi wa habari, na Mh. Lissu akiwepo, alisema yeye bado yupo sana, kwani bado ana nguvu za kukitumikia chama. Lakini, Lissu kwenye mkutano wake, akionyesha kuwa Mbowe "kisha zeeka", alikumbushia, na kusisitiza kuwa, Mzee Mtei, "hakung'ang'ania madaraka", alistaafu akiwa na miaka 65.

Maneno yake mengi, yalikuwa yanaonyesha kuwa Mh. Mbowe "anang'ang'ania madaraka"!
Ukifuatilia "mabadiliko" ya Lissu, utagundua kuwa yamekuja kuelekea kwenye hizi chaguzi za ndani za chama chao. Na inaonyesha "AMEKASIRISHWA" sana na baadhi ya wagombea fulani, kushindwa, wakiongozwa na Mchungaji Msigwa.

Hapo ndipo alipoanza kukituhumu chama chake, kwa tuhuma ambazo kwa nafasi aliyonayo, alitakiwa kwenda kuziongelea kwenye vikao vyao vya ndani, na si kwenye mikutano ya hadhara, au kwa waandishi wa habari.

Na inaonyesha, zile tuhuma anazozitoa Mchungaji Msigwa, kwa Mbowe, yeye anazifurahia. Cha kushangaza, anasema CHAMA kimjibu. Hivi chama ni nani? Kwa hiyo, yeye si sehemu ya chama? Na mapenzi yake kwa Msigwa, hayafichi, na kudai Msigwa ni sehemu ya waokozi wa maisha yake, kwa kushikilia chupa ya damu, akiwa kwenye ndege akipelekwa Kenya kutibiwa.

Soma Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Ninachokiona, wale wapambe/chawa wa Mbowe, hawatataka Bosi wao aachie ngazi, kwani itaonekana amemuogopa Lissu, na wao kuja kupata shida, kwa kulipia ule UCHAWA wao! Hivyo, wao ndi watakaomchukulia fomu na kumlipia. Mafahali wawili wataingia vitani!

Sidhani kama nyumba itabaki salama! Hapo, ndipo ninapo ihisi ATHARI!
Hakuna cha mpasuko hapa ,acha kura ziongee kwa uwazi ,alafu ndo tuone mchawi ni nani
 
Mpuuzi ni Mzee Mbowe ambae hana hata aibu jitu zima linangangania madaraka
Bado ungeweza kusema tu Mzee mbowe anang'ang'ania madaraka na ukaeleweka bila kumtukana mpuuzi kimsingi yeye hayupo hapa kwenye hoja hii hivyo kulinda heshima ya mtu na umri wake ni jambo la Busara ndo tabia yetu sisi watanzania ni kama ambavyo watu wanamkosea heshima Rais wa nchi ungeweza tu kumkosea bila kumtukana na bado ukaeleweka
 
Back
Top Bottom