Kwa maneno haya ya Idris, ni kweli mimba ya Wema ilitoka!

Idris nilivyomuona mimi mkuu hajielewi kabisaaaaaa, eti anasema anachompendea wema ni kwamba "anamfanya ajisikie mwanaume"!!!!!! Sielewi how, huko nyuma alikuwa anajisikia mwanamke au
Yawezekana mwenzetu alishawahi kujiskia was jinsia tofauti. Yule dogo nae kichaa tu kama wema. Unajua ndege wanaofanana manyoya huruka pamoja
 
Why a replica of mum? Do you know anything about her mum's behaviour or something?
 
And hellow,
Yec, Wema was pregnant,
Kuna daktari wa Agakhan ameniambia na hata kusafishwa kasafishiwa pale,
So tunaweza kumpa pole au kukaa kimya kuliko kumbeza.
Kakudanganya huyo daktari.
 
tafuta clip za mama yake anaongea-ziko nyingi sana-you will be astonished-iko mmoja anajizungushazungusha na kuwambia watu ana figure ya a 12 year old-maneno haya kayasema sio zamani sana,could be 6 months ago
Duh hiyo kali basi
 
tafuta clip za mama yake anaongea-ziko nyingi sana-you will be astonished-iko mmoja anajizungushazungusha na kuwambia watu ana figure ya a 12 year old-maneno haya kayasema sio zamani sana,could be 6 months ago

Hakuna haja ya kuandikia mate ingali wino upo!

Eti anajiita 'Mnyaturu live'πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

 
Hakuna haja ya kuandikia mate ingali wino upo!

Eti anajiita 'Mnyaturu live'πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Teehehehehe kazi ipo mkuu, kizazi cha nyoka, kitabaki kuwa cha nyoka tu.
Hapo kweli utegemee kuchota busara na hekima? Lord have mercy.
 
TUMBO UPEPO, UNAFIKIRI KUPIGA MIMBA MCHEZO, YULE WEMA KIMEO TU, MAMBO MENGINE BWANAAA
 
Tatizo hapa ni wema kujitangaza kuwa alikuwa mjamzito au ujauzito wake kutoka???Saidia plz.
 
Tatizo hapa ni wema kujitangaza kuwa alikuwa mjamzito au ujauzito wake kutoka???Saidia plz.
teh teh teh kwanza ni kuudanganya umma kwamba ana mimba ikawa ndo kick ya kula ile 500 k ya sultan.wenye mimba huwa hawajitangazi ila unaiona tu. ukiona mwanamke anatangaza ana mimba kua makini, wengine wanakunywa hamira. mimba itoke hata usilazwe?
 
teh teh teh kwanza ni kuudanganya umma kwamba ana mimba ikawa ndo kick ya kula ile 500 k ya sultan.wenye mimba huwa hawajitangazi ila unaiona tu. ukiona mwanamke anatangaza ana mimba kua makini, wengine wanakunywa hamira. mimba itoke hata usilazwe?

Mbona niliangalia clip moja wakihojiwa na clouds TV..Idriss alikiri kumpima wema ujauzito bila wema kugundua na kugundua kuwa ni kweli alikuwa mjamzito..INA maana Idris naye aliwachezea watu akili?
 
Mbona niliangalia clip moja wakihojiwa na clouds TV..Idriss alikiri kumpima wema ujauzito bila wema kugundua na kugundua kuwa ni kweli alikuwa mjamzito..INA maana Idris naye aliwachezea watu akili?
kweli kama mwanamke unaweza kupimwa kwa staili hiyo. mi najua tu wale walitaka promo "mwanamke hasingiziwi mimba "kwa idrisa nae ni wale wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…