Uchaguzi 2020 Kwa mambo haya 10, mimi kama Mtumishi wa Umma (mwalimu), John Pombe Magufuli sikupi kura yangu asilani

Mkuu umeongea kwa hisia kali...pole sana.

Watanzania wamekusikia na watakuunga mkono wiki ijayo.
angalia na namba 6 Mkuu wangu...dah!! yan pesa ni yako lakin mtu anakupangia masharti magumu ya jinsi ya kuitumia; ikiwezekana hata ufe uiche..dah! aisee huu uonevu huu!!! apana kwa kweli...magufuli hapana jaman, bora hata angekuwa mwanaccm mwingine lakin siyo huyu mzee..no nooo nooooooo
 
Si dhani kama mbuzi anaweza kujua undani wa maisha ya kunguru.

Huna ufahamu wowote wa sheria na haki za watumishi idara ya elimu bali wewe ni mpiga debe usiyejua hata haki zako binafsi

Mtu mjinga hawezi kuwa msemaji wa taaluma za watu hasa elimu.

Baki kwenye siasa uchwara
 
Na upande wa ccm hesabu yao imekaa vipi?
 
Madai yako mengi yana msingi na umedai kwa sasa yameshughulikiwa hiyo ni sawa kabisa.

Watumishi pia wana madai yao halali ambayo mara nyingi Mh Rais amekuwa anayakwepa na yeye ndiyo yanamuhusu.

Kwa hiyo lazima utambue wajibu mzuri wanaoufanya watumishi lazima uendane na haki zao za msingi pia.
 
CCM mje huku mjibu hizi tuhuma za huyu mwalimu kama ni za kweli au ni za uongo. Fanyeni haraka kabla walimu hawajala vichwa vyenu
Tuhama NI za kweli ilanmtuchague Tena tukazitatue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaaa acha kazi kama.umepanick..haki haki hivi unajua wapo wasomi wakubwa tu nje wanatamani hata huo mshahara wako unaoita mdogo hata wa mwezi mmoja?? Kama umechoka acha ww sio special upewe kila kitu ww nani
 
Hahahaaa acha kazi kama.umepanick..haki haki hivi unajua wapo wasomi wakubwa tu nje wanatamani hata huo mshahara wako unaoita mdogo hata wa mwezi mmoja?? Kama umechoka acha ww sio special upewe kila kitu ww nani
Kutofahamu haki na stahiki za wenye taaluma yao ya elimu ndiyo ujinga wako.

Maana huelewi yana umuhimu gani ktk taaluma yao.

Haki inapodhurumiwa ni sharti la mwenyekudhurumu achukuliwe hatua ya kulipa alichodhulumu kabla ya aliye dhulumiwa kuondoka.

Vivyo hivyo watumishi hawawezi kuacha kazi mpaka stahiki zao zitakapo lipwa.

Wengi walijitoa nafasi hizo (kuacha kazi) pale haki zao za fao la kujitoa lilipo kuwepo.

Serikali ilivyo kopa mifuko ya watumishi kujenga flyovers (fedha za watumishi) ndio ukawa mwanzo wa matatizo haya ya watumishi kusitisha kuacha kazi.

Kumwambia mtumishi aache kazi akiacha madai yake kwa serikali bila kulipwa ni kumwambia aache fedha zake ziliwe na serikali.

Huu ni ujinga wako binafsi wewe usiyejielewa.

Kabla hujasema hivyo wawalipe stahiki zao kama hawajaacha hizo kazi na kuwekeza kwenye maeneo mengine ya kiuchumi.
 
Acha ujinga wewe binti sayuni, annual increments zimeingia lini? Au unadhani huyo jamaa lofa,anachoongea ni Cha kweli,hakuna alipodanganya,wewe endelea kupigania buku Saba zako,anko wangu ni ticha Kila siku analalamika hayo hayo,halafu unakuja kumtetea hapa.
 
Wape hayo madini walimu wengine kama 50!
Nimewapa madini askari siyo chini ya 80 kwa nyakati tofauti, hakuna atakayepigia kura hao watu
 
Anachokizungumzia Kiko kwenye mkataba wake wa kazi,acha dharau,Kama hujaajiriwa usimuonee gere, mwandika bandiko
 
Acha uchawi mdogo wangu.
 
 
Acha uongo hiyo annual increment umepewa wewe peke yako au? Na mimi pia nmeajiriwa 2014 sijapanda daraja,we ndo dalali hiyo aliyeanzisha mada ndo mwalimu na yote alosema ni kweli,tokeni hapa na kiccm chenu wanyanyasaji wakubwa nyie na mkae mkijua Mungu ni wetu site IPO siku mtajibu kwa dhuluma hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…