Kwa maneno haya ya Idris, ni kweli mimba ya Wema ilitoka!

Haaaaaa
Ni sad news ila mimba waliipa kiki kibao... hadi kutangazwa redioni......

Pole zao kwa aliekua baba and mama Kijacho
 
Evelyn Salt ulikuwa unasubiria subiria kutoa hongera ya mimba, umesubiri mnoh hadi imetoa, veepeee pole umetoa ama??
Ha ha ha mimba gani itoke labda umetoka upepo, mimba yenyewe haieleweki mara wiki 6 mara 13
Kinachochekesha ni kujua hadi jinsia za watoto kwa muda huko, hiyo mimba ni ya kipekee sijui ilipimwa kwa microscope make hapo hata ultrasound haioneshi hizo jinsia
 
Mhuuu!!haya pole yake ila sio kwa drama hizo chaa!!
 
Hahahaaaa bi mdashi ana kazi yulee hatari!!!!!
 
Kuwa shabiki wa huyu ngamia ni lazima ujitoe kidogo ufahamu. Nilisema imeanza drama ya kajala itafata ya huyu mama ubaya soon wako team ngamia humu walinilaani na kutokwa mapovu balaa haya sasa Leo yakowapi? Hakuwa mjamzito wala mjamwepesi ni drama drama all the time huyu atakuwa fake maisha yake yote na kwa kufuru aliyofanya ya kujidai Ana mimba sidhani Kama hata huyu Mungu atampa.
 
Dah! Maskini mbwembwe zote zile kumbe hamna kitu, pole yake kwa kweli au baada ya ney kumuimba akapata mshtuko mimba ikasepa
 
Baada ya hili ndo nimemuona mpumbavu aliyepitiliza anatafuta attention za kipumbavu kabisa. Wema hakuwa na mimba na kwa mwendo huu hawezi ibeba.
 
Halafu hiyo team yake isiyojitambua ikamtukana Sana nay wakati kasema ukweli.hao wanaojiita team Wema lazima zimeruka kidogo maana si kwa drama hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…